Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu Tutu arejeshwa hospitali

Askofu Desmond Tutu na mshindi wa nishani ya Nobel amerejeshwa tena Hospitali kwa matibabu zaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Nyumba ya Askofu Tutu yavamiwa

Wezi wamevunja na kuingia nyumbani kwa Askofu mstaafu Desmond Tutu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Askofu Tutu hatimaye arejea nyumbani

Askofu Desmond Tutu ameruhusiwa kurejea nyumbani kutoka hospitalini ambako amekuwa akipokea matibabu kwa zaidi ya wiki mbili

 

11 years ago

BBCSwahili

Askofu Desmond Tutu akemea ANC

Askofu mkuu nchini Afrika Kusini Desmond Tutu, amesema kuwa Nelson Mandela angechukizwa sana na ANC kukosa kuwajumuisha watu wa jamii ya Afrikaans kwenye ibada za mazishi yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu Desmond Tutu apata afueni

Askofu wa Afrika kusini Desmond Tutu amerejea nyumbani kutoka hospitalini ambako amekuwa akipata matibabu ya kansa ya tezi dume

 

10 years ago

BBCSwahili

Askofu Desmond Tutu ana tezi dume

Askofu mkuu mstaafu wa Cape Town,Desmond Tutu,ameahirisha mipango ya ziara zake kwa mwaka mzima ujao kutokana na sababu za kiafya.

 

10 years ago

GPL

ASKOFU DESMOND TUTU ANASUMBULIWA NA TEZI DUME

Askofu Mkuu Mstaafu wa Cape Town, Desmond Tutu. ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Cape Town, Desmond Tutu, ameahirisha mipango ya ziara zake kwa mwaka mzima ujao kutokana na sababu za kiafya. Taarifa iliyotolewa na taasisi yake imeeleza kuwa Askofu huyo ataanza matibabu hivi karibuni ili kukabiliana na tezi dume ambayo amedumu nayo miaka 15 iliyopita. Binti wa Askofu huyo amemuelezea baba yake mwenye umri wa miaka 82, kwamba hatahudhuria...

 

11 years ago

Habarileo

Askofu Tutu- Muwe na nidhamu kumuenzi Mandela

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Anglikana, Mshindi wa Tuzo ya Nobel, Desmond Tutu, akifunga shughuli za kumuaga Rais wa Kwanza wa Afrika Kusini jana, aliwaonya wananchi wa taifa hilo, kuapa kwa Mungu kwamba watafuata nidhamu aliyokuwa nayo Mandela.

 

9 years ago

Bongo5

Binti wa Askofu Desmond Tutu afunga ndoa na mwanamke mwenzake

Mpho+Tutu

Canon Mpho Tutu‚ mtoto wa Askofu Desmond Tutu wa Afrika Kusini amefunga ndoa na mwanamke mwenzake, Professor Marceline Furth kwenye sherehe ndogo iliyofanyika Alhamis iliyopita nchini Uholanzi.

page (1)

Canon Tutu ni Mkurugenzi Mkuu wa taasisi ya Desmond & Leah Tutu Legacy Foundation. Professor van Furth ni mhadhiri wa Paediatric Infectious Diseases kwenye chuo kikuu cha Vrije cha jijini Amsterdam.

Hiyo ndio ya pili kwa wote wawili. Ndoa yao itasherehekewa mjini ted in Cape Town May 2016.

Jiunge...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Tutu: Viongozi wa dunia hatuna budi kumuenzi Mandela

Mshindi wa Nishani ya Amani ya Nobel, Askofu Desmond Tutu amesema ana imani kwamba viongozi wanaotaka umashuhuri duniani watafuata mfano wa Nelson Mandela.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani