Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TZ inapomsamehe Museveni kumuenzi Mandela

Suala la kusamehe na kusahau kama njia ya kumuenzi aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, marehemu Nelson Mandela limeanza kutumika katika kuamua mambo mbalimbali, likiwano suala la mgogoro baina ya viongozi wa nchi za Afrika Mashariki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Afrika Kusini kumuenzi Mandela

Bunge nchini Afrika Kusini, leo linatarajiwa kuwa na kikao maalum cha kumkumbuka Nelson Mandela, huku viongozi duniani wakijiandaa kwa misa ya wafu itakayofanyika Jumanne.

 

11 years ago

Habarileo

Askofu Tutu- Muwe na nidhamu kumuenzi Mandela

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Anglikana, Mshindi wa Tuzo ya Nobel, Desmond Tutu, akifunga shughuli za kumuaga Rais wa Kwanza wa Afrika Kusini jana, aliwaonya wananchi wa taifa hilo, kuapa kwa Mungu kwamba watafuata nidhamu aliyokuwa nayo Mandela.

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Tutu: Viongozi wa dunia hatuna budi kumuenzi Mandela

Mshindi wa Nishani ya Amani ya Nobel, Askofu Desmond Tutu amesema ana imani kwamba viongozi wanaotaka umashuhuri duniani watafuata mfano wa Nelson Mandela.

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

11 years ago

Tanzania Daima

BoT kumuenzi Rutihinda

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeandaa mafunzo maalumu kwa ajili ya kumbukumbu ya aliyekuwa gavana wa tatu wa benki hiyo, Gilman Rutihinda. Katika mafunzo hayo yaliyopewa jina la GRML, mada...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Acheni kumuenzi Nyerere kinafiki

UNAFIKI ni hali au tendo la kujifanya kuwa mkweli au kujidai kuwa ni rafiki kumbe ni adui. Zaidi ya robo tatu ya viongozi tulionao baada ya Mwalimu Julius Nyerere ni...

 

9 years ago

Vijimambo

CHUO KIKUU DODOMA KUMUENZI JK

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Profesa Idris Kikula akimkabidhi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi nakala ya kitambu kinachoelezea kwa kina historia ya Chuo Kikuu cha Dodoma. Katika Maelezo yake, Prof. Kikula amesema UDOM imeamua kuweka katika maandishi historia nzima ya Chuo hili ili kuepusha upotoshaji na upindishaji wa ukweli na kwamba UDOM inapanga kumuenzi Mhe. Rais Jakaya Kikwete ikiwa ni kutambua mchango wake katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tamasha la Busara kumuenzi Bi. Kidude

TAMASHA la kimataifa la muziki la Sauti za Busara ambalo linafahamika kama ‘Tamasha Rafiki’ mwaka huu linatarajiwa kumkumbuka msanii mkongwe Fatma Bint Baraka ‘Bi Kidude’. Akizungumza na waandishi wa habari...

 

10 years ago

BBCSwahili

BBC kumuenzi Komla Dumor .

BBC yaanzisha tuzo za kumuenzi aliyekuwa mtangazaji wake Komla Dumor,mwaka mmoja baada ya kifo chake .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani