Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu Tutu- Muwe na nidhamu kumuenzi Mandela

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Anglikana, Mshindi wa Tuzo ya Nobel, Desmond Tutu, akifunga shughuli za kumuaga Rais wa Kwanza wa Afrika Kusini jana, aliwaonya wananchi wa taifa hilo, kuapa kwa Mungu kwamba watafuata nidhamu aliyokuwa nayo Mandela.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Askofu Tutu: Viongozi wa dunia hatuna budi kumuenzi Mandela

Mshindi wa Nishani ya Amani ya Nobel, Askofu Desmond Tutu amesema ana imani kwamba viongozi wanaotaka umashuhuri duniani watafuata mfano wa Nelson Mandela.

 

10 years ago

Habarileo

'Askofu muwe na hofu ya Mungu'

VIONGOZI wa Serikali nchini wameaswa kuwa na hofu ya Mungu wanapotekeleza majukumu yao ya kila siku katika kuwaletea maendeleo wananchi na kwamba kwa jinsi hali ilivyo kwa sasa hapa nchini viongozi wanaohitajika ni wale wenye kiu na njaa ya usawa na haki katika matumizi ya rasilimali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Nyumba ya Askofu Tutu yavamiwa

Wezi wamevunja na kuingia nyumbani kwa Askofu mstaafu Desmond Tutu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu Tutu arejeshwa hospitali

Askofu Desmond Tutu na mshindi wa nishani ya Nobel amerejeshwa tena Hospitali kwa matibabu zaidi.

 

11 years ago

BBC

Tutu criticises Mandela services

Archbishop Desmond Tutu says Nelson Mandela would have been appalled by the exclusion of Afrikaners from his memorial services and also criticises the prominence of the ANC.

 

11 years ago

Mwananchi

TZ inapomsamehe Museveni kumuenzi Mandela

Suala la kusamehe na kusahau kama njia ya kumuenzi aliyekuwa Rais wa Afrika Kusini, marehemu Nelson Mandela limeanza kutumika katika kuamua mambo mbalimbali, likiwano suala la mgogoro baina ya viongozi wa nchi za Afrika Mashariki.

 

11 years ago

BBCSwahili

Askofu Desmond Tutu akemea ANC

Askofu mkuu nchini Afrika Kusini Desmond Tutu, amesema kuwa Nelson Mandela angechukizwa sana na ANC kukosa kuwajumuisha watu wa jamii ya Afrikaans kwenye ibada za mazishi yake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Askofu Tutu hatimaye arejea nyumbani

Askofu Desmond Tutu ameruhusiwa kurejea nyumbani kutoka hospitalini ambako amekuwa akipokea matibabu kwa zaidi ya wiki mbili

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu Desmond Tutu apata afueni

Askofu wa Afrika kusini Desmond Tutu amerejea nyumbani kutoka hospitalini ambako amekuwa akipata matibabu ya kansa ya tezi dume

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani