Mkuu wa mashtaka auawa Argentina
Kiongozi wa mashtaka nchini Argentine amepatikana amefariki ndani ya nyumba yake mjini Buenos Aires, baada ya kumshutumu rais
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Mwendesha mashtaka Uturuki auawa
Mwendesha mashitaka wa Uturuki ameuawa baada ya kuzuiwa mateka katika mahakama moja mjini Istanbul
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat amefariki kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.
10 years ago
Vijimambo30 Jun
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa-BBC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/29/150629120620_hisham_barakat_640x360_ap.jpg)
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat ameuawa kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.
Msafara wa Bwana Barakat ulishambuliwa ulipokuwa ukipitia katika wilaya ya Heliopolis.
Nguvu za shambulio hilo ziliharibu baadhi ya nyumba na maduka.Walinzi wawili wa bwana Barakat pia walijeruhiwa.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/624/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/29/150629141549_barakat_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Bwana Barakat amekuwa akipendekeza mamia ya wapiganaji hao kufunguliwa mashtaka tangu kupinduliwa kwa rais...
11 years ago
Bongo510 Jul
Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13
Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]
5 years ago
BBCSwahili21 Feb
Thomas Thabane: Waziri mkuu wa Lesotho aondoka nchini huku mashtaka ya mauaji yakimkabili
Waziri mkuu wa Lesotho Thomas Thabane mekosa kufika mbele ya mahakama ambapo anakabiliwa na mashtaka ya kumuua mkewe wa zamani 2017.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5vDf2xmS0Q/VRJ8w_5lgZI/AAAAAAAHND4/gnsl_k2azVw/s72-c/1.jpg)
MWENDESHA MASHTAKA MKUU WA DARFUR,SUDAN ATEMBELEA MAHAMAKA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU,ASIFU UTENDAJI KAZI WAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y5vDf2xmS0Q/VRJ8w_5lgZI/AAAAAAAHND4/gnsl_k2azVw/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-10QcHu9dsWo/VRJ8w5VTaAI/AAAAAAAHND0/g-oSEH06-hk/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oFX-I_aqkJU/VRJ8w_hNWXI/AAAAAAAHNDw/yeqUrKeuWG4/s1600/3.jpg)
11 years ago
BBCSwahili24 Feb
Kamanda mkuu wa Taliban auawa Pakistan
Kamanda mkuu wa Taliban nchini Pakistan, Asmatullah Shaheen ameuawa kwa kupigwa risasi
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Mkuu wa polisi auawa nchini Misri
Brigedia Jenerali wa jeshi la polisi nchini Misri ameuawa katika milipuko miwili tofauti iliyotokea kwa wakati mmoja karibu na chuo kikuu cha Cairo.
10 years ago
BBCSwahili14 May
IS yashambuliwa Iraq,kiongozi mkuu auawa
Waziri wa ulinzi wa Iraqi amesema kwamba kiongozi wa pili wa ngazi ya juu wa IS, ameuawa katika mashambulio ya anga
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania