Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mauritius wachagua wabunge leo

Mauritius leo inafanya uchaguzi wa wabunge, huku vyama vilivyoungana vikipambana kupata asilimia kubwa ya viti.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Azaki wachagua wawakilishi 40 Bunge Maalumu la Katiba

Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limechagua wawakilishi 40 kutoka mitandao ya asasi za kiraia nchini (Azaki), ambao majina yao yatapelekwa kwa Rais Jakaya Kikwete kwa ajili ya uteuzi wa wabunge 20 wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

KCU wachagua viongozi wapya, ‘watosa’ wa zamani

CHAMA Kikuu cha Ushirika, Mkoa Kagera (KCU 1990) LTD, kimefanya mabadiliko ya kuwachagua viongozi wapya na kuwatupa wa zamani katika Mkutano Mkuu Maalum. Uchaguzi huo umefanyika jana chini ya usimamizi...

 

10 years ago

GPL

MAKOCHA WACHAGUA VIJANA KUSHIRIKI MICHUANO YA TAIFA U-12

Mwamuzi akiwakagua wachezaji. Kikosi cha timu ya Villa Kids kikiwa katika pozi.…

 

10 years ago

Michuzi

Wanafunzi wa Tanzania Wanaosoma Mjini Beijing China wachagua viongozi wapya

Wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma Beijing China wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa Mkutano Mkuu wa Jumuiya hiyo na kuwapata Viongozi wapya baada ya kuchagulia kwa kuongoza Jumuiya hiyo kwa mwaka 2015/2016.
Viongozi Wapya waliochaguliwa katika Mkutano Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja ikiwa ni kumbukumbu ya Uchaguzi huo.

 

9 years ago

Dewji Blog

Hatimaye majaji wachagua washiriki 20 katika shindano la Bongo Style Competition !

Kipande cha Video ya mahojiano hayo.

Kuelekea Shindano la Bongo Style  Competition , Ambalo linatarajiwa kufanyika Mwishoni mwa mwezi wa Kumi na moja mwaka huu, Majaji wamefanikiwa kuwapata washiriki ambao wataingia katika Kinyang’anyiro hicho

Akizungumzia Shindano hilo Mratibu wa FASDO Tanzania Joyce Msigwa alisema shindano hilo linalengo la kuibua vipaji vya vijana wenye kati ya umri wa miaka 18-25 katika nyanja za ubunifu mitindo na upigaji picha ili kuwahamasisha kutumia vipaji vyao...

 

11 years ago

Habarileo

Malawi kuchagua Rais, wabunge leo

WANANCHI wa Malawi, leo wanapiga kura kuchagua rais atakayeiongoza nchi hiyo kwa kipindi kingine cha miaka mitano. Kadhalika, watachagua wabunge na madiwani. Hii ni mara ya kwanza kwa wananchi wa Malawi kupiga kura tatu.

 

10 years ago

GPL

NIGERIA KUCHAGUWA MAGAVANA NA WABUNGE LEO

Masanduku ya kupigia kura nchini Nigeria. Rais mteule wa Nigeria Bw. Muhammadu Buhari. Wapiga kura nchini Nigeria wanapiga kura leo kuchagua magavana wa majimbo pamoja na wabunge. Chama cha APC kinatarajiwa kupata ushindi mkubwa baaada ya mgombea wake wa urais aliyekuwa kiongozi wa zamani wa kijeshi Muhammadu Buhari kumshinda aliyekuwa rais wan chi hiyo Goodluck Jonathan kwa kura zaidi ya millioni 2 katika uchaguzi mkuu wa nchi...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WA TUNISIA WANACHAGUA WABUNGE LEO

Wasimamizi wa Uchaguzi wakiweka mambo sawa leo asubuhi. Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa tangu asubuhi ya leo nchini Tunisia ambapo wananchi zaidi ya milioni 5.3 waliotimiza masharti ya kupiga kura wanatarajiwa kuchagua wabunge 217 wapya. Kuna vituo 4,500 vya kupigia kura ambapo vyama vya kisiasa zaidi ya 100 vinashiriki uchaguzi huo. Uchaguzi wa leo ni wa kwanza kufanyika kwa mujibu wa katiba mpya ya Tunisia na wa pili...

 

9 years ago

Mwananchi

Arusha, Handeni kuchagua wabunge wao leo

Wapigakura 321,575 wanatarajiwa kujitokeza kuchagua mbunge wa Arusha Mjini leo, katika uchaguzi unaoshirikisha wagombea wa vyama vinne vya siasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani