Nisha: Acheni Kuazima vya Watu
Staa wa Bongo Movies, Salma Jabu ‘Nisha’, amewataka mashabiki wake wenye tabia ya kuazima vitu kwa marafiki zao waache kwa kuwa vinaweza kuwaletea madhara makubwa.
Licha ya somo hilo kulitoa katika filamu yake ya ‘Mtaa kwa Mtaa’, pia ameweka wazi kwamba kuazima nguo ama vitu vingine kunaweza kumkosesha amani ama heshima mwazimaji jambo ambalo litampotezea muda wa kufanya maendeleo.
“Hilo ni moja ya somo kwenye filamu yangu hiyo, naamini wapo watakaojifunza kulingana na hilo, nimeuvaa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania18 May
Nisha: Mashabiki acheni kuazima vya watu
NA MWALI IBRAHIM
MSANII wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’, amewataka mashabiki wake wenye tabia ya kuazima vitu kwa marafiki zao waache kwa kuwa vinaweza kuwaletea madhara makubwa.
Licha ya somo hilo kulitoa katika filamu yake ya ‘Mtaa kwa Mtaa’, pia ameweka wazi kwamba kuazima nguo ama vitu vingine kunaweza kumkosesha amani ama heshima mwazimaji jambo ambalo litampotezea muda wa kufanya maendeleo.
“Hilo ni moja ya somo kwenye filamu yangu hiyo, naamini wapo watakaojifunza kulingana na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp20yuC9-AHiIbAzNOh5Kx6SasA*LUMNoc*zFos2I-sZGppWlORJBiU32eLztQoOW-V*Z08WvdO0Mo7y-1ADsn*i3/nisha.jpg)
NISHA: MH! ETI NINA MIMBA, WATU BWANA
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Lowassa: Polisi acheni kupiga watu mabomu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XP1HwsPGdbc2eplZ4Dd5Jdeo4YDIHRWnl-vvd3hB0*xDWJBGUICbnyni1Gdx3grZzAO3ntYTfroBVH*46B18yO9m0*Ou0m*u/44.jpg?width=650)
ESTER JAMANI MASTAA ACHENI KUIBA WAUME ZA WATU!
11 years ago
Habarileo11 Dec
'Vijana acheni utumwa wa vyama vya siasa'
VIJANA nchini wametakiwa kuachana na utumwa wa majina ya vyama vya siasa nakuanza kutafakari mustakabali wa Taifa. Aidha vijana na wazee kwa maslahi ya taifa wanatakiwa kuachana na siasa ya majitaka.
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
CCM acheni kupiga mayowe, acheni wananchi waamue
MAPENDEKEZO ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba inayoongozwa na Jaji Joseph Warioba, yanaonekana kuwatia kiwewe baadhi ya viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliopo visiwani Zanzibar. Ukizisikiliza kauli zao juu...
10 years ago
Bongo Movies03 Jan
Sekeseke la Panya Road: Jionee Vituko vya Mzee Majuto na Nisha
Kama mnavyojua, siku ya jana hapa jijini Dar es salaam kulikuwa na taharuki kubwa ikiwahusisha baadhi ya vijana wanaojikusanya kwenye vikundi na kujiita Panya road ambao huzunguka mitaani kufaya vurugu na kupora watu na huvyo kusababisha hofu kubwa kwa wakazi wa jijini hapa.
Hivi ni vituko vya waigizaji Mzee Majuto na Nisha kwa nyakati tofauti, Mzee Majuto akiwa nje ya jiji la Dar, akionekana “anagonga” mchemsho wa samaki huku anaongea na simu, JB alimuwekea maneno haya kwenye picha...
9 years ago
Habarileo08 Nov
Polisi wachunguza vifo vya utata vya watu 4 Bukoba
JESHI la Polisi mkoani Kagera linachunguza tukio la vifo vya watu wanne waliouawa katika mazingira ya kutatanisha, kilometa 10 kutoka Bukoba Mjini.
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Vita vya jogoo vyasababisha vifo vya watu 10