Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lameck Ditto - Magufuli Twende


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

New Music: Lameck Ditto — Heri ya Christmas

Msimu wa Christmas ndiyo huu unakaribia sasa na huu ndo wimbo mpya maalum kwa Christmas kutoka kwa Lameck Ditto. Ditto ambaye ameandika nyimbo nyingi ambazo ni hits kubwa katika muziki wa Tanzania wimbo huu unaitwa “Heri ya Christmas”

 

11 years ago

Dewji Blog

Lameck Ditto — New Video “Tuongeze Bidii” Watch it here

lameck ditto 2

Mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya Lameck Ditto ametoa video ya wimbo wake mpya “TUONGEZE BIDII” Hii inakuwa ni Video yake ya Tatu toka ameanza kuimba kama mwimbaji wa kujitegemea, kabla ya hapo zilishatoka WAPO na TUSHUKURU KWA YOTE.

Director wa Video ni Sadick Kutoka Redline Production, na Producer wa Wimbo ni Ema The Boy kutoka katika Studio za Sorround Sound Studio.

 

11 years ago

CloudsFM

9 years ago

GPL

DUDE: RAIS MAGUFULI KANYAGA TWENDE

Stori: Gabriel Ng'osha 
HAPA mchezo! Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amemtaka Rais John Pombe Magufuli kukanyaga spidi ya maendeleo kama alivyoonesha hivi karibu baada ya kuchaguliwa kuiongoza Tanzania katika awamu ya tano.  Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Akizungumza na Ijumaa Wikienda,Dude alisema D.k Magufuli anapaswa aendeleze na mshtukizo huo wa kutembelea kila wizara...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MWIGULU LAMECK NCHEMBA KUWA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA. CHATO MKOANI GEITA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , Mei 03, 2020.Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mbunge wa Iramba Magharibi) akila kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Waziri wa Katiba na Sheria. Hafla iliyofanyika Wilayani Chato Mkoani Geita , ,...

 

10 years ago

Mwananchi

9 years ago

Bongo5

Ditto ataja sababu za wasanii wapya kupotea

Lameck-Ditto_1

Msanii na mtunzi wa nyimbo, Lameck Ditto amesema wasanii wengi wachanga wanashindwa kufanikiwa kutokana na woga pamoja na kutokuwa wabunifu kwa kukopi kazi za wasanii waliowakuta kwenye game.

Lameck-Ditto_1

Ditto ambaye pia kwa sasa amejikita kwenye kilimo cha biashara, amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa, kama wasanii wangeamini wanachofanya pamoja na kuwa wabunifu, wangefanikiwa.

“Kitu kikubwa wanashindwa kuwa tofauti na wengine,” alisema.

“Mimi naona vijana wengi wapo hivyo,...

 

9 years ago

Bongo5

Ditto: Siamini kabisa kama Afande Sele ameacha muziki

Afande-Sele-nzuri_full

Ditto ambaye ni miongoni mwa wasanii waliowahi kufanya kazi na Afande Sele kwenye kundi la Watu Pori ambalo halipo tena, ametoa maoni yake kuhusu taarifa za uamuzi wa Afande kutangaza kuacha muziki baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini.

Afande-Sele-nzuri_full

Wiki iliyopita rapper mkongwe wa Morogoro Afande Sele alitangaza kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji.

“Mimi niwe tu wazi kwamba siamini kama Afande ameacha muziki,” alisema Ditto kupitia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani