Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HERI YA PASAKA

Dear Friends,
My prayers and Easter greetings to you all.Easter is God's Promise which His Son came to fulfill,A Promise of Eternal life for all who seek His will,Season of the Budding trees, the lily in its glory,The greening hills, the daffodils, the Holy Easter Story;Easter is the joy of Spring, God's gift and triumph, too;Reminding us of Jesus' Love, in which we are born a new.United in the Spirit of Prayer at EasterYours in the Risen Lord. Fr. Evod Shao

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

HERI YA SIKUKUU YA PASAKA

LEO NI SIKU KUBWA SANA KWA WAKRISTO WOTE DUNIANI AMBAO WANAUNGANA PAMOJA KATIKA KUMBUKIZI YA KUFUFUKA KWA BWANA YESU KRISTO NA KUPAA MBINGUNI AMBAYO ILIITWA PASAKA. HIVYO GLOBU YA JAMII INAWATAKIA HERI NA FANAKA WADAU WOTE KATIKA SIKUKUU HII YA PASAKA.

 

10 years ago

GPL

GLOBAL PUBLISHERS INAWATAKIA HERI YA SIKUKUU YA PASAKA

KAMPUNI ya Global Publishers & General Enterprises Ltd wamiliki wa tovuti hii na wachapishaji wa magazeti ya Amani, Uwazi, Championi, Ijumaa na Risasi inawatakia wasomaji wake kila la heri katika kusherehekea Sikukuu ya Pasaka.

 

9 years ago

Michuzi

NGOMA AFRICA BAND INAWATAKIA HERI YA SIKUU YA MAULID NA HERI YA KRISMASI NA MWAKA MPYA

Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya The Ngoma Africa Band aka FFU-ughaibuni inayoongozwa na Kamanda  Ras Makunja yenye maskani nchini ujerumani inawatakieni kila la heri katika siku kuu ya Maulid el Nabii Muhammad(S.W.A) pia Heri ya siku kuu ya Krismasi kwa wadau wote iwena amani,upendo,furaha na mshikamano bila kusahau kupata muziki at www.ngoma-africa.com au www.reverbnation.com/ngomaafricabandjumuika nao at www.facebook.com/ngomaafricaband

 

10 years ago

GPL

MTOKO WA PASAKA WA GWT ULIVYOFANA SIKUKUU YA PASAKA

Waimbaji wa Glorious Worship Team (GWT) wakiwa stejini wakati wa kumsifu Mungu na kumwabudu. Glorious Worship Team wakizidi kumwabudu Mungu katika Ukumbi wa Victoria Petrol Station. Mpiga gitaa la sauti nzito (base) wa GWT, Emmanuel Materu akicharaza gitaa hilo. Pembeni yake ni…

 

11 years ago

Michuzi

KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO

Kikundi mahiri cha KAPOTIVE Star Singers- Bukoba,Wanayo furaha kuwatangazia kuwa kwa mapenzi ya Mungu, Tar. 20/04/2014 sikukuu ya Pasaka watakuwa na tamasha la Pasaka LINA’S CLUB -Bukoba, kuanzia saa 9 mchana hadi 2 usiku na kesho yake tar. 21/04/2014 Watakuwa katika mji wa Biharamulo. 
 Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri 2014

HERI ya mwaka mpya msomaji wa safu hii ya Busati, ambayo leo itakuwa ni ya kwanza katika mwaka huu 2014. Awali ya yote, napenda kuwapongeza wote ambao Mwenyezi Mungu ametujalia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri Kalenga

HATIMAYE tambo na vijembe vya kisiasa vilivyotawala kwa takriban mwezi mmoja katika Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa, vitamalizika kesho wakati wananchi wa jimbo hilo watakapojitokeza kupiga kura. Uchaguzi huo mdogo...

 

9 years ago

Mwananchi

Tunawatakia Watanzania heri ya Krismasi

Haleluya, Bwana amezaliwa! Hiyo, ni salamu mahsusi au maalumu ambayo waumini wa Kikristo kote duniani wanatakiana leo, inapofanyika sikukuu ya Krismasi.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Heri Muziki — Watu

Download au kusikiliza wimbo mpya wa Heri Muziki uitwao ‘Watu’. Wimbo umeandikwa na kutayarishwa na Mswaki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani