Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkuu wa mashtaka auawa Argentina

Kiongozi wa mashtaka nchini Argentine amepatikana amefariki ndani ya nyumba yake mjini Buenos Aires, baada ya kumshutumu rais

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwendesha mashtaka Uturuki auawa

Mwendesha mashitaka wa Uturuki ameuawa baada ya kuzuiwa mateka katika mahakama moja mjini Istanbul

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat amefariki kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.

 

10 years ago

Vijimambo

Kiongozi wa mashtaka nchini Misri auawa-BBC

Hisham Barakat afariki
Kiongozi wa mashtaka nchini Misri Hisham Barakat ameuawa kutokana na majeraha aliopata baada ya bomu kulipua gari lake mjini Cairo.

Msafara wa Bwana Barakat ulishambuliwa ulipokuwa ukipitia katika wilaya ya Heliopolis.

Nguvu za shambulio hilo ziliharibu baadhi ya nyumba na maduka.Walinzi wawili wa bwana Barakat pia walijeruhiwa.Bomu lalipua gari la Hisham Barakat
Bwana Barakat amekuwa akipendekeza mamia ya wapiganaji hao kufunguliwa mashtaka tangu kupinduliwa kwa rais...

 

11 years ago

Bongo5

Argentina yailaza Uholanzi 4-2, fainali Argentina na Ujerumani july 13

Timu ya soka ya Argentina imejikatia tiketi ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka 1990 baada ya kuilaza timu ya Uholanzi kwa goli 4-2, ambapo fainali itachuana na Ujerumani july 13 siku ya jumapili. Katika mchezo huo wa nusu fainali wa jana, Argentina na Uholanzi zilitoka sare tasa baada ya muda wa kawaida […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Thomas Thabane: Waziri mkuu wa Lesotho aondoka nchini huku mashtaka ya mauaji yakimkabili

Waziri mkuu wa Lesotho Thomas Thabane mekosa kufika mbele ya mahakama ambapo anakabiliwa na mashtaka ya kumuua mkewe wa zamani 2017.

 

10 years ago

Michuzi

MWENDESHA MASHTAKA MKUU WA DARFUR,SUDAN ATEMBELEA MAHAMAKA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU,ASIFU UTENDAJI KAZI WAO

Afisa Habari Mwandamizi wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCPHR)Sukhdev Chatbar(kulia)akizungumza na Waendesha Mashtaka kutoka Darfur nchini Sudan waliotembelea Mahakama hiyo kujifunza namna inavyotekeleza wajibu wake.Msajili wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu,AfCHPR)Dk Robert Enno(kushoto)akimsikiliza Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Jimbo la Darfur,Sudan,Yassir Ahmed Mohammed.Msajili wa Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu,AfCHPR)Dk Robert Enno(kushoto)akinzungumza...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kamanda mkuu wa Taliban auawa Pakistan

Kamanda mkuu wa Taliban nchini Pakistan, Asmatullah Shaheen ameuawa kwa kupigwa risasi

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa polisi auawa nchini Misri

Brigedia Jenerali wa jeshi la polisi nchini Misri ameuawa katika milipuko miwili tofauti iliyotokea kwa wakati mmoja karibu na chuo kikuu cha Cairo.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yashambuliwa Iraq,kiongozi mkuu auawa

Waziri wa ulinzi wa Iraqi amesema kwamba kiongozi wa pili wa ngazi ya juu wa IS, ameuawa katika mashambulio ya anga

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani