Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wana CCM watakiwa kuwapa ushirikiano viongozi waliochaguliwa

Chama cha Mapinduzi  (CCM) Mkoa wa Dar Es Salaam kimewataka wananchi  kuwapa ushirikiano madiwani wa chama hicho waliochaguliwa ili wawatumikie na kuwaletea maendeleo kama walivyowaahidi wakati wa Kampeni.

CCM imesema Madiwani wa chama hicho wamejipanga kutumikia wananchi wote bila kujali tofauti zao, lengo ni kubadilisha maisha ya wananchi wanyonge kwa kupata hudumu muhimu ikiwemo Elimu, Afya, Maji miundombinu ya Barabara na kuboresha upatikanaji wa ajira kwa vijana.

Juma Simba Gadaffi ni...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

Njombe:CCM yazidi kuwapa mbinu za ushindi viongozi wa uenezi

Na Amiri kilagalila,Njombe

Chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe kimewaelekeza makatibu wa siasa na uenezi ngazi ya kata na wilaya zote mkoani humo, kuhakikisha wanaieleza jamii shughuli za maendeleo zinazoendelea kwenye maeneo yao ikiwa na kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya chama.

Wito huo umetolewa na katibu wa siasa na uenezi wa chama cha Mapinduzi mkoa wa Njombe Ndg, Erasto Ngole alipokuyana na viongozi hao katika ofisi za chama wilaya ya Njombe,kupitia ziara ya kikazi anayoifanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wana CCM watakiwa kuacha woga

MUASISI wa Chama cha Tanzania Labour (TLP), Leo Lwekamwa, ameibuka na kutoa maoni yake kuhusu muundo wa serikali tatu uliopendekezwa kwenye rasimu ya pili ya Katiba, kwa kuwataka wanachama wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Viongozi CCM watakiwa kusaidia vijana

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Tabora, wametakiwa kutatua changamoto zinazowakabili wanachama wa Jumuiya ya Vijana wa chama hicho (UVCCM) kwa kuwa ni nguzo ya chama. Akizungumza kwenye...

 

9 years ago

StarTV

Waajiri watakiwa kuwapa kipaumbele wasioona

Waajiri nchini wametakiwa kutambua kuwa watu wasioona wana mchango mkubwa kazini kwa vile wana uwezo mkubwa wakipewa fursa.

Mbali ya kuwa wachapakazi pia ni wabunifu hivyo waajiri hawana budi kuwapa kipaumbele.

Watu wasioona wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali kubwa ikiwa ni kuendesha maisha yao na fursa ya ajira.

Katika maadhimisho ya siku ya fimbo nyeupe Kitaifa Mkoani Tabora,Serikali inakiri kutambua changamoto walizonazo wasioona.

Maadhimisho hayo yaliyoshirikisha wasioona...

 

10 years ago

Vijimambo

Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?


Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..

 

10 years ago

Dewji Blog

TPB, NEEC wasaini ushirikiano wa kuinua wana VICOBA kiuchumi

Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, (NEEC), Beng’ Issa, (kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa Benjki ya Posta, Sabasaba Moshingi, (wa pili kulia), Rais wa VICOBA Endelevu Tanzania, Devota Likokola, (wapili kushoto), Mwanasheria wa Benki ya Posta Tanzania, Mystica Mapunda Ngongi, (wakwanza kulia), wakiwa wameshikana mikono baada ya benki hiyo kutiliana saini makubaliano ya ushirikiano kati ya baraza na benki hiyo, katika kuwawezwesha wana VICOBA kiuchumi. Hafla hiyo...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Wakulima watakiwa kutoa ushirikiano

Wakulima wa mahindi wameshauriwa kuwa na ushirikiano na maofisa ugani ili kudhibiti magonjwa na kuangamiza wadudu waharibifu katika mashamba yao.

 

10 years ago

Dewji Blog

Viongozi wa dini washahuriwa kuwapa muda waumini wao kuielewa Katiba Pendekezwa

DSC04751

Katibu wa jumuiya ya umoja wa vijana (UVCCM) CCM manispaa ya Singida, Khalid Hussein, akihamasisha wakazi wa kata ya Utemini manispaa ya Singida, kusoma na kuielewa Katiba iliyopendekezwa ili waweze kutoa maamuzi sahihi wakati wa kupiga kura Tanzania iweze kupata Katiba itakayokidhi mahitaji ya miaka 50 ijayo. DSC04728 Mwenyekiti UVCCM kata ya Utemini Abudulkarimu Hussein akifungua mkutano wa hadhara ambao katibu UVCCM manispaa ya Singida,aliutumia kuhamasisha vijana na wananchi kwa ujumla...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani