Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walimu wafundwa kwenda na kasi ya BRN

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), itaendelea kuimarisha mafunzo kwa walimu ili wafikie viwango vya kwenda na kasi ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) inayotekelezwa katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAAFISA ELIMU WILAYA WAFUNDWA KUHUSU BRN

Mkuu wa Kitengo cha Utekelezaji cha MIradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN) katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Grace Hoka akitoa maelezo kuhusu miradi ya elimu kwa Maafisa Elimu Wilaya (hawapo Chuo cha Adem mjini Bagamoyo leo.Meneja wa Sekta ya Elimu katika Kitengo cha Rais cha Usimamizi wa Miradi ya Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Jenifa Mhando akitoa maelezo kuhusu BRN na miradi ya elimu kwa Maafisa Elimu Wilaya (hawapo pichani) katika kikao chao kilichomalizika kwenye Chuo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walimu Tabora wafundwa

WAHITIMU 175 wa Chuo cha Ualimu Tabora wameaswa kutumia mafunzo ya ualimu waliyopata kwa uadilifu na kamwe wasije kuwa mzigo kwa serikali na jamii. Meneja wa Mfuko wa PSPF Mkoa...

 

10 years ago

Habarileo

Walimu 18,000 wafundwa mtaala mpya la I, II

JUMLA ya walimu wa shule ya msingi 18,000 kutoka mikoa 14 nchini, leo wanaanza mafunzo yenye kulenga kuwajengea uwezo wa kufundisha Mtaala mpya wa Elimu ya Msingi Darasa la I na la II.

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YATAKIWA KUENDANA NA KASI YA BRN

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO), Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kuwa katika uongozi wake mpya atasimamia maslahi ya wafanyakazi wa shirika hilo na kuwakomboa katika dimbwi la umaskini ili kuendana na mpango wa Matokeo makubwa sasa (BRN).
Ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika kikao cha pamoja cha utambulisho wake kwa wafanyakazi wa Dawasco kilichowajumuisha wakurugenzi pamoja na wafanyakazi wa shirika hilo huku akisisitiza kuwa ...

 

11 years ago

Habarileo

Walimu walalamikia posho ya semina BRN

WALIMU wa zaidi ya 100 wa shule za msingi saba za Kata ya Buigiri wilayani Chamwino wamelalamikia posho ya ushiriki katika semina ya Mabadiliko Makubwa Sasa (BRN). Semina hiyo iliandaliwa kwa ajili ya kuleta uelewa kwa walimu hao.

 

10 years ago

Habarileo

Utoro wa walimu, wanafunzi wakwamisha BRN Kigoma

WAKATI Serikali ikiwa katika utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa huku sekta ya elimu ikiwa ni moja ya sekta sita zinazotekeleza mpango huo imeelezwa kuwa utoro wa walimu na wanafunzi umeufanya mkoa Kigoma kushindwa kufikia malengo ya utekelezaji wa mpango huo.

 

9 years ago

Habarileo

Walimu waagizwa kufuata kasi ya Rais

WALIMU wametakiwa kufanya kazi kwa ufanisi, ubunifu na maarifa kuendana na kauli mbiu ya Rais John Magufuli ya Hapa Kazi tu ili wanafunzi waelewe kinachofundishwa darasani bila ya kutegemea masomo ya ziada.

 

9 years ago

Habarileo

Vijana wahimizwa kwenda na kasi ya Rais Magufuli

MBUNGE wa Songea Mjini, Leonidas Gama, amewataka vijana kuunga mkono hatua za Rais John Magufuli kuhimiza kasi ya uwajibikaji katika kazi kuleta maendeleo. Alitoa mwito huo jana mjini hapa alipozungumza na waendesha bodaboda ambao ni wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Kata ya Ruhuwiko.

 

10 years ago

Habarileo

Treni iendayo kasi kwenda Bara kuanza Aprili

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRL) limetangaza nauli ya treni mpya ya Deluxe, zilizoidhinishwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), zitakazoanza kutumika mapema Aprili, mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani