Makonda aapishwa rasmi, aja na mtindo wa STK katika utendaji
Licha ya baadhi ya watu kubeza uteuzi wake, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ameapishwa leo jijini Dar es Salaam na kusema kuwa atatekeleza majukumu yake kwa mtindo alioupa jina la STK, akimaanisha atafuata Sheria, Taratibu na Kanuni.
Mwananchi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania