Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jux: Nafanya muziki biashara sifanyi kujifurahisha

Staa wa Bongo Fleva,Juma Jux amefunguka zile hisia za mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva kuwa msanii huyo anafanya muziki usio wa kiushindani kama wasanii wengine na kwamba anaonekana kama anafanya tu kwa vile ana kipaji au kujifurahisha.Akizungumza na Clouds Fm alisema kuwa mashabiki wanaona kama hana presha na muziki huo kama wasanii wengine lakini hisia za mashabiki hao ni tofauti na kwani yeye ni kama wasanii wengine hufikiria sana kuhusu muziki wake.

‘’Mshabiki wanafikiria tofauti sana...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Saisalu: Nafanya muziki kutafuta ada ya chuo

>Muziki ni miongoni mwa starehe inayomhusu mtu yeyote ikiweza kuburudisha, kufariji hata kuliwaza wakati wowote, popote kwa jambo lolote.

 

10 years ago

Mwananchi

Idd Azzan: Mwenye ushahidi nafanya biashara ya dawa za kulevya awape polisi

Idd Mohamed Azzan si jina geni katika siasa hususan kwa wakazi wa Jimbo la Kinondoni. Ni jina la mbunge wao. Amewawakilisha wananchi kwa vipindi viwili mfululizo kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

9 years ago

Bongo5

Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania

beka

Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.

beka

Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.

“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...

 

9 years ago

Bongo5

Kufanya muziki kwa kuzingatia maadili ni kujikosesha fursa – Jux

12317695_1056396384405644_446158107_n

Muimbaji wa muziki wa R&B aliyewahi kupata dhoruba la kufungiwa kwa video ya wimbo wake ‘Uzuri Wako’ na Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) kwa kigezo cha maadili, ameeleza jinsi kigezo hicho kinavyoathiri wasanii na kushindwa kupiga hatua.

12317695_1056396384405644_446158107_n

Jux aliyeachia video ya wimbo wake mpya ‘One more Night’ hivi karibuni, amekiambia kipindi cha FNL kinachoruka kupitia EATV kuwa, kama wakiendelea kubanwa na kigezo hicho, wasanii wa Tanzania watashindwa kushindana na wasanii wa kimataifa.

“Unajua muziki wetu...

 

9 years ago

Bongo5

Nyota imenifundisha biashara ya muziki — Msechu

Peter Msechu amesema wimbo wake, Nyota umemfanya aelewe na kuamua kufanya muziki wa kibiashara tofauti na alivyokuwa akifanya huko nyuma. Msechu ameiambia Bongo5 kuwa mwanzo alikuja hajaelewa siri ya mchezo. “Nyota ndio imenifanya nielewe maana biashara ya muziki,” amesema. “Sasa hivi nitakuwa nazingatia kila kitu kwenye muziki wangu. Muziki ni biashara kama biashara nyingine, sio […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

KIAMUANGANA MATETA ‘VERCKYS’: Gwiji lililomudu muziki na biashara DRC

HISTORIA ya muziki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), haiwezi kukamilika iwapo halitatajwa jina la mwanamuziki Kiamuangana Mateta maarufu ‘Verckys’. Kiamuangana, alijijengea umaarufu katika muziki akiwa mpulizaji mashuhuri wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mipango ya kujifurahisha, mashabiki wanashangilia

Klabu ya Simba imezindua rasmi huduma yake mpya  itakayojulikana kama ‘Simba News’ ambayo wanachama, wapenzi na wadau wengine wanaweza kupata habari zinazohusu klabu hiyo kupitia ujumbe mfupi.

 

11 years ago

Bongo5

Audio: Jokate azungumzia filamu, muziki, biashara, Alikiba vs Diamond, Wema na mapenzi

Jokate Mwegelo yupo jijini Nairobi, Kenya ambapo hata hivyo hajaweka wazi ameenda kufanya nini lakini aliweza kukutana na Mzazi Willy M Tuva kwenye show ya redio inayosikilizwa zaidi nchini humo, ‘Mambo Mseto’ ya kituo cha Radio Citizen kuzungumzia masuala mbalimbali kuanzia filamu, muziki, biashara, ushindani kati ya Alikiba na Diamond na uhusiano. Kuhusu nyimbo mpya […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani