Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Msenegali kikaangoni Simba

MSHAMBULIAJI anayewania kusajiliwa na Simba, Pape N’daw leo na kesho atakuwa na mtihani mkubwa wakati timu hiyo ya Mtaa wa Msimbazi, Kariakoo Dar es Salaam itakapocheza mechi mbili za kirafiki mjini hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Saa 48 hatari za Msenegali wa Simba

Mshambuliaji mpya wa  klabu ya Simba,  Papa Niang kutoka Senegal ana saa 48 za kuthibitisha ubora wake, vinginevyo  ataondoka kama wengine waliomtangulia.

 

9 years ago

Habarileo

Msenegali ashindwa kuibeba Simba

TIMU ya Simba ya Dar es Salaam jana ilishindwa kutamba mbele ya Mwadui ya Shinyanga baada ya kulazimishwa sare ya bila kufungana katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi kikaangoni

IMEELEZWA kuwa kutokuwepo kwa imani, mfumo wa sheria pamoja na utumiaji wa njia zisizo rasmi ili kupata haki, kunadhoofisha usalama wa nchi. Kauli hii ilitolewa jana jijini Dar es Salaam...

 

10 years ago

Mwananchi

Vigogo kikaangoni

 Hatima ya viongozi watano wa ngazi za juu wa Mamlaka ya Reli nchini (TRL) kung’olewa au kubaki madarakani, itajulikana ndani ya siku saba baada Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kuunda kamati ya uchunguzi wa matatizo ndani ya TRL.

 

11 years ago

GPL

GAZETI LA MAWIO KIKAANGONI

Serikali imeagiza gazeti la Mawio kueleza sababu za kupotosha na kukejeli nia njema ya serikali kwa wananchi wake kuhusu Hati ya Muungano. Akizungumza jana, Mkurugenzi Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene alisema gazeti hilo la wiki linatakiwa kujieleza ndani ya siku tatu. Alisema mbali na kujieleza, gazeti hilo limepewa siku saba hadi Aprili 23, mwaka huu, kukanusha taarifa hiyo. Kwa mujibu wa Mwambene, katika gazeti hilo...

 

10 years ago

Michuzi

Ndumbaro kikaangoni TFF

NA RIPOTA WA GLOBU YA JAMII
MWANASHERIA, Damas Ndumbaro ameingia kikaangoni baada ya kuitwa kwenye kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili kujibu tuhuma alizozitoa wiki iliyopita.
Barua hiyo iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa imemtaka Ndumbaro kufika kwenye ofisi TFF zilizopo jengo la PPF Tower leo saa 8:00 mchana kujadili masuala mbalimbali ikiwemo tuhuma alizozitoa kwenye vyombo vya habari hivi karibuni.
Ndumbalo ambaye ni mwanasheria wa klabu za Ligi...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam kikaangoni

Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara, inaendelea leo kwa mechi mbili zitakazopigwa kwenye viwanja viwili tofauti, Jamhuri Morogoro na Azam Complex Jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Wagombea ubunge kikaangoni leo

KLABU ya waandishi wa Habari Mkoa wa Iringa (IPC) itawakutanisha wagombea ubunge sita wa Jimbo la Iringa mjini katika mdahalo utakaofanyika ndani ya ukumbi wa Highlands mjini Iringa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tucta hapatoshi, Mgaya kikaangoni

Uongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) umetakiwa kujiuzulu kwa tuhuma za kushindwa kuliongoza kifaida shirikisho hilo, huku Katibu Mkuu wake akiwekwa kikaangoni akidaiwa kuhusika na hali hiyo na kung’ang’ania madaraka licha ya muda wake wa kustaafu kufika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani