Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SONG JIPYA "CCM KANYAGA TWENDE 2015" KUTOKA UGHAIBU

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Yanga kanyaga twende

Mshambuliaji Mrisho Ngassa wa Yanga leo atakuwa chini ya ulinzi mkali kwa ngome ya Al-Ahly wakati wa mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika utakaochezwa leo saa 10 jioni kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga SC kanyaga BDF XI twende

Ikiwa ni miaka 12 tangu, DBF itolewe na Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo inakanyanga jijini Dar es Salaam kwa mara nyingine kucheza na Yanga yenye maswali mengi.

 

9 years ago

GPL

DUDE: RAIS MAGUFULI KANYAGA TWENDE

Stori: Gabriel Ng'osha 
HAPA mchezo! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amemtaka Rais John Pombe Magufuli kukanyaga spidi ya maendeleo kama alivyoonesha hivi karibu baada ya kuchaguliwa kuiongoza Tanzania katika awamu ya tano.  Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda,Dude alisema D.k Magufuli anapaswa aendeleze na mshtukizo huo wa kutembelea kila wizara...

 

9 years ago

Habarileo

Haya twende 2015-16

MSIMU wa Ligi Kuu ya soka ya Tanzania Bara 2015-2016 unaanza leo kwa timu 14 kati ya 16 zikitarajiwa kushuka dimbani kuwania pointi tatu za kwanza.

 

10 years ago

Dewji Blog

9 years ago

Bongo5

Fella atambulisha kundi jipya kutoka Mkubwa na Wanawe, ni SALAMU TMK

fella3

Meneja mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva nchini, Said Fella kabla mwaka 2015 haujaisha ametambulisha kundi jipya kutoka kwenye kituo chake cha Mkubwa na Wanawe.

fella3

Kundi hilo lenye vijana saba linaitwa Salamu TMK na tayari wameachia wimbo wao mpya ‘Nafsi’ pamoja na video yake.

“Vijana wetu wapya kutoka mkubwa na wanawe vijana wanaitwa #SALLAM TMK awa vijana wako saba tunawatoa mtaani wanaitaji kufika mjini na kupata nguvu binafsi ya kuthubutu kupata kununua mkate aya wadau ngoma ya vijana...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Idd awapongeza Viongozi na Wanachama wa CCM wa Tawi la Mafufuni,Bumbini kwa uamuzi wao wa kujenga Tawi jipya la CCM

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi Balozi Seif Ali Iddi amewapongeza Viongozi na Wanachama wa CCM wa Tawi la Mafufuni Jimbo la Bumbwini kwa uamuzi wao wa kujenga Tawi jipya la CCM lenya hadhi ya Chama chenyewe.
Balozi Seif alisema hayo wakati akikabidhi mchango wa Shilingi Milioni moja kwa ajili ya uwezekaji wa Tawi hilo kufuatia ahadi aliyoitoa ya kusaidia harakati za ujenzi wa Jengo hilo mchango alioukabidhi kwa uongozi wa Tawi hilo hapo Ofisini...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hakuna jipya, CCM imepoteza mwelekeo

NINAANDIKA kujibu makala ya Dk.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Vijimambo

UFUNGUZI WA SHINA JIPYA LA CCM MINNESOTA NI SHIDAEEER!

 Mwenyekiti wa Shina la Minnesota Ndugu Christabella Shalita    Katibu wa Shina Ndugu Celina TeshaKada Mpya wa CCM Minnesota Ndugu Moshi BaghdellahMwanachama Mpya na Mjumbe Ndugu Andrew SmasherNdugu Abdul Baghdellah na Mwakilishi Kutoka CCM Oklahoma M/Kitti wa Shina Emmanuel Kamala wakibadilishana MikakatiMwakilishi kutoka CCM Newyork Seif Akida na Katibu wa Shina Ndugu Celina Tesha














 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani