Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAKONDA AJA NA KAMPENI YA SUKUMA TWENDE

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakichukua tukio. Makonda akionesha kipeperushi kilichoelekeza namna ya kujiunga na huduma hiyo ya utoaji taarifa kwa njia ya simu za mkononi.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Makonda aapishwa rasmi, aja na mtindo wa STK katika utendaji

Licha ya baadhi ya watu kubeza uteuzi wake, Mkuu  wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda ameapishwa leo jijini Dar es Salaam na kusema kuwa atatekeleza majukumu yake kwa mtindo alioupa jina la STK, akimaanisha atafuata Sheria, Taratibu na Kanuni.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari juu ya  kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao watapitia mikataba yote ya miradi mbalimbali iliyosainiwa mkoa wa Dar es salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa globu ya jamii)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...

 

9 years ago

Habarileo

Haya twende 2015-16

MSIMU wa Ligi Kuu ya soka ya Tanzania Bara 2015-2016 unaanza leo kwa timu 14 kati ya 16 zikitarajiwa kushuka dimbani kuwania pointi tatu za kwanza.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga kanyaga twende

Mshambuliaji Mrisho Ngassa wa Yanga leo atakuwa chini ya ulinzi mkali kwa ngome ya Al-Ahly wakati wa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaochezwa leo saa 10 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wapinzani waseme ‘haya twende’

MTOTO anapozaliwa hutoa kilio na anapochelewa kufanya hivyo huonekana kuwa sio jambo la kawaida na kuna kuwepo wasi wasi juu ya hali ya mtoto huyo. Inapotokea mtoto hajatoa hicho kilio, mzazi kama...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC kanyaga BDF XI twende

Ikiwa ni miaka 12 tangu, DBF itolewe na Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo inakanyanga jijini Dar es Salaam kwa mara nyingine kucheza na Yanga yenye maswali mengi.

 

5 years ago

Michuzi

11 years ago

TheCitizen

Did Twende Kazi replace Project Fame?

The 50 contestants of Tusker Twende Kazi show in Kenya were teamed up into groups of two comprising an average East African citizen and a celebrity. Fourteen Kenyan music and sports celebrities teamed up with 14 Kenyans from different walks of life with the remaining 22 selected from Uganda and Tanzania

 

9 years ago

GPL

DUDE: RAIS MAGUFULI KANYAGA TWENDE

Stori: Gabriel Ng'osha 
HAPA mchezo! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amemtaka Rais John Pombe Magufuli kukanyaga spidi ya maendeleo kama alivyoonesha hivi karibu baada ya kuchaguliwa kuiongoza Tanzania katika awamu ya tano.  Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda,Dude alisema D.k Magufuli anapaswa aendeleze na mshtukizo huo wa kutembelea kila wizara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani