Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya Morsi kuwatorosha wafungwa

Aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi anatarajiwa kufikishwa mahakamani kwa shitaka la kupanga njama ya kuwatorosha wafungwa wakati wa mapinduzi ya Hosni Mubarak

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Morsi kuendelea Misri

Vikosi vya usalama vimeimarisha ulinzi katika mji mkuu wa Misri, Cairo , kabla ya kufikishwa mahakamani kwa rais aliyeng'olewa madarakani , Mohammed Morsi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Mohammed Morsi Kusikizwa hii leo

Aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Mosri atafika katika mahakama moja mjini Cairo ili kusikiza inayomkabili

 

10 years ago

Mwananchi

Ushahidi upande wa mashtaka kesi ya Ponda wafungwa

Upande wa mashtaka katika kesi ya jinai inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, umefunga ushahidi wao baada ya kupeleka mashahidi tisa.Shahidi wa mwisho wa upande wa mashtaka askari E.9295 D/CPL, Juma Koroto kutoka Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai(RCO), Morogoro ambaye alikuwa mpelelezi wa kesi hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa Morsi akamatwa

Mtoto wa kiume wa mwisho wa Morsi akamatwa akishukiwa kuwa na bangi

 

10 years ago

GPL

MORSI JELA MIAKA 20

  Aliyekuwa Rais wa Misri, Mohammed Mosri amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani kwa kuwachochoea wafuasi wa kundi la Muslim Brotherhood kuwaua waandamanaji wa upinzani alipokuwa madarakani mwaka 2012.

 

10 years ago

GPL

HUKUMU YA MORSI LEO

Mohammed Morsi. MAHAKAMA nchini Misri inatarajia kutoa hukumu kwenye kesi kadhaa zinazomkabili rais wa zamani, Mohammed Morsi ambaye aliondolewa madarakani na jeshi mwaka 2013. Mosri anakabiliwa na kesi pamoja na viongozi wengine wa Kundi la Muslim Brotherhood kwa kuwachochea wafuasi kumuua mwandishi wa habari na waandamanaji wa upinzani wakati wa makabiliano nje ya ikulu ya rais mwaka 2012. Mawakili wanaomtetea Mosri wanasema...

 

10 years ago

BBC

Egypt's Morsi jailed for 20 years

Egypt's former President Mohammed Morsi gets a 20 year jail sentence over the killing of protesters in 2012, the first verdict in several trials he is facing.

 

11 years ago

BBCSwahili

Morsi kufika mahakamani Misri

Mohammed Morsi anashatakiwa kwa kosa la mauaji na kuchochea mauaji ya waandamanaji waliopinga uongozi wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Morsi ahukumiwa miaka 20 gerezani

Habari za hivi punde zinasema kuwa aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Mosri amehukumiwa kifungo cha miaka 20 gerezani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani