Sekeseke la Panya Road: Jionee Vituko vya Mzee Majuto na Nisha
Kama mnavyojua, siku ya jana hapa jijini Dar es salaam kulikuwa na taharuki kubwa ikiwahusisha baadhi ya vijana wanaojikusanya kwenye vikundi na kujiita Panya road ambao huzunguka mitaani kufaya vurugu na kupora watu na huvyo kusababisha hofu kubwa kwa wakazi wa jijini hapa.
Hivi ni vituko vya waigizaji Mzee Majuto na Nisha kwa nyakati tofauti, Mzee Majuto akiwa nje ya jiji la Dar, akionekana “anagonga” mchemsho wa samaki huku anaongea na simu, JB alimuwekea maneno haya kwenye picha...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies05 Mar
Picha: Mzee Majuto Akiwa Katika Pozi Tamuuu na Mrembo Nisha!!!
Tahadhari: Hii sio Le Projectii, ni picha tu za kawaida ambazo katika pita pita zangu kwenye kurasa za waigizaji kwenye mitandao ya kijamii kutafuta UBUYU ndipo nikakutana na picha hizi tamu za Mzee Majuto akiwa na mrembo Nisha.
Kilichonifurahisha na kunifanya nizilete hapa ni hizi pozi zao mbili tofauti, kwanza wanaonekana kama wapo wanachombezana mara wanaonekana kama wamefumwaa…hahahaha hatari sana.
Kuthibitisha kuwa hii sio Le Project Nisha aliandika maneno haya kiutani kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima04 May
JB amkabidhi Mzee Majuto tuzo ya ‘Shikamoo Mzee’
MSANII wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameamua kumkabidhi mkongwe wa tasnia hiyo, Mzee Majuto tuzo ya ZIFF aliyoshinda mwaka huu kupitia filamu yake ya ‘Shikamoo Mzee’ kama heshima...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DS3fBDgklorUmdbBzaky6CWN1Ev2K*TXVyWwO49gFEYRkkDToG4aX1p*hbLjHbUH4SaKxJY1ThtR0vpHfKghJjPoN7hdAl6J/mzee.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO ATAPELIWA
10 years ago
CloudsFM05 Jan
Panya Road 36 mbaroni
Vijana wa kikundi hicho wenye umri wa kati ya miaka 16 mpaka 30, walizua vurugu katika maeneo mbalimbali ya jiji na kusababisha baadhi ya shughuli kusitishwa kwa muda.
Wananchi walikuwa na hofu ya kuvamiwa na wahalifu wa kikundi hicho, waliokuwa wanapiga watu, kupora na kuharibu magari.
Akizungumza na waandishi...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/x93ABI42iFW29as1MN1fUZDtVmEA-aJDHbIPosQqBoANWKwI9oqq10QIvbteGTA*t3w5sXnGv-rJNVjGBsKXeARWQCn3GC*3/makka.jpg?width=650)
MZEE MAJUTO ASIMULIA ALIVYONUSURIKA
10 years ago
Mtanzania03 Jan
Panya Road waivuruga Dar
![Kamishna Suleiman Kova](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Suleiman-Kova.jpg)
Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova
Na Waandishi Wetu
GENGE la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu jijini Dar es Salaam linalofahamika zaidi kwa jina la Panya Road, jana usiku lilivamia maeneo mbalimbali ya jiji na kufanya vitendo vya uhalifu.
Taarifa za kufanyika kwa vitendo hivyo vya uhalifu zilifika katika chumba cha habari cha gazeti la MTANZANIA Jumamosi saa 2.00 usiku na dakika chache baadaye zilisambaa katika mitandao ya kijamii huku zikiwa...
10 years ago
TheCitizen10 Jan
‘Panya Road’: Possible economic causes and solutions
10 years ago
Mtanzania06 Jan
Panya Road 500 mbaroni
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewatia mbaroni vijana 500, maarufu Panya Road ambao wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha na uporaji.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova, alisema vijana hao walikamatwa katika operesheni maalumu iliyofanyika katika mikoa mitatu ya kipolisi ya Ilala ambako walikamatwa vijana 104, Temeke (168) na Kinondoni (202).
Alisema operesheni hiyo ilitokana...
10 years ago
AllAfrica.Com06 Jan
500 Arrested Over 'Panya Road'
IPPmedia
AllAfrica.com
POLICE in Dar es Salaam have arrested 510 youth, suspected of being members of a criminal group known as 'panya road,' who are alleged to have invaded and attacked people in the city on Friday evening. Special Zone Police Commander Suleiman Kova ...
510 'panya road' netted in Dar es SalaamIPPmedia
Tanzanian police arrest 36 in connection with gang violenceSabahi Online
all 18