Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tunisia:Makavazi yafunguliwa leo

Makavazi ya Bardo nchini Tunisia, yanafunguliwa tena leo Jumanne, juma moja pekee baada ya magaidi kushambulia watalii wa kigeni na kuwauwa 20 kati yao

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SEMINA YA WATENDAJI WA BRN YAFUNGULIWA LEO

Naibu Mtendaji Mkuu, Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (Presidents Delivery Bureau - PDB) inayosimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now! - BRN), Bw. Peniel Lyimo, akifungua semina ya siku nne, ya tathmini ya Utekelezaji wa BRN kwa Mwaka wa kwanza; inayohusisha watendaji kutoka wizara na sekta mbalimbali zinazotekeleza BRN. Semina hiyo imefunguliwa leo Jumatatu jijini Dar es Salaam. Sehemu ya washiriki wakifuatilia mada katika semina hiyo ya tathmini...

 

10 years ago

Michuzi

WARSHA YA MABADILIKO YA TABIA YA INCHI YAFUNGULIWA MJINI BAGAMOYO LEO

  Mgeni Rasmi,  Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Sazi Salula akifungua Warsha kuhusu mipango ya kuhimili mabadiliko ya Tabia Nchi iliyofanyika mjini Bagamoyo. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi ya Makamu na kushirikisha Wadau kutoka Taasis mbalimbali za Serikali na Sekta Binafsi. Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mazingira toka Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Richard Muyungi akimkaribisha Mgeni Rasmi kufungua Warsha hiyo.   Baadhi ya Wadau waliohudhuria Semina hiyo wakimsikiliza kwa...

 

10 years ago

Michuzi

MASHINDANO YA SAFARI POOL NGAZI YA MKOA YAFUNGULIWA LEO MKOANI IRINGA

Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Iringa, Carlous Mbinda akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi kiti cha kubebea wagonjwa kilichotolewa na kilichotolewa na Chama cha mchezo wa Pool Mkoa wa Iringa(IPA) katika hosptali Halimashauri ya Manispaa ya Iringa ikiwa ni sehemu ya uzinduzi wa mashindano ya mchezo wa Pool ngazi ya Mkoa yaliyoanza jana mkoani humoyajulikanayo kama “Safari Lager Pool Competition 2014” ngazi ya Mkoa. Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Halimashauri ya Wilaya ya Iringa,...

 

10 years ago

Michuzi

Mashindano ya Safari Pool Taifa yafunguliwa rasmi mjini Moshi,Kilimanjaro leo

Katiba Tawala wa Wilaya ya Moshi mjini,Remida Ibrahim(wa pili kulia) akicheza kuashilia uzinduzi wa fainali za mashindano ya Pool Taifa yajulikanayo kama “Safari National Pool Competition 2014” yanayofanyika katika Ukumbi wa Kuringe Mkoani Kilimanjaro.Kutoka kushoto ni Katibu wa chama cha Pool Taifa(TAPA), Amos Kafwinga,Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo na Makamu Mwenyekiti wa TAPA, Fred Mushi. Baadhi ya Wachezaji wa Pool wakiwa na zawadi mbalimbali wakielekea Hospitali ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mali; Afikishwa ICC kwa kuharibu makavazi

Anayetuhumiwa kuharibu makavazi ya kihistoria nchini Mali, anatarajiwa kufikishwa mbele ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ya ICC

 

10 years ago

Michuzi

UZINDUZI WA MASHINDANO YA KUPIGA KASIA KWA UTHAMINI WA BIA YA BALIMI LAGER KANDA YA ZIWA YAFUNGULIWA LEO RASMI KIGOMA

 Timu ya Nyika stars wakimalizia kupiga kasia kwenye Ziwa Tanganyika ambao ni mabingwa wa Mkoa na watauwakilisha Mkoa kwenye mashindano ya kanda tarehe 6 Novemba jijini Mwanza Washiriki wanawake wakipiga kasia katika mashindano ya kupiga kasia kwa kutimia mitumbwi ndani ya ziwa Tanganyika Washindani wakijiandaa na mchuano Washindi wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Ramadhani ManenoKiongozi wa washindi wa kwanza kwa upande wa wanawake kutoka kikundi cha Katonga...

 

10 years ago

Vijimambo

WARSHA KUHUSU NAFASI YA VYOMBO VYA HABARI KATIKA KUZUIA UKATILI DHIDI YA WATOTO NCHINI TANZANIA YAFUNGULIWA LEO KILIMANJARO.

  Julieth Swai Mwakilishi kutoka UNICEF akizungumza jambo Baadhi ya washiriki wa Warsha wakifuatilia kwa makini Mmoja wa  washiriki wakiuliza maswali katika warsha hiyo Kimela Bila Mwandaaji wa Kipindi cha Walinde Watoto akizungumza katika Warsha hiyo Mathias Haule, Afisa Maendeleo ya Jamii maswala ya Ukatili dhidi ya Watoto kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto akielezea Sheria ya Mtoto Neema Kimaro, Mratibu wa kipindi cha Walinde Watoto kutoka True Vision Production...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI WA TUNISIA WANACHAGUA WABUNGE LEO

Wasimamizi wa Uchaguzi wakiweka mambo sawa leo asubuhi. Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa tangu asubuhi ya leo nchini Tunisia ambapo wananchi zaidi ya milioni 5.3 waliotimiza masharti ya kupiga kura wanatarajiwa kuchagua wabunge 217 wapya. Kuna vituo 4,500 vya kupigia kura ambapo vyama vya kisiasa zaidi ya 100 vinashiriki uchaguzi huo. Uchaguzi wa leo ni wa kwanza kufanyika kwa mujibu wa katiba mpya ya Tunisia na wa pili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani