Rais wa Corinthians akanusha taarifa za Pato kuhamia Liverpool kwenye dirisha la usajili Januari
Mchezaji wa Corinthians, Alexandre Pato.
Rais wa Corinthians, Robero de Andrade.
Na Rabbi Hume
Rais wa klabu ya Corinthians, Robero de Andrade amekanusha uvumi uliokuwa unatolewa na vyombo mbalimbali vya habari kuwa timu hiyo imefikia makubaliano ya awali na Liverpool kuhusu uhamisho wa mchezaji wao Pato.
Andrade amesema kuwa hakuna ofa yoyote ambayo timu hiyo tayari imepokea kutoka kwa Liverpool licha ya kuandikwa habari nyingi kuwa mchezaji wao Pato atahamia Liverpool katika dirisha dogo...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …
Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]
The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yr2teepIgmk/Vk8iUzDKvII/AAAAAAAIHJ4/SvA-ChUS4v4/s72-c/kizu.png)
DIRISHA LA USAJILI KUFUNGWA DISEMBA 15
![](http://1.bp.blogspot.com/-yr2teepIgmk/Vk8iUzDKvII/AAAAAAAIHJ4/SvA-ChUS4v4/s640/kizu.png)
10 years ago
Michuzi05 Aug
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Dirisha la usajili lafugwa Tanzania
10 years ago
Habarileo06 Aug
Dirisha la usajili kufungwa leo
PILIKAPILIKA za usajili kwa wachezaji wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi Daraja la Kwanza (FDL) na Ligi Daraja la Pili (SDL), zinafikia tamati leo saa 6:00 usiku, imeelezwa. Msemaji wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Baraka Kizuguto alisema kuwa TFF imezikumbusha klabu zote zinazoshiriki msimu mpya wa mwaka 2015/2016, kuhakikisha vinakamilisha usajili wa wachezaji wao kabla ya dirisha hilo la usajili kufungwa.
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Dirisha la Usajili lafungwa England
9 years ago
Mwananchi18 Dec
Diego afunika usajili wa dirisha dogo
10 years ago
Mwananchi03 Nov
Klabu zitumie vizuri dirisha dogo la usajili