Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dar Bongo Massive: Wakali wanaotamani kukuza muziki wa asili

Wasanii mbalimbali nchini wamejaribu kuutambulisha muziki wa asili wa Kitanzania katika anga za kimataifa, kazi ambayo inaendelea kufanyika hata sasa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania

beka

Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.

beka

Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.

“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tuinue muziki wa injili kukuza maadili katika jamii: UDA

Albam pix 3

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA), Bw John Samangu (kushoto) akikata utepe kuzindua rasmi albamu ya kwanza kutolewa na ya kwaya ya Kanisa la Kigango cha Mtakatifu Rita wa Kashia ijulikanayo kama ‘Msifuni Bwana’ jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni mwenyekiti wa Kigango cha Mt. Rita Bw. Frederick Msumali(kushoto) na waumini wengine. (Picha na mpiga picha wetu).

Na Mwandishi Wetu

JAMII imeombwa kusaidia kuinua muziki wa injili unaofanywa na...

 

10 years ago

Bongo5

Mr Blue kuanzisha ‘Micharazo Foundation’ kusaidia kukuza vipaji vya muziki

Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaji vya wasanii wachanga. Blue ameiambia Bongo5 kuwa kama yeye alisaidiwa na watu mpaka akafikia alipo sasa, yeye pia ana wajibu wa kufanya hivyo kwa watu wengine. “Dhumuni kabisa ya hili kundi ni kusaidia,” amesema Kabayser. […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

SALUMU LUKOSI ‘KIDALI’: Msanii wa ngoma za asili anayesaka soko Bongo Fleva

MOJA ya ndoto ya wasanii wengi nchini ni kufikia malengo ya kuwa na maisha bora kama ilivyo kwa wasanii wengine waliopata  kupitia huko. Pia ieleweke kwamba, sanaa imekuwa kitovu cha...

 

11 years ago

Michuzi

THE LADIES WAKALI WA VITAFUNWA JIJINI DAR ES SALAAM

  Ujasiriamali ni jambo lililojema miongoni mwa jamii. Watu wengi wamekuwa wakilalamika kukosa vitu vya kufanya ili kuweza kujipatia kipato na kuacha kuwa tegemezi kwa wazazi au waume na hata wakati mwingine wake zao. Wana dada wawili marafiki ambao kwa bahati majina ya ubini ya wazazi wao yanafanana na wao kuamua kujiita ndugu,  Joan Joseph Massawe (pichani kulia)  na Angel Fabian Massawe wao kwa kuliona hilo waliamua kuanzisha bishara ambayo itawapatia kipato cha ziada mbali na ajira zao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani