Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wabunge wetu na maaoni ya wananchi

UKISIKILIZA jinsi mjadala unavyokwenda kwenye Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma, utagundua kwamba wabunge wetu hawana mawasiliano na wananchi waliowatuma bungeni. Wabunge wanawasilisha maoni yao binafsi badala ya kuwasilisha maoni...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nani kawaloga wabunge wetu?

KWA takriban wiki mbili sasa nipo mkoani Dodoma nikihudhuria vikao vya Bunge la Bajeti linaloendelea hivi sasa, kubwa zaidi linalonivutia ni majadiliano yanayoendelea baada ya Waziri wa Fedha, Saada Mkuya...

 

10 years ago

Mwananchi

Ajabu! Wabunge wetu mmejisahau, mmegeuka kuwa janga

>Kuna usemi ambao nimekuwa nikiusikia mara kwa mara na ambao umekuwa ukitumiwa na watu wengi, unasema kuwa mdomo uliponza kichwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni kosa lenye heri au tuendelee kuwalaumu wabunge wetu?

Sote tuna vibanzi. Kila mtu kwa nafasi yake. Tusiwanyoshee wabunge kidole wala kuwalaumu. Tunapenda sana kulaumu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tutengeneze Katiba inayolenga kutatua matatizo ya wananchi wetu kwa miaka 50 ijayo: Prof. Mwandosya

Mwandosya akizungumza 3

Mjumbe wa Bunge Maalum, Mhe. Prof. Mark Mwandosya akichangia mjadala wa ndani ya Bunge Maalum kujadili taarifa za kamati za bunge hilo zilizowasilishwa wiki iliyopita kwa ajili ya kuandika Katiba inayopendekezwa.(Picha na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma)

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.

MJUMBE wa Bunge Maalum la Katiba Mhe. Prof. Mark Mwandosya ameeleza kuwa mpaka ifikapo mwaka 2055 Tanzania itakuwa imeachana na umaskini katika nchi ya uchumi wa kwanza endapo kutakuwa na dhamira ya...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WA TUNISIA WANACHAGUA WABUNGE LEO

Wasimamizi wa Uchaguzi wakiweka mambo sawa leo asubuhi. Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa tangu asubuhi ya leo nchini Tunisia ambapo wananchi zaidi ya milioni 5.3 waliotimiza masharti ya kupiga kura wanatarajiwa kuchagua wabunge 217 wapya. Kuna vituo 4,500 vya kupigia kura ambapo vyama vya kisiasa zaidi ya 100 vinashiriki uchaguzi huo. Uchaguzi wa leo ni wa kwanza kufanyika kwa mujibu wa katiba mpya ya Tunisia na wa pili...

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wamshukia Makinda, wabunge CCM

Baadhi ya wananchi wamesema Spika Anne Makinda na baadhi ya wabunge wa CCM ndiyo chanzo cha Bunge hilo kusitishwa kwa dharura, kwani walionyesha wazi kuwabeba watuhumiwa waliotajwa katika ripoti zilizowasilishwa bungeni hapo.

 

10 years ago

Habarileo

Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi

Profesa Kitilla Mkumbo WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.

 

10 years ago

StarTV

CCM Dar yawataka wabunge wake kuelimisha wananchi

Na Grace Semfuko,

Dar es Salaam.

 

Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam kimewataka wabunge wa Mkoa huo kupitia CCM kutoa elimu kwa wakazi wake kuhusiana na masuala ya kijamii yaliyomo kwenye Katiba inayopendekezwa ili wakazi hao waweze kuipigia kura bila kuwa na kikwazo chochote.

 

Katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dar Es Salaam wajumbe wake wamesema hatua hiyo itawawezesha wakazi wengi kuipigia kura Katiba hiyo ili hatimaye iweze kupita na kutumika kama Katiba mama ya...

 

5 years ago

Michuzi

Tunatengeneza vitakasa mikono kwa sababu tunawathamini wafanyakazi na wananchi ambao ndio wadau wetu wakuu katika huduma-Prof. Mkumbo


Katibu Mkuu, Wizara ya Maji Prof. Kitila Mkumbo (kushoto) akionyeshwa utaratibu unaotumika katika kuchanganya Kemikali zinazotumika kuandaa vitakasa mikono katika maabara ya maji jijini Dodoma. Wizara ya Maji katika kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na maambukizi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) wataalam wake wameweza kutengeza vitakasa mikono kwa ajili ya wafanyakazi na wateja wanaofika maofisini kupokea huduma mbalimbali.Katibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani