Tucta hapatoshi, Mgaya kikaangoni
Uongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) umetakiwa kujiuzulu kwa tuhuma za kushindwa kuliongoza kifaida shirikisho hilo, huku Katibu Mkuu wake akiwekwa kikaangoni akidaiwa kuhusika na hali hiyo na kung’ang’ania madaraka licha ya muda wake wa kustaafu kufika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a00D1zTCOmw/VWWFVkK9pBI/AAAAAAAHaE0/jKQ146LJUm4/s72-c/unnamed.jpg)
TAARIFA YA MSIBA WA MZEE MGAYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-a00D1zTCOmw/VWWFVkK9pBI/AAAAAAAHaE0/jKQ146LJUm4/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Mgaya: Serikali inamdharau CAG
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Nicholous Mgaya, amesema serikali inamdharau Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh. Akizungumza na Tanzania Daima...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_xYRvRM0EjY/XtUDO3DJ-BI/AAAAAAALsNs/mz1bn9OEmj8oCL9NLdoQ73oHhGvK9si2ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-01-22%2Bat%2B16.52.39.jpeg)
NYUNGU YA MWAROBAINI HAINA MADHARA-PROF. MGAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_xYRvRM0EjY/XtUDO3DJ-BI/AAAAAAALsNs/mz1bn9OEmj8oCL9NLdoQ73oHhGvK9si2ACLcBGAsYHQ/s400/WhatsApp%2BImage%2B2020-01-22%2Bat%2B16.52.39.jpeg)
Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR) Prof. Yunus Mgaya ametoa rai hiyo leo jijini Dar es Salaam na kueleza kuwa mti wa mwarobaini hauna madhara yeyote bali ni mti wenye manufaa kwa tiba asili/mbadala ya magonjwa mbalimbali.
Prof. Mgaya amesema kumekuwepo na upotoshaji katika baadhi ya mitandao ya jamii ambayo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VPKY9nNDLDc/Uk1b80BggeI/AAAAAAAAGm0/H45dRC6HgWY/s72-c/blog13.jpg)
TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA, UFISADI WA ESROW,TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA SEMA HAPA KUJUA
![](http://1.bp.blogspot.com/-VPKY9nNDLDc/Uk1b80BggeI/AAAAAAAAGm0/H45dRC6HgWY/s640/blog13.jpg)
Pichani ni Rais wa mpya chama cha Wafanyakazi nchi TUCTA Gration Mukoba picha na Maktaba
Na karoli Vinsent
CHAMA cha Wafanya kazi nchini (TUCTA) nao wamejitosa Kwa mara ya Kwanza kwenye sakata la Ufisadi wa zaidi ya bilioni 400 za kitanzania kwenye Akaunti ya Escrow na kusema chama hicho hakiwezi kukubaliana na ufisadi huo na kuitaka serikali kuwachukulia hatua kali ya watu wote waliohusika na wizi.
Na kama endapo Bunge pamoja na serikali hawatawachukulia hatua zozote Viongozi...
10 years ago
MichuziIGP MSTAAFU PHILEMONI MGAYA ASHEREHEKEA MIAKA 85 YA KUZALIWA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-wK3Ylul4ua0/Vko-jCFjMpI/AAAAAAAIGSs/KBzD9wKsQfc/s72-c/0cca9a14-b2c4-431e-955e-abf9497cc43d.jpg)
HEPI BETHDEI YA KUZALIWA MTOTO Nasria Salum Mgaya
![](http://3.bp.blogspot.com/-wK3Ylul4ua0/Vko-jCFjMpI/AAAAAAAIGSs/KBzD9wKsQfc/s640/0cca9a14-b2c4-431e-955e-abf9497cc43d.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ct2qgTbCXtU/Vko-wLKLLQI/AAAAAAAIGS8/BIP2F-e7AcY/s640/43eef857-cdf5-4de7-90e5-cfd92f695526.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-APqePcXDMo0/Vko-wLjLzUI/AAAAAAAIGS4/CnNjYVtntD4/s640/c5f92642-3f86-45e8-b6b9-fc1835db1e71.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEw1AvcW*q9vrJtn*YQ-606RxaqUEkPKdYAy3hrDeVUUmbmStwQ00Sbul-LKa7jVA7*PnIUgMqbkqXvaDi3mwmyl/mgaya.jpg?width=450)
MGOMBEA UBUNGE CHALINZE, RAMADHANI MGAYA AJERUHIWA KWA MAPANGA
11 years ago
MichuziMGOMBEA WA AFP CHALINZE RAMADHANI MGAYA AJINADI KWA WANANCHI
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Jumuiya ya watanzania waishio Thailand wamchagua Bw. Maumba Mgaya kuwa Mwenyekiti wa TIT
Meza Kuu , Kutoka Kushoto ni Ndugu Maumba Mgaya, Mwenyekiti wa Jumuiya, Bi Magreth Mjindo na Ndugu Andrew Katibu.
Mnano tarehe 7/11/2015, Jumuiya ya watanzania waishio nchini Thailand ilikutana na kujadiliana mambo mbalimbali ya jinsi gani wanaweza kusaidiana katika mambo mbalimbali, TIT ilianzishwa mnano mwezi wa nne mwaka, 2015 na inahusisha watanzania mbalimbali, wanafunzi,wafanyabishara na wafanyakazi waishio na kufanya nchini Thailand. Mkutano mkuu wa Jumuiya ulifanyika katika Hoteli...