Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAWASCO YATAKIWA KUENDANA NA KASI YA BRN

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO), Mhandisi Cyprian Luhemeja amesema kuwa katika uongozi wake mpya atasimamia maslahi ya wafanyakazi wa shirika hilo na kuwakomboa katika dimbwi la umaskini ili kuendana na mpango wa Matokeo makubwa sasa (BRN).
Ameyasema hayo jijini Dar es salaam katika kikao cha pamoja cha utambulisho wake kwa wafanyakazi wa Dawasco kilichowajumuisha wakurugenzi pamoja na wafanyakazi wa shirika hilo huku akisisitiza kuwa ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Dk. Shein awataka watendaji kuwajibika ili Kuendana na Kasi Ya Maendeleo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dokta Ali Mohammed Shein  amewataka wasimamizi wa sheria  na wote waliopewa dhamana ya utekelezaji wa majukumu ya Umma wawajibike katika dhamana walizopewa ili kwenda na kasi ya maendeleo  yalioasisiwa Tangu yalipofanyika mapinduzi ya Zanzibar January 1964.

Amesema maeneo mengi ya kiutendaji huzorota kwa kutokuwajibika ipasavyo kwa baadhi ya watendaji ambao bado wanaendelea kufanya kazi kwa mazoea ambapo muda huo kwa sasa haupo na...

 

9 years ago

StarTV

Watumishi wa umma watakiwa kujitathmini ili kuendana na Kasi Ya Dokta Magufuli

Watumishi wa umma wametakiwa kujitafakari na kujipima kama wanatosha kufanyakazi, itakayoendana na kasi ya uongozi uliopo madarakani chini ya Rais Magufuli, na wanapogundua kuwa hawana uwezo huo wameshauriwa kujiondoa wenyewe ili kupisha watu wenye uwezo wa kufanya kazi.

Nguvu ya utendaji kazi wa Dokta Magufuli kwa muda usiozidi miezi miwili, umekonga  nyoyo za watanzania ambapo wananchi wengi wameweka bayana mambo wanayoyatarajia kuyaona katika Tanzania mpya wanayodhani itawajengea imani ...

 

10 years ago

Habarileo

Walimu wafundwa kwenda na kasi ya BRN

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), itaendelea kuimarisha mafunzo kwa walimu ili wafikie viwango vya kwenda na kasi ya Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) inayotekelezwa katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

 

10 years ago

Michuzi

Wachimbaji madini watakiwa kuendana na mabadiliko ya teknolojia

Na Greyson Mwase, Handeni-Tanga
Wachimbaji wa madini nchini wametakiwa kuendana na teknolojia inayokua kila kukicha ili kuwezesha sekta ya madini kuwa na mchango zaidi katika pato la taifa.
Rai hiyo ilitolewa na Afisa Madini Mkazi kutoka Ofisi ya Madini- Handeni mkoani Tanga, Frank Makyao kwenye ufunguzi wa mafunzo juu ya matumizi ya huduma za leseni za madini kwa njia ya mtandao yaliyokutanisha wachimbaji wa madini katika kanda ya mashariki yanayoendelea mjini Handeni.
Lengo ...

 

10 years ago

Michuzi

Mzumbe yaendelea kuhuisha mtaala kuendana na mabadiliko nchini, Duniani

Chuo Kikuu Mzumbe kimeanza rasmi awamu ya pili ya mchakato wa kuhuisha mtaala unaotumika katika Skuli yake ya Biashara ili kuendana na hali hasi ya mabadiliko yanayotokea haraka nchini na duniani katika nyanja za siasa, uchumi, jamii na teknolojia. Inatarajiwa kuwa mabadiliko hayo yatasaidia pia kuwajengea zaidi uwezo wahitimu wa chuo hicho kujiajiri na kuajiriwa kwa urahisi zaidi. Kaimu Naibu Makamu mkuu wa Chuo hicho, Taaluma, Profesa George Shumbusho aliwaambia waandishi wa habari...

 

11 years ago

Bongo5

Ali Choki kupunguza urefu wa nyimbo za bendi yake, adai ni kuendana na mahitaji ya soko

Kiongozi wa bendi ya Extra Bongo, Ali Choki amesema kuanzia album yake ijayo, nyimbo za bendi hiyo zitakuwa fupi. Akiongea na TBC One, Choki amesema wamebaini kuwa soko la sasa halihitaji nyimbo ndefu zinazoonesha kuwachosha watu. Nyimbo nyingi za dance huwa na dakika kuanzia 8 hadi 12 au na zaidi wakati nyimbo za Bongo Flava […]

 

5 years ago

Michuzi

MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL

 Na Mwinyi Mvua PwaniBAADHI wataalamu wa kilimo na mifugo Kibaha, Pwani wamesema bajeti iliyopendekezwa imegusa maslahi ya Mtanzania licha ya kutoa maoni yao kuwa yapo maeneo hayajaguswa kumnufaisha mkulima wa kisasa ikiwemo wataalamu wa ugani wasajiliwe ili kwenda sambamba teknolojia ya kisasa katika kilimo pamoja na kujenga viwanda vingi vya mbolea ndani ya nchi .
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...

 

9 years ago

Michuzi

DAWASCO YASAFISHA KARIAKOO

Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASCO , Mhandisi Cyprian Luhemeja akishirikiana na wafanyakazi wa DAWASCO katika zoezi la usafi kwenye soko la Kariakoo katika maadhimisho ya siku ya Usafi kitaifa.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh Mecky Sadick pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa DAWASCO Mhandisi Cyprian Luhemeja wakiendelea na zoezi la usafi.
Shirika la majisafi na majitaka Dar es salaam(Dawasco) katika kutekeleza agizo la mh. Rais john pombe magufuli la kuadhimisha sherehe za uhuru kwa kufanya usafi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasco yatahadharisha wananchi

WANANCHI wameshauriwa kufuata kanuni na taratibu sahihi za upatikanaji wa huduma za maji, ili kujiepusha na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wenye lengo la kuharibu jina la Shirika la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani