Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYUNGU YA MWAROBAINI HAINA MADHARA-PROF. MGAYA

Na WAMJW-Dar es SalaamWANANCHI wametakiwa kuendelea kujifukiza kwa kutumia miti na mimea ya asili ikiwemo mwarobaini katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR) Prof. Yunus Mgaya ametoa rai hiyo leo jijini Dar es Salaam na kueleza kuwa mti wa mwarobaini hauna madhara yeyote bali ni mti wenye manufaa kwa tiba asili/mbadala ya magonjwa mbalimbali.
Prof. Mgaya amesema kumekuwepo na upotoshaji katika baadhi ya mitandao ya jamii ambayo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Viongozi Rukwa waendelea kuhamasisha matumizi ya Nyungu

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa wito kwa wananchi na wadau wote mkoani humo kuhakikisha wanachukua hatua za tahadhari ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa Afya pamoja na kushauri matumizi ya Nyungu kwaajili ya kujifukiza.
Amehamasisha hayo ikiwa ni katika kuunga mkono kauli ya Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na viongozi wengine wa juu nchini...

 

5 years ago

CCM Blog

VIONGOZI MKOA WA RUKWA WAENDELEA KUHAMASISHA MATUMIZI YA NYUNGU (KUJIFUKIZA)

 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ametoa wito kwa wananchi na wadau wote mkoani humo kuhakikisha wananchukua hatua za tahadhari ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19) kwa kufuata maelekezo ya wataalamu wa Afya pamoja na kushauri matumizi ya Nyungu kwaajili ya kujifukiza.
Amehamasisha hayo ikiwa ni katika kuunga mkono kauli ya Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na viongozi wengine wa juu nchini...

 

5 years ago

CCM Blog

HATA HUKU NCHINI UINGEREZA TUNAPIGA NYUNGU SANA TU-DK.ASHA-ROSE MIGIRO


Na Said Mwishehe, Michuzi TV
BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dk.Asha-Rose Migiro amesema katika kukabiliana na virusi vya Corona hata huko waliko nako wanapiga Nyungu(kujifukiza) kama kawaida maana kila mtu anatafuta namna ya kujiokoa.
Dk.Migiro amesema hayo leo Mei 11 mwaka 2020 na kufafanua licha ya kwamba yeye na Watanzania wengine kuwepo Uingireza  ukweli wanatambua nyungu ni kitu cha asili na huko  wanapiga nyungu sana tu."Unajua kila mtu anatafuta njia mbalimbali za...

 

5 years ago

Michuzi

HATA HUKU NCHINI UINGEREZA TUNAPIGA NYUNGU SANA TU-DK.ASHA-ROSE MIGIRO

Na Said Mwishehe, Michuzi TV

BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dk.Asha-Rose Migiro amesema katika kukabiliana na virusi vya Corona hata huko waliko nako wanapiga Nyungu(kujifukiza) kama kawaida maana kila mtu anatafuta namna ya kujiokoa.

Dk.Migiro amesema hayo leo Mei 11 mwaka 2020 na kufafanua licha ya kwamba yeye na Watanzania wengine kuwepo Uingireza  ukweli wanatambua nyungu ni kitu cha asili na huko  wanapiga nyungu sana tu."Unajua kila mtu anatafuta njia mbalimbali za...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MSIBA WA MZEE MGAYA

Familia ya mzee Richard Azza Mgaya inasikitika kutangaza kifo cha baba yao Mzee Richard Mgaya kilichotokea hospitali ya Apollo - India. Mwili wa marehemu utawasili Kilimanjaro International Airport tarehe 28/05/2015 saa nane mchana, msiba uko nyumbani kwake Arusha no. 59 Themi Hill. Marehemu ataagwa Ijumaa tarehe 29/05/2015 saa 6mchana katika kanisa la waadventista wa sabato Njiro Arusha.Mazishi yatafanyika Jumamosi tarehe 30/05/2015  Mamba Miamba - Same Kilimanjaro.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mgaya: Serikali inamdharau CAG

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Nicholous Mgaya, amesema serikali inamdharau Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh. Akizungumza na Tanzania Daima...

 

11 years ago

Mwananchi

Tucta hapatoshi, Mgaya kikaangoni

Uongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) umetakiwa kujiuzulu kwa tuhuma za kushindwa kuliongoza kifaida shirikisho hilo, huku Katibu Mkuu wake akiwekwa kikaangoni akidaiwa kuhusika na hali hiyo na kung’ang’ania madaraka licha ya muda wake wa kustaafu kufika.

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)Ukumbi wa Diamond Jubilee ukiwa umefurika Wazee waliokuja kumsikiliza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete.Ukumbi ulifurika kila kona.
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...

 

10 years ago

Michuzi

IGP MSTAAFU PHILEMONI MGAYA ASHEREHEKEA MIAKA 85 YA KUZALIWA

Askofu Mkuu wa Kanisa la Kilutheli Tanzania (KKKT) Alex Malasusa pamoja na IGP mstaafu Mzee Philemon Mgaya wakati wa sherehe hiyo iliyofana sana iliyofanyika katika Hotel ya Protea Court Yard jijini Dar es Salaam.IGP Mstaafu Mzee Philemon Mgaya akipokea zawadi
IGP Mstaafu Philemoni Mgaya akikata keki huku amezungukwa na wajukuu wake. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani