WANANCHI WA TUNISIA WANACHAGUA WABUNGE LEO
![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycHWh18dwYtTdT-XNX8aHkuf15PU081hqKx56106iSJ2s**vqR6O3RRMTfqRQxxqYm3Qu67p7HIw5ZGreQqv2qZr/383666_Tunisiavote.jpg)
Wasimamizi wa Uchaguzi wakiweka mambo sawa leo asubuhi. Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa tangu asubuhi ya leo nchini Tunisia ambapo wananchi zaidi ya milioni 5.3 waliotimiza masharti ya kupiga kura wanatarajiwa kuchagua wabunge 217 wapya. Kuna vituo 4,500 vya kupigia kura ambapo vyama vya kisiasa zaidi ya 100 vinashiriki uchaguzi huo. Uchaguzi wa leo ni wa kwanza kufanyika kwa mujibu wa katiba mpya ya Tunisia na wa pili...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili26 Oct
Tunisia yawachagua wabunge wapya
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Wabunge wetu na maaoni ya wananchi
UKISIKILIZA jinsi mjadala unavyokwenda kwenye Bunge la Bajeti linaloendelea mjini Dodoma, utagundua kwamba wabunge wetu hawana mawasiliano na wananchi waliowatuma bungeni. Wabunge wanawasilisha maoni yao binafsi badala ya kuwasilisha maoni...
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Tunisia:Makavazi yafunguliwa leo
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Wananchi wamshukia Makinda, wabunge CCM
10 years ago
Habarileo14 Dec
Wadau wataka wabunge EAC kuchaguliwa na wananchi
WANANCHI wametaka wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) kuchaguliwa na wananchi kutoka nchi wanachama badala ya hivi sasa wabunge hao kuchaguliwa na mabunge ya nchi wanazotoka.
10 years ago
StarTV23 Feb
CCM Dar yawataka wabunge wake kuelimisha wananchi
Na Grace Semfuko,
Dar es Salaam.
Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Dar es Salaam kimewataka wabunge wa Mkoa huo kupitia CCM kutoa elimu kwa wakazi wake kuhusiana na masuala ya kijamii yaliyomo kwenye Katiba inayopendekezwa ili wakazi hao waweze kuipigia kura bila kuwa na kikwazo chochote.
Katika kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Mkoa wa Dar Es Salaam wajumbe wake wamesema hatua hiyo itawawezesha wakazi wengi kuipigia kura Katiba hiyo ili hatimaye iweze kupita na kutumika kama Katiba mama ya...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--Qz5OE7chIw/U4Tlih2DV7I/AAAAAAAFlkg/uM5B1UHppMw/s72-c/b1.jpg)
Wabunge kutoka Nchi Wanacham wa Jumuiya ya Madola (CPA) walalamika kufanywa “ATM” na wananchi
![](http://4.bp.blogspot.com/--Qz5OE7chIw/U4Tlih2DV7I/AAAAAAAFlkg/uM5B1UHppMw/s1600/b1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xmz-dbIG-7g/U4TlihDYGMI/AAAAAAAFlk4/Ps71svIzDEk/s1600/b2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HwwcQBKZon8/U4Tli1Bkr-I/AAAAAAAFlk8/PFZrtWsftSE/s1600/b3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Mauritius wachagua wabunge leo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10