NYUNGU YA MWAROBAINI HAINA MADHARA-PROF. MGAYA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_xYRvRM0EjY/XtUDO3DJ-BI/AAAAAAALsNs/mz1bn9OEmj8oCL9NLdoQ73oHhGvK9si2ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-01-22%2Bat%2B16.52.39.jpeg)
Na WAMJW-Dar es SalaamWANANCHI wametakiwa kuendelea kujifukiza kwa kutumia miti na mimea ya asili ikiwemo mwarobaini katika kukabiliana na ugonjwa wa Corona.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu(NIMR) Prof. Yunus Mgaya ametoa rai hiyo leo jijini Dar es Salaam na kueleza kuwa mti wa mwarobaini hauna madhara yeyote bali ni mti wenye manufaa kwa tiba asili/mbadala ya magonjwa mbalimbali.
Prof. Mgaya amesema kumekuwepo na upotoshaji katika baadhi ya mitandao ya jamii ambayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziViongozi Rukwa waendelea kuhamasisha matumizi ya Nyungu
Amehamasisha hayo ikiwa ni katika kuunga mkono kauli ya Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na viongozi wengine wa juu nchini...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-N6J8vnUkDLs/XrEmCM40o1I/AAAAAAAC4jU/uuWh3AytMfo3xM4RuWts15Q6rC6eKJUigCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
VIONGOZI MKOA WA RUKWA WAENDELEA KUHAMASISHA MATUMIZI YA NYUNGU (KUJIFUKIZA)
![](https://1.bp.blogspot.com/-N6J8vnUkDLs/XrEmCM40o1I/AAAAAAAC4jU/uuWh3AytMfo3xM4RuWts15Q6rC6eKJUigCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Amehamasisha hayo ikiwa ni katika kuunga mkono kauli ya Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) pamoja na viongozi wengine wa juu nchini...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-bn5De2aQBdY/XrklURpcAQI/AAAAAAALpvU/MiYEh5breA0zkEVtKVA-9Q-bhb1vBaLSACLcBGAsYHQ/s72-c/ASHAMIGIRO.jpg)
HATA HUKU NCHINI UINGEREZA TUNAPIGA NYUNGU SANA TU-DK.ASHA-ROSE MIGIRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-bn5De2aQBdY/XrklURpcAQI/AAAAAAALpvU/MiYEh5breA0zkEVtKVA-9Q-bhb1vBaLSACLcBGAsYHQ/s400/ASHAMIGIRO.jpg)
BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dk.Asha-Rose Migiro amesema katika kukabiliana na virusi vya Corona hata huko waliko nako wanapiga Nyungu(kujifukiza) kama kawaida maana kila mtu anatafuta namna ya kujiokoa.
Dk.Migiro amesema hayo leo Mei 11 mwaka 2020 na kufafanua licha ya kwamba yeye na Watanzania wengine kuwepo Uingireza ukweli wanatambua nyungu ni kitu cha asili na huko wanapiga nyungu sana tu."Unajua kila mtu anatafuta njia mbalimbali za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bn5De2aQBdY/XrklURpcAQI/AAAAAAALpvU/MiYEh5breA0zkEVtKVA-9Q-bhb1vBaLSACLcBGAsYHQ/s72-c/ASHAMIGIRO.jpg)
HATA HUKU NCHINI UINGEREZA TUNAPIGA NYUNGU SANA TU-DK.ASHA-ROSE MIGIRO
![](https://1.bp.blogspot.com/-bn5De2aQBdY/XrklURpcAQI/AAAAAAALpvU/MiYEh5breA0zkEVtKVA-9Q-bhb1vBaLSACLcBGAsYHQ/s400/ASHAMIGIRO.jpg)
BALOZI wa Tanzania nchini Uingereza Dk.Asha-Rose Migiro amesema katika kukabiliana na virusi vya Corona hata huko waliko nako wanapiga Nyungu(kujifukiza) kama kawaida maana kila mtu anatafuta namna ya kujiokoa.
Dk.Migiro amesema hayo leo Mei 11 mwaka 2020 na kufafanua licha ya kwamba yeye na Watanzania wengine kuwepo Uingireza ukweli wanatambua nyungu ni kitu cha asili na huko wanapiga nyungu sana tu."Unajua kila mtu anatafuta njia mbalimbali za...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a00D1zTCOmw/VWWFVkK9pBI/AAAAAAAHaE0/jKQ146LJUm4/s72-c/unnamed.jpg)
TAARIFA YA MSIBA WA MZEE MGAYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-a00D1zTCOmw/VWWFVkK9pBI/AAAAAAAHaE0/jKQ146LJUm4/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Mgaya: Serikali inamdharau CAG
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Nicholous Mgaya, amesema serikali inamdharau Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh. Akizungumza na Tanzania Daima...
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Tucta hapatoshi, Mgaya kikaangoni
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s72-c/1.jpg)
HOTUBA YA JK, PROF. TIBAIJUKA AOMBWA KUJIUZULU, PROF MUHONGO AWEKWA KIPORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-7gihMNqd4-8/VJhdkr5gRPI/AAAAAAAAVDA/dhJNfJv05x8/s1600/1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisoma hotuba yake kwa Wazee wa mkoa wa Dar es Salaam kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. ( Picha na Adam Mzee)
![](http://4.bp.blogspot.com/-6rChn-QJ6gM/VJhdx7TABQI/AAAAAAAAVDY/vyedmvEXjO4/s1600/12.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-85xjOsGLXKo/VJhdzYAjX1I/AAAAAAAAVDk/1KuPUy1fFNY/s1600/14.jpg)
--Rais Kikwete ameanza kuongea na wazee wa Mkoa wa Dar katika Ukumbi wa Diamond Jubilee ambapo Watanzania wanataraji atoe mwongozo kuhusu sakata la Akaunti ya Tegeta Escrow na...
10 years ago
MichuziIGP MSTAAFU PHILEMONI MGAYA ASHEREHEKEA MIAKA 85 YA KUZALIWA