Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM Dar yawataka wabunge wake kuelimisha wananchi

Na Grace Semfuko,

Dar es Salaam.

 

Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam kimewataka wabunge wa Mkoa huo kupitia CCM kutoa elimu kwa wakazi wake kuhusiana na masuala ya kijamii yaliyomo kwenye Katiba inayopendekezwa ili wakazi hao waweze kuipigia kura bila kuwa na kikwazo chochote.

 

Katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dar Es Salaam wajumbe wake wamesema hatua hiyo itawawezesha wakazi wengi kuipigia kura Katiba hiyo ili hatimaye iweze kupita na kutumika kama Katiba mama ya...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wamshukia Makinda, wabunge CCM

Baadhi ya wananchi wamesema Spika Anne Makinda na baadhi ya wabunge wa CCM ndiyo chanzo cha Bunge hilo kusitishwa kwa dharura, kwani walionyesha wazi kuwabeba watuhumiwa waliotajwa katika ripoti zilizowasilishwa bungeni hapo.

 

5 years ago

Michuzi

OSHA YATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA NA KUELIMISHA WANANCHI

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umetakiwa kuendelea
kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi ikiwemo kuelimisha wananchi kuhusu masuala ya Usalama na Afya kazini ili kupunguza ajali na magonjwa yanayoweza kutokea katika sehemu za kazi.

Agizo hilo limetolewa na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu, Bw. Andrew Massawe, alipotembelea ofisi za OSHA kwa ajili ya kufuatilia utekelezaji wa maagizo mbali mbali ya...

 

5 years ago

Michuzi

NIDA YAWATAKA WANANCHI KUEPUKA VISHOKA

Na: Hadija Maloya-NIDA.
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewaasa wananchi kuacha kutumia njia na watu wasio rasmi kisheria maarufu kama vishoka wakati wa mchakato wa kuomba Vitambulisho vya Taifa badala yake wafuate utaratibu rasmi uliowekwa na Serikali katika kuomba Vitambulisho hivyo.
Rai hiyo imetolewa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano, Bw. Geofrey Tengeneza kufuatia tukio la mwananchi mmoja (Jina limehifadhiwa) mkazi wa Kigogo fresh jijini Dar es salaam kufika ofisi ya...

 

11 years ago

Michuzi

SERIKALI YAWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA MATAPELI

Na Rose Masaka-MAELEZO-Dar es Salaam.
Serikali imewataka  wananchi       kujihadhari na wizi ambao hufanywa na Taasisi za Fedha hewa ambazo zimekuwa zikidai kutoa mikopo kwa njia ya simu.
Tahadhari hiyo imetolewa leo na Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Assah Mwambene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam.
Amesema kuwa Taasisi hizo zimekuwa zikitumia  mitandao ya simu za mkononi kutapeli wananchi kwa kuwaraghai kuwa watawapatia mikopo.
Mwambene ameongeza kuwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

CHADEMA yawataka Wananchi kwenda kujiandikisha katika daftari la mpiga kura

IMG_7601

Mwenyekiti wa Chadema, Mh. Freeman Mbowe akihutubia wakati wa ufunguzi wa mkutano wa viongozi wa  chama hicho wa kanda ya kaskazini unaofanyika leo katika  hotel ya New Arusha jijini humo.

IMG_7568

Viongozi wa Chadema akiwemo Mwenyekiti wakifanya sala kabla ya kuanza  mkutano wa viongozi wa kanda ya kaskazini.

Picture 003

Naibu Katibu mkuu wa Chadema, Salum Mwalimu akiwa anaongea na waandishi wa habari.

 MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo-Chadema, Freeman Mbowe amesema kuwa  chama chao kimejipanga...

 

5 years ago

Michuzi

CCM YATANGAZA KUSITISHA MIKUTANO YA NDANI NA HADHARA KUWAEPUSHA WANACHAMA WAKE, WANANCHI KUPATA MAAMBUKIZI YA ORONA

*Polepole ampa ushauri Mbowe...asema kwenye hili la Corona tuache mzaha kwani madhara yake ni makubwa 

Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii


CHAMA Cha Mapinduzi(CCM) kimetangaza kusitisha mikutano yake ya ndani na hadhara kwa lengo la kuwaepusha wanachama wake na Watanzania kwa ujumla kupata maambukizi ya virusi vya Corona.

Akizungumza leo Machi 17 mwaka 2020,Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Humphrey Polepole amesema Corona ni janga la kidunia na Chama hicho...

 

5 years ago

Michuzi

POLISI SINGIDA YAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA ZA WATU 14 KUUAWA WILAYANI MANYONI

Na Ismail Luhamba,Singida  JESHI la Polisi Mkoa wa Singida limewataka wananchi kupuuza habari zinazozagaa mitandaoni zinazodaiwa watu 14 wamekufa kwa kuchinjwa wilayani Manyoni.Akizungumza na Waandishi wa habari mjini hapa, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike amesema taarifa iliyotolewa na  Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini , Godbless Lema ni ya uongo yenye lengo la kuleta taharuki kwa wananchi.‘’ Lema alitoa taarifa hiyo wakati akitoa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani