DAWASCO YATAKIWA KUENDANA NA KASI YA BRN
![](http://1.bp.blogspot.com/-ihyCowxBCHI/VUx4lHZmSwI/AAAAAAAHWQQ/GT4rRgFcCg4/s72-c/unnamedM.jpg)
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO), Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kuwa katika uongozi wake mpya atasimamia maslahi ya wafanyakazi wa shirika hilo na kuwakomboa katika dimbwi la umaskini ili kuendana na mpango wa Matokeo makubwa sasa (BRN).
Ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika kikao cha pamoja cha utambulisho wake kwa wafanyakazi wa Dawasco kilichowajumuisha wakurugenzi pamoja na wafanyakazi wa shirika hilo huku akisisitiza kuwa ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV04 Jan
Dk. Shein awataka watendaji kuwajibika ili Kuendana na Kasi Ya Maendeleo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohammed Shein amewataka wasimamizi wa sheria na wote waliopewa dhamana ya utekelezaji wa majukumu ya Umma wawajibike katika dhamana walizopewa ili kwenda na kasi ya maendeleo yalioasisiwa Tangu yalipofanyika mapinduzi ya Zanzibar January 1964.
Amesema maeneo mengi ya kiutendaji huzorota kwa kutokuwajibika ipasavyo kwa baadhi ya watendaji ambao bado wanaendelea kufanya kazi kwa mazoea ambapo muda huo kwa sasa haupo na...
9 years ago
StarTV15 Dec
Watumishi wa umma watakiwa kujitathmini ili kuendana na Kasi Ya Dokta Magufuli
Watumishi wa umma wametakiwa kujitafakari na kujipima kama wanatosha kufanyakazi, itakayoendana na kasi ya uongozi uliopo madarakani chini ya Rais Magufuli, na wanapogundua kuwa hawana uwezo huo wameshauriwa kujiondoa wenyewe ili kupisha watu wenye uwezo wa kufanya kazi.
Nguvu ya utendaji kazi wa Dokta Magufuli kwa muda usiozidi miezi miwili, umekonga nyoyo za watanzania ambapo wananchi wengi wameweka bayana mambo wanayoyatarajia kuyaona katika Tanzania mpya wanayodhani itawajengea imani ...
10 years ago
Habarileo30 Mar
Walimu wafundwa kwenda na kasi ya BRN
OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), itaendelea kuimarisha mafunzo kwa walimu ili wafikie viwango vya kwenda na kasi ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) inayotekelezwa katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mSo-k6PoeCE/VbjB6Lx9XfI/AAAAAAAHsdQ/1BmsptPw0jo/s72-c/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
Wachimbaji madini watakiwa kuendana na mabadiliko ya teknolojia
Wachimbaji wa madini nchini wametakiwa kuendana na teknolojia inayokua kila kukicha ili kuwezesha sekta ya madini kuwa na mchango zaidi katika pato la taifa.
Rai hiyo ilitolewa na Afisa Madini Mkazi kutoka Ofisi ya Madini- Handeni mkoani Tanga, Frank Makyao kwenye ufunguzi wa mafunzo juu ya matumizi ya huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao yaliyokutanisha wachimbaji wa madini katika kanda ya mashariki yanayoendelea mjini Handeni.
Lengo ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ukmJ38Qg6hk/VYZ533AaC8I/AAAAAAAHiHA/93QwjNCbSek/s72-c/unnamed%2B%252821%2529.jpg)
Mzumbe yaendelea kuhuisha mtaala kuendana na mabadiliko nchini, Duniani
11 years ago
Bongo524 Jul
Ali Choki kupunguza urefu wa nyimbo za bendi yake, adai ni kuendana na mahitaji ya soko
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L-lFp6KY3Lk/VmkvnTAGqgI/AAAAAAAILUw/Ij9iwP26lDE/s72-c/IMG-20151209-WA0003.jpg)
DAWASCO YASAFISHA KARIAKOO
![](http://2.bp.blogspot.com/-L-lFp6KY3Lk/VmkvnTAGqgI/AAAAAAAILUw/Ij9iwP26lDE/s640/IMG-20151209-WA0003.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-v3s4I--oNmU/Vmkxf_awnwI/AAAAAAAILVM/nQAnPNWAzQ0/s640/IMG-20151209-WA0010.jpg)
Shirika la majisafi na majitaka Dar es salaam(Dawasco) katika kutekeleza agizo la mh. Rais john pombe magufuli la kuadhimisha sherehe za uhuru kwa kufanya usafi...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Dawasco yatahadharisha wananchi
WANANCHI wameshauriwa kufuata kanuni na taratibu sahihi za upatikanaji wa huduma za maji, ili kujiepusha na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wenye lengo la kuharibu jina la Shirika la...