SEMINA YA WATENDAJI WA BRN YAFUNGULIWA LEO
Naibu Mtendaji Mkuu, Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (Presidents Delivery Bureau - PDB) inayosimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now! - BRN), Bw. Peniel Lyimo, akifungua semina ya siku nne, ya tathmini ya Utekelezaji wa BRN kwa Mwaka wa kwanza; inayohusisha watendaji kutoka wizara na sekta mbalimbali zinazotekeleza BRN. Semina hiyo imefunguliwa leo Jumatatu jijini Dar es Salaam. Sehemu ya washiriki wakifuatilia mada katika semina hiyo ya tathmini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSEMINA YA BRN KWA WAKURUGENZI WA WIZARA NA TAASISI YAFANYIKA LEO JIJINI DAR
11 years ago
Habarileo11 Dec
Walimu walalamikia posho ya semina BRN
WALIMU wa zaidi ya 100 wa shule za msingi saba za Kata ya Buigiri wilayani Chamwino wamelalamikia posho ya ushiriki katika semina ya Mabadiliko Makubwa Sasa (BRN). Semina hiyo iliandaliwa kwa ajili ya kuleta uelewa kwa walimu hao.
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAFANYA SEMINA KWA WATENDAJI WA HALMASHAURI ZA NYANDA ZA JUU KUSINI
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akitoa hotuba yake wakati wa semina kwa viongozi wa Halmashauri za Kanda za Nyanda za Juu Kusini.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Beki ya CRDB, Tully Mwambapa akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei kutoa...
10 years ago
BBCSwahili24 Mar
Tunisia:Makavazi yafunguliwa leo
10 years ago
MichuziBalozi Seif Ali Iddi afunga Semina ya Siku Nne ya Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi pamoja na watendaji Wakuu wa Serikali
BOFYA HAPA KWA PICHA NA HABARI...
10 years ago
MichuziWARSHA YA MABADILIKO YA TABIA YA INCHI YAFUNGULIWA MJINI BAGAMOYO LEO
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA SAFARI POOL NGAZI YA MKOA YAFUNGULIWA LEO MKOANI IRINGA
10 years ago
MichuziMashindano ya Safari Pool Taifa yafunguliwa rasmi mjini Moshi,Kilimanjaro leo