Wana CCM watakiwa kuacha woga
MUASISI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Leo Lwekamwa, ameibuka na kutoa maoni yake kuhusu muundo wa serikali tatu uliopendekezwa kwenye rasimu ya pili ya Katiba, kwa kuwataka wanachama wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/3iqeIM8sugw/default.jpg)
10 years ago
Mtanzania12 Feb
CCM watakiwa kuacha siasa za vitisho
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Khamis Mgeja, amewataka baadhi ya viongozi wa chama hicho kuheshimu haki za wanachama na kuacha siasa za kibabe na kibaguzi kwa kuchunga kauli zao.
Pamoja na hilo, amewataka viongozi hao kutambua hakuna mtu mwenye hatimiliki ndani ya chama hicho ila kila mwanachama ana haki sawa ya kukipigania na kukijenga wakati wote.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mgeja alisema kumekuwa na mambo machafu...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Naibu waziri awataka wanawake kuacha woga
9 years ago
StarTV10 Nov
Wana CCM watakiwa kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa
Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dar Es Salaam kimewataka wananchi kuwapa ushirikiano madiwani wa chama hicho waliochaguliwa ili wawatumikie na kuwaletea maendeleo kama walivyowaahidi wakati wa Kampeni.
CCM imesema Madiwani wa chama hicho wamejipanga kutumikia wananchi wote bila kujali tofauti zao, lengo ni kubadilisha maisha ya wananchi wanyonge kwa kupata hudumu muhimu ikiwemo Elimu, Afya, Maji miundombinu ya Barabara na kuboresha upatikanaji wa ajira kwa vijana.
Juma Simba Gadaffi ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0uGBmk6YxPg/VIGOHP2LlFI/AAAAAAAG1YY/1-2TfyHhPKY/s72-c/232.jpg)
Balozi Seif Idd awaasa wana CCM Zanzibar kuacha tabia ya kupuuza mambo yanayowahusu,ili wasije jutia baadae
![](http://4.bp.blogspot.com/-0uGBmk6YxPg/VIGOHP2LlFI/AAAAAAAG1YY/1-2TfyHhPKY/s1600/232.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MkU5lRy3sXU/VIGOHMdm1CI/AAAAAAAG1Yg/DHC8sJj02HE/s1600/224.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s72-c/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?
![](http://4.bp.blogspot.com/-2JzLafmXRgA/VWidrCTCEAI/AAAAAAAAusc/S3yAUvzSz2w/s640/LOWASA%2BKESHO.jpg)
Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..
10 years ago
Habarileo03 Oct
Kinana- Makada CCM acheni woga
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka wanaCCM kuacha woga na unyonge kwani yeye ana uhakika kuwa chama hicho kitashinda uchaguzi mkuu wa 2015 kwa kishindo katika nafasi zote.
11 years ago
Mwananchi06 May
Watakiwa kuacha huduma za uzazi
10 years ago
Habarileo07 Nov
Wasimamizi watakiwa kuacha upendeleo
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa ya Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imewataka wasimamizi wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, kuacha upendeleo kwa wagombea, ushabiki wa kisiasa kwa vyama vya siasa ama wagombea wa vyama na hivyo kutakiwa kuwashirikisha wadau wa uchaguzi hasa viongozi wa vyama vya siasa vilivyopo katika maeneo yao.