Walimu walalamikia posho ya semina BRN
WALIMU wa zaidi ya 100 wa shule za msingi saba za Kata ya Buigiri wilayani Chamwino wamelalamikia posho ya ushiriki katika semina ya Mabadiliko Makubwa Sasa (BRN). Semina hiyo iliandaliwa kwa ajili ya kuleta uelewa kwa walimu hao.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 May
Walalamikia posho kiduchu kucheza halaiki Zanzibar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RqACOA39Bus/U_H_P5QY2NI/AAAAAAAGAgA/oiwzvsriEMc/s72-c/unnamed%2B(8).jpg)
SEMINA YA WATENDAJI WA BRN YAFUNGULIWA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-RqACOA39Bus/U_H_P5QY2NI/AAAAAAAGAgA/oiwzvsriEMc/s1600/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TnRqT3r4yiU/U_H_P1L9c9I/AAAAAAAGAgM/u99oTP1DGEg/s1600/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Walimu walalamikia sheria mpya ya mafao
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, kimelalamikia sheria mpya ya mafao ya wastaafu kuwa ni ya kinyonyaji, haistahili kuanza kutumika bila kufanyiwa marekebisho kwa kushirikiana...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Wanafunzi Geita walalamikia kutumikishwa na walimu
11 years ago
Habarileo07 Jan
Wanafunzi wenye virusi walalamikia walimu
BAADHI ya wanafunzi wa shule za msingi mkoani Pwani wenye virusi vya Ukimwi, wamesema baadhi ya walimu huwataka kimapenzi licha ya kuwaeleza ukweli juu ya hali zao kiafya.
10 years ago
Habarileo30 Mar
Walimu wafundwa kwenda na kasi ya BRN
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), itaendelea kuimarisha mafunzo kwa walimu ili wafikie viwango vya kwenda na kasi ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) inayotekelezwa katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
10 years ago
Habarileo24 Oct
Walimu wasusia kikao wakitaka posho
WALIMU 175 wa masomo ya sayansi mkoani Simiyu wameingia kwenye mgomo wa kutoshiriki semina iliyokuwa ikiendelea wilayani Bariadi kwa kutofahamu kiasi cha posho watakacholipwa.
10 years ago
Uhuru Newspaper24 Oct
Walimu wagomea mafunzo wakidai posho
Walimu wagomea mafunzo wakidai posho
NA CHIBURA MAKORONGO, SIMIYU
MAFUNZO kwa ajili ya walimu wa masomo ya sayansi mkoani Simiyu, yameingia dosari baada ya walimu kugoma wakidai posho.
Walimu 200 kutoka wilaya tano za mkoa huo, wanashiriki mafunzo hayo yenye lengo la kuwajengea uwezo, ambapo jana waligoma kuendelea wakitaka kufahamu mustakabali wa posho za kijikimu.
Habari za kuaminika zinasema walimu hao walifikia uamuzi huo baada ya kuhudhuria mafunzo hayo ya siku 10 kwa siku nne mfululizo...
10 years ago
Habarileo21 Dec
Utoro wa walimu, wanafunzi wakwamisha BRN Kigoma
WAKATI Serikali ikiwa katika utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa huku sekta ya elimu ikiwa ni moja ya sekta sita zinazotekeleza mpango huo imeelezwa kuwa utoro wa walimu na wanafunzi umeufanya mkoa Kigoma kushindwa kufikia malengo ya utekelezaji wa mpango huo.