Lowassa: Polisi acheni kupiga watu mabomu
Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa ameeleza kusikitishwa na kitendo cha polisi kuwapiga mabomu wananchi wa Tanga waliokuwa wakitoka kwenye mkutano wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
10 years ago
MichuziMh. Lowassa ashiriki Matembezi ya kupiga vita mauaji ya watu wenye Ualbino
9 years ago
CHADEMA Blog10 years ago
Habarileo16 Jun
Acheni kukaa vijiweni, Lowassa aasa Watanzania
WATANZANIA wameshauriwa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo badala ya kukaa vijiweni na kuwajadili watu, jambo ambalo haliwezi kuwapa tija yoyote.
10 years ago
Bongo Movies18 May
Nisha: Acheni Kuazima vya Watu
Staa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’, amewataka mashabiki wake wenye tabia ya kuazima vitu kwa marafiki zao waache kwa kuwa vinaweza kuwaletea madhara makubwa.
Licha ya somo hilo kulitoa katika filamu yake ya ‘Mtaa kwa Mtaa’, pia ameweka wazi kwamba kuazima nguo ama vitu vingine kunaweza kumkosesha amani ama heshima mwazimaji jambo ambalo litampotezea muda wa kufanya maendeleo.
“Hilo ni moja ya somo kwenye filamu yangu hiyo, naamini wapo watakaojifunza kulingana na hilo, nimeuvaa...
10 years ago
MichuziViongozi acheni kuuza utajiri na kununua umasikini - Mh. Lowassa
Akifungua semina ya siku mbili ya juu ya maswala ya ardhi kwenye ukumbi wa hoteli ya Emanyata mjini Monduli,Mh. Lowassa amesema shutuma hizo zimekuwa nyingi kwa viongozi hao kwa kuuza utajiri (ardhi) na kununua umasikini.
"Walikuja pale...
10 years ago
Mtanzania18 May
Nisha: Mashabiki acheni kuazima vya watu
NA MWALI IBRAHIM
MSANII wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’, amewataka mashabiki wake wenye tabia ya kuazima vitu kwa marafiki zao waache kwa kuwa vinaweza kuwaletea madhara makubwa.
Licha ya somo hilo kulitoa katika filamu yake ya ‘Mtaa kwa Mtaa’, pia ameweka wazi kwamba kuazima nguo ama vitu vingine kunaweza kumkosesha amani ama heshima mwazimaji jambo ambalo litampotezea muda wa kufanya maendeleo.
“Hilo ni moja ya somo kwenye filamu yangu hiyo, naamini wapo watakaojifunza kulingana na...
9 years ago
Mwananchi16 Aug
Msafara wa Lowassa wapigwa mabomu
10 years ago
GPLESTER JAMANI MASTAA ACHENI KUIBA WAUME ZA WATU!