Mwenyekiti aliyejiapisha sasa aapishwa rasmi
Wakati Mwenyekiti wa Mtaa wa Migombani-Segerea, Dar es Salaam, Japhet Kembo, aliyejiapisha kwa kutumia wakili binafsi akiapishwa tena jana na wakili aliyechaguliwa na Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi ameonya vitendo vya wadau wa siasa kujichulia sheria mikononi na kuwataka wafuate sheria na taratibu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/IMG_9709.jpg)
MO DEWJI AAPISHWA RASMI MBELE YA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Singida mjini, Ndg. Mohammed Dewji (wa pili kushoto) akiteta jambo na baadhi ya Wajumbe wenzake wa Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma leo wakati wa sherehe fupi za kuapishwa kwa wajumbe hao. Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Singida mjini, Ndg. Mohammed Dewji akielekea kula kiapo cha kulitumikia Taifa Bunge la Katiba.
Mjumbe wa Bunge...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Mwenyekiti Bunge la #Katiba tayari, kazi sasa kuanza rasmi? [VIDEO]
Tazama jinsi wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba walivyomchagua Spika wa Zamani wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samuel Sitta kuwa Mwenyekiti wao wa Kudumu.
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Rais Kikwete aapishwa kuwa mwenyekiti EAC
Rais Jakaya Kikwete amekuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), akichukua jukumu hilo kutoka kwa Rais Uhuru Kenyatta aliyemaliza muda wake.
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Segerea aapishwa na wakili binafsi
Baada ya kusubiri kwa muda wa wiki mbili ili wajumbe serikali ya mtaa wa Migombani-Segerea waapishwe na mamlaka husika bila mafanikio, wananchi wameamua kuwaapisha viongozi hao kwa kutumia wakili binafsi.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-1HaA1BszoXI/VL0ipWuNWXI/AAAAAAAAPMM/ARmGnrHZ0TI/s72-c/kiapo%2Bmwenyekiti.jpg)
MWENYEKITI WA MTAA ALIYESHINDA SEGEREA JIJINI DAR ES SALAAM AAPISHWA KIAINA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1HaA1BszoXI/VL0ipWuNWXI/AAAAAAAAPMM/ARmGnrHZ0TI/s640/kiapo%2Bmwenyekiti.jpg)
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Rais wa Ukraine aapishwa rasmi
Rais mpya wa Ukraine tajiri Petro Poroshenko ameapishwa rasmi hii leo katika sherehe iliyofanyika mjini Kiev.
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Rais John Magufuli aapishwa rasmi Tanzania
John Pombe Magufuli sasa ndiye rais mpya wa taifa la Tanzania baada ya kuapishwa rasmi kufuatia ushindi wake wa wingi wa kura katika uchaguzi mkuu uliopita.
9 years ago
Mwananchi05 Nov
DK Magufuli aapishwa rasmi kuongoza serikali ya awamu ya tano
Rais Mteule John Magufuli leo ameapishwa kuwa rais awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kusema anafahamu majukumu makubwa aliyonayo kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania