Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndumbaro kikaangoni TFF

NA RIPOTA WA GLOBU YA JAMII
MWANASHERIA, Damas Ndumbaro ameingia kikaangoni baada ya kuitwa kwenye kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili kujibu tuhuma alizozitoa wiki iliyopita.
Barua hiyo iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa imemtaka Ndumbaro kufika kwenye ofisi TFF zilizopo jengo la PPF Tower leo saa 8:00 mchana kujadili masuala mbalimbali ikiwemo tuhuma alizozitoa kwenye vyombo vya habari hivi karibuni.
Ndumbalo ambaye ni mwanasheria wa klabu za Ligi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TFF yamkomalia Ndumbaro

Kamati ya Rufaa ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), ilitumia kura kutupilia mbali rufaa iliyokatwa na Wakili Damas Ndumbaro akipinga adhabu ya kufungiwa miaka saba kujihusisha na masuala ya mpira.

 

10 years ago

Mwananchi

TFF yaficha rufaa ya Ndumbaro

Siku mbili baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kusema halijapokea rufaa ya wakili Damas Ndumbaro anayepinga kufungiwa miaka saba na kamati ya nidhamu ya shirikisho hilo, imebainika kuwa shirikisho hilo limeipokea, lakini halitakiwa kuweka bayana.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TFF yajisafisha upupu wa Ndumbaro

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeyatolea ufafanuzi madai ya wakili wa kujitegemea aliyefungiwa kujihusisha na soka kwa miaka saba Dk. Damas Ndumbaro, aliyoyitoa katika mkutano wake na wanahabari, kuhusu uhalali...

 

10 years ago

Vijimambo

Ndumbaro jela miaka 7 TFF

Mwanasheria na mdau mkubwa soka nchini,Damas Ndumbaro.
Shirikisho la Soka nchini (TFF) limemfungia miaka saba mwanasheria na mdau mkubwa soka nchini Damas Ndumbaro kujihusisha na soka ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kwa madai kuwa amekiuka Kanuni za Ligi za shirikisho hilo.

Akisoma hukumu hiyo kwenye ofisi za Makao Makuu ya TFF zilizopo Posta jijini Dar es Salaam jana, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu ya shirikisho hilo, Jerome Msemwa, alisema kamati imemtia hatiani mwanasheria huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Ndumbaro aivimbia kamati TFF makato ya asilimia tano

Mwanasheria wa Bodi ya Ligi, Dk Damas Ndumbaro ameigomea Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ambayo ilipanga kumweka kitimoto leo kwa tuhuma za kuzitetea klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza kuhusu makato ya asilimia tano ya fedha za wadhamini.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndumbaro: Hatima yangu mkutano mkuu wa TFF mwakani

Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Simba na mjumbe wa Bodi ya Ligi, Damas Ndumbaro amesema hatima ya adhabu tata aliyopewa ya kufungiwa miaka saba, itajulikana kwenye mkutano mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

 

10 years ago

Mwananchi

Sakata la rufaa ya Ndumbaro sasa laanza kuwavuruga TFF

Makamu mwenyekiti wa Kamati ya Rufaa ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Hammidu Mbwezeleni amesema TFF isipotoshe umma kwa vile bado haijawasilisha rufaa ya Damas Ndumbaro kwenye kamati yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwakibinga aruka kimanga kutoa siri za TFF kwa Ndumbaro

Ofisa Mtendaji wa Bodi ya Ligi (TPLB), Silas Mwakibinga ameondolewa kwenye wadhifa wake huo.

 

10 years ago

Michuzi

TFF YAJIBU SHUTUMA ZILIZOTOLEWA NA WAKILI NDUMBARO DHIDI YAKE

Oktoba 31 mwaka huu kupitia vyombo vya habari Wakili Damas Ndumbaro alitoa shutuma mbalimbali dhidi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Tunapenda kuueleza umma wa Watanzania yafuatayo;
1.Hukumu dhidi ya Wakili Ndumbaro ilitolewa na chombo halali kwa mujibu wa Katiba ya TFF. Hivyo, TFF inatoa tahadhari kwa wanafamilia wa mpira wa miguu kutomhusisha Wakili Ndumbaro katika masuala ya mpira wa miguu katika kipindi hiki anachotumikia adhabu.
2.Hadi sasa TFF haijapokea rufani yoyote...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani