TFF yaficha rufaa ya Ndumbaro
Siku mbili baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kusema halijapokea rufaa ya wakili Damas Ndumbaro anayepinga kufungiwa miaka saba na kamati ya nidhamu ya shirikisho hilo, imebainika kuwa shirikisho hilo limeipokea, lakini halitakiwa kuweka bayana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Sakata la rufaa ya Ndumbaro sasa laanza kuwavuruga TFF
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tFnIPNVy8zI/VDVdAxJwP4I/AAAAAAAGou4/vLvrbTNnYtM/s72-c/ndumbalo1.jpg)
Ndumbaro kikaangoni TFF
![](http://4.bp.blogspot.com/-tFnIPNVy8zI/VDVdAxJwP4I/AAAAAAAGou4/vLvrbTNnYtM/s1600/ndumbalo1.jpg)
MWANASHERIA, Damas Ndumbaro ameingia kikaangoni baada ya kuitwa kwenye kamati ya nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ili kujibu tuhuma alizozitoa wiki iliyopita.
Barua hiyo iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa TFF, Selestine Mwesigwa imemtaka Ndumbaro kufika kwenye ofisi TFF zilizopo jengo la PPF Tower leo saa 8:00 mchana kujadili masuala mbalimbali ikiwemo tuhuma alizozitoa kwenye vyombo vya habari hivi karibuni.
Ndumbalo ambaye ni mwanasheria wa klabu za Ligi...
10 years ago
Mwananchi12 May
TFF yamkomalia Ndumbaro
10 years ago
Vijimambo14 Oct
Ndumbaro jela miaka 7 TFF
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ndumbalo--October14-2014.jpg)
Shirikisho la Soka nchini (TFF) limemfungia miaka saba mwanasheria na mdau mkubwa soka nchini Damas Ndumbaro kujihusisha na soka ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kwa madai kuwa amekiuka Kanuni za Ligi za shirikisho hilo.
Akisoma hukumu hiyo kwenye ofisi za Makao Makuu ya TFF zilizopo Posta jijini Dar es Salaam jana, Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Nidhamu ya shirikisho hilo, Jerome Msemwa, alisema kamati imemtia hatiani mwanasheria huyo...
10 years ago
Tanzania Daima02 Nov
TFF yajisafisha upupu wa Ndumbaro
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeyatolea ufafanuzi madai ya wakili wa kujitegemea aliyefungiwa kujihusisha na soka kwa miaka saba Dk. Damas Ndumbaro, aliyoyitoa katika mkutano wake na wanahabari, kuhusu uhalali...
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Ndumbaro: Hatima yangu mkutano mkuu wa TFF mwakani
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Ndumbaro aivimbia kamati TFF makato ya asilimia tano
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FdcsDQ_ACKw/VFUCf1tpCmI/AAAAAAAGum4/GjzrgYo9E_o/s72-c/download.jpg)
TFF YAJIBU SHUTUMA ZILIZOTOLEWA NA WAKILI NDUMBARO DHIDI YAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-FdcsDQ_ACKw/VFUCf1tpCmI/AAAAAAAGum4/GjzrgYo9E_o/s1600/download.jpg)
1.Hukumu dhidi ya Wakili Ndumbaro ilitolewa na chombo halali kwa mujibu wa Katiba ya TFF. Hivyo, TFF inatoa tahadhari kwa wanafamilia wa mpira wa miguu kutomhusisha Wakili Ndumbaro katika masuala ya mpira wa miguu katika kipindi hiki anachotumikia adhabu.
2.Hadi sasa TFF haijapokea rufani yoyote...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6PCBbWo2yNg/VFOsaj9SDsI/AAAAAAAGuZ0/GKCvUcNAifU/s72-c/ndumbaroJPG.jpg)
TFF na Kamati zake hazina mamlaka ya kunifungia - Wakili Ndumbaro
![](http://4.bp.blogspot.com/-6PCBbWo2yNg/VFOsaj9SDsI/AAAAAAAGuZ0/GKCvUcNAifU/s1600/ndumbaroJPG.jpg)
HUKU Dk. Damas Ndumbaro, akiwa amekata rufaa kupinga adhabu ya kifungo cha miaka saba kujihusisha na soka ndani na nje ya nchi iliyotolewa na Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), amesema ataendelea kufanya kazi zake za kuwawakilisha wadau wa soka watakaohitaji huduma yake ya uwakili.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Ndumbaro alisema kuwa TFF na Kamati zake hazina mamlaka ya kumfungia kufanya kazi za uwakili isipokuwa Jaji Mkuu wa Tanzania...