Tunisia yawachagua wabunge wapya
Raia nchini Tunisia wanapiga kura hii leo kwenye uchaguzi wa ubunge ikiwa ni karibu miaka minne tangu yafanyike mapinduzi,
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania27 Mar
JK ateua wabunge wapya
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete amewateua Dk. Grace Puja na Innocent Sebba kuwa wabunge wapya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Taarifa iliyotolewa jijini Dar es Salaam jana na Mwandishi Msaidizi wa Rais, Premi Kibanga, ilisema uteuzi huo unatokana na mamlaka aliyopewa rais na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 66 (I) (e).
Alisema ibara hiyo, inampa mamlaka rais ya kuteua wabunge wasiozidi 10 na kwamba uteuzi wa wabunge hao ulianza Machi 20,...
10 years ago
Habarileo28 Mar
AG atetea wabunge wapya
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, George Masaju ametetea uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete, wa kuteua wabunge wawili wakati zimebaki siku chache kabla ya kuvunjwa Bunge, huku Spika wa Bunge Anne Makinda, akisema hawatapata kiinua mgongo sawa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycHWh18dwYtTdT-XNX8aHkuf15PU081hqKx56106iSJ2s**vqR6O3RRMTfqRQxxqYm3Qu67p7HIw5ZGreQqv2qZr/383666_Tunisiavote.jpg)
WANANCHI WA TUNISIA WANACHAGUA WABUNGE LEO
10 years ago
Michuzi26 Mar
10 years ago
Mwananchi27 Mar
JK ateua wabunge wawili wapya
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Raia wa Libya kuwachagua wabunge wapya
10 years ago
BBCSwahili14 Dec
Raia wa Japan kuwachagua wabunge wapya
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MEmvx5sQgho/VRVwzL98uXI/AAAAAAAHNq4/1ulEgCyH9hM/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
WABUNGE WAPYA WAAPISHWA LEO MJINI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-MEmvx5sQgho/VRVwzL98uXI/AAAAAAAHNq4/1ulEgCyH9hM/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-cg_TuNNSKo4/VRVwzJxjkqI/AAAAAAAHNq0/PAyIcg9xQvo/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
10 years ago
Michuzi18 Feb
NEWS ALERT: RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27,WAPYA WAKIWEMO SHABANI KISU,PAUL MAKONDA,FREDRICK MWAKALEBELA
*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamani.
RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.
Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana...