Haya twende 2015-16
MSIMU wa Ligi Kuu ya soka ya Tanzania Bara 2015-2016 unaanza leo kwa timu 14 kati ya 16 zikitarajiwa kushuka dimbani kuwania pointi tatu za kwanza.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Wapinzani waseme ‘haya twende’
MTOTO anapozaliwa hutoa kilio na anapochelewa kufanya hivyo huonekana kuwa sio jambo la kawaida na kuna kuwepo wasi wasi juu ya hali ya mtoto huyo. Inapotokea mtoto hajatoa hicho kilio, mzazi kama...
10 years ago
Michuzi01 Sep
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Haya ndiyo yaliyobamba 2015
10 years ago
GPL
HAYA NDIYO MALENGO YANGU 2015!
10 years ago
Bongo Movies02 Apr
Majina ya Wanaowania Tuzo za Filamu Mwaka 2015 Haya Hapa
Majina ya wanaowania tuzo hizo hayo hapo chini fuatilia na kwa makini kisha jiandae kumpigia kura msanii wako...
10 years ago
Mwananchi13 May
CCM: Haya ndiyo tuliyoshindwa, kufanikiwa Ilani ya 2010/2015
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Kuelekea Ballon d’Or January 11, haya ni mafanikio ya Ronaldo na Messi kwa mwaka 2015 …
Kuelekea fainali ya tuzo za mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015 zitakazofanyika Zurich Uswiss January 11 2016, naomba nikusogezee mafanikio ya washindani wa jadi wa tuzo hizo. Kwa mwaka 2015 wachezahi watatu waliofanikiwa kuingia katika fainali ya tuzo hizo ni Messi, Neymar na Ronaldo. Kwa kiasi kikubwa washindani wakuu ni Messi na Ronaldo hao […]
The post Kuelekea Ballon d’Or January 11, haya ni mafanikio ya Ronaldo na Messi kwa mwaka 2015 … appeared first on...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Adele anafunga mwaka wa 2015 na haya mambo sita: Umaarufu, Album mpya na mengine!
Adele ndiye staa wa muziki anayefunga mwaka wa 2015 kwenye headlines za burudani Marekani na dunia nzima akiwa ameuza zaidi ya nakala milion 5 za single yake mpya ‘Hello’ huku video yake ikiwa imegusa watazamaji milion 700 kwenye mtandao wa YouTUBE! Ujio mpya wa Adele kwenye kurasa za burudani umepokelewa kwa muamko mkubwa sana duniani. […]
The post Adele anafunga mwaka wa 2015 na haya mambo sita: Umaarufu, Album mpya na mengine! appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Haya ndiyo majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora duniani 2015
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirikisho la soka duniani (FIFA) limetaja majina matatu (3) ya wachezaji wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa dunia kwa mwaka 2015.
Majina hayo matatu (3) yamepatikana kutoka kwa majina 23 aliyokuwa yamependekezwa awali. Majina hayo ni;
Cristiano Ronaldo (Ureno – Real Madrid)
Lionel Messi (Argentina – Barcelona)
Neymar da Silva Santos (Brazil – Barcelona)
Kwa upande wa wanawake FIFA imewataja;
Carli Lloyd (Houston Dash -USA)
Aya Miyama (Okayama Yunogo Belle –...