NYANGWINE KUWASHITAKI KWA KINANA MAKADA WANAOMHUJUMU JIMBONI
VURUGU na kampeni chafu zinazofanywa na baadhi ya makada wa CCM wanaojipanga kuwania ubunge katika jimbo la Tarime, zimechukua sura mpya.
Hatua hiyo imetokana na mbunge wa jimbo hilo Nyambari Nyangwine (pichani), kuweka bayana kuwa atawasilisha malalamiko kwa uongozi wa CCM ngazi ya wilaya, mkoa na taifa.
Juzi, baadhi ya wanachama wa CCM wilayani Tarime, walilalamikia kampeni chafu zinazofanywa na baadhi makada na kusababisha makundi ambayo ni hatari kwa Chama.
Hata hivyo, baadhi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ouI1tYRpdm4/VYg9WfLAYAI/AAAAAAAAvu0/u7ud9HmDRgI/s72-c/1.%2BKinana%2Bmkutano%2Bsengerema%2Bmjini.jpg)
KINANA ATINGISHA JIMBONI KWA NGELEJA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ouI1tYRpdm4/VYg9WfLAYAI/AAAAAAAAvu0/u7ud9HmDRgI/s640/1.%2BKinana%2Bmkutano%2Bsengerema%2Bmjini.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TNA8NV9lQq4/VYg9VylE1VI/AAAAAAAAvuw/K-Nt6LBt-Ng/s640/2.Kinana%2Bmkutano%2BSengerema%2Bmjini%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-byhRmhnSq9A/VYhauNbjmEI/AAAAAAAC7SU/PW6OWEKHfjs/s72-c/15.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA APOKELEWA KWA SHANGWE JIMBONI KWA NGELEJA LEO,AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-byhRmhnSq9A/VYhauNbjmEI/AAAAAAAC7SU/PW6OWEKHfjs/s640/15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NP8v4adA1L4/VYhayw9EaSI/AAAAAAAC7S8/koQqWmtO87Q/s640/19.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wapo kwenye ziara ya Kukagua na kuimarisha uhai wa chama,Kukagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM...
10 years ago
Habarileo03 Oct
Kinana- Makada CCM acheni woga
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka wanaCCM kuacha woga na unyonge kwani yeye ana uhakika kuwa chama hicho kitashinda uchaguzi mkuu wa 2015 kwa kishindo katika nafasi zote.
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Makada waandamizi Makamba, Kinana ‘waitikia wito’ licha ya uvumi wa kuikacha CCM
11 years ago
Michuzi15 Mar
11 years ago
Habarileo01 Jul
Bodi ya Mikopo kuwashitaki waajiri
BODI ya Mikopo ya Elimu ya Juu nchini imepanga kuwachukulia hatua waajiri wote nchini, kwa kushindwa kuwasilisha taarifa za wahitimu wa elimu ya juu, wanaodaiwa na Bodi hiyo.
9 years ago
Mwananchi07 Sep
Makada wapya Chadema wageuka ‘sumu’ kwa CCM
9 years ago
Dewji Blog06 Nov