Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DAWASCO YASAFISHA KARIAKOO

Afisa Mtendaji Mkuu wa DAWASCO , Mhandisi Cyprian Luhemeja akishirikiana na wafanyakazi wa DAWASCO katika zoezi la usafi kwenye soko la Kariakoo katika maadhimisho ya siku ya Usafi kitaifa.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh Mecky Sadick pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa DAWASCO Mhandisi Cyprian Luhemeja wakiendelea na zoezi la usafi.
Shirika la majisafi na majitaka Dar es salaam(Dawasco) katika kutekeleza agizo la mh. Rais john pombe magufuli la kuadhimisha sherehe za uhuru kwa kufanya usafi...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Simba yasafisha usajili wake

>Klabu ya Simba   imesema tayari imerekebisha kasoro  iliyojitokea kwenye usajili wake na  sasa hailazimiki kupunguza mchezaji  yeyote kwenye kikosi chake.

 

10 years ago

Dewji Blog

Libeneke jipya la habari za Kariakoo ‘Kariakoo Digital’

Screen-Shot-2014-08-20-at-9.10.20-AM

Naomba kutambulisha kwenu tovuti mpya ya  www.kariakootz.com inayofahamika kama Kariakoo Digital Ambayo imejikita katika kukusanya orodha ya maduka ya wafanyabiashara wa Kariakoo pamoja na bidhaa wanazouza, mawasiliano yao na mitaa wanayopatikana na kuyaweka sehemu moja ili kukupa urahisi wa kutafuta bidhaa unayohitaji.

Sasa unawaweza kuokoa muda na pesa zako kwa kutumia tovuti hii mpya ya www.kariakootz.com kupata orodha ya maduka mengi yanayouza bidhaa kariakoo kisha unaweza kuwasiliana...

 

9 years ago

Dewji Blog

TPB yasafisha soko la Feri, yatoa vifaa vya usafi, ni katika kuunga mkono uamuzi wa Rais Magufuli wa Uhuru ni kazi

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Henry Bwogi, akizibua chemba ya kupitisha maji taka kwenye zoni 3 ya soko la samaki la kimataifa Feri jijini Dar es Salaam Desemba 9, 2015. TPB imeungana na watanzania katika kuunga mkono agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kuwataka wananchi kusherehekea sikukuu ya Uhuru wa Tanganyika kwa kufanya usafi ili kutekeleza zana ya “Uhuru ni Kazi” badala ya kufanya sherehe na matamasha huku nchi ikakabiliwa na ugonjwa wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasco yatahadharisha wananchi

WANANCHI wameshauriwa kufuata kanuni na taratibu sahihi za upatikanaji wa huduma za maji, ili kujiepusha na utapeli unaofanywa na baadhi ya watu wenye lengo la kuharibu jina la Shirika la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadaiwa kuihujumu Dawasco

BAADHI ya wamiliki wa nyumba katika maeneo ya Salasala na Mbezi Beach, Dar es Salaam wamedaiwa kulihujumu Shirika la Majisafi na Majitaka (Dawasco) kwa kuuza maji kwa magari yanayosambaza huduma...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

DAWASCO yawapoza wakazi Kidunda


NA  LATIFA GANZEL, MOROGORO
MAMLAKA ya Maji Safi na Taka Dar es Salaam (DAWASA), imewahakikishia wakazi wa Kidunda, wilayani Morogoro  kwamba inapitia upya  baadhi ya malalamiko juu ya fidia zao  katika mradi wa bwawa la Kidunda na kuyapatia ufumbuzi.
Hayo yalibainishwa jana na Mthamini wa Mali za DAWASA, Mhandisi  John Kwecha, alipzungumza na waandishi wa habari mjini hapa juu ya malalamiko hayo.
Alisema  baada ya kulipa fidia katika eneo la mradi wa bwawa la Kidunda, wamepokea malalamiko  ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Heard you, Dawasco boss, let’s see action now!

Water shortage in Dar es Salaam, Tanzania’s most sophisticated city, are surely cynical towards promises on improvement of water supply. Why, the increase in city population has never matched with supply of the precious liquid. There are reports that our water infrastructure at the sources is the same one that was installed in the pre-independence era when the city’s population stood at half a million.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dawasco yazima mitambo ya maji

SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasco) limezima mitambo miwili ya uzalishaji maji kwenye mitambo yake ya Ruvu Juu uliopo Mlandizi, mkoani Pwani na Mtoni uliopo Temeke, Dar...

 

10 years ago

Mwananchi

Dawasco yaidai Serikali Sh15bilioni

Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe amezishambulia mamlaka za maji, Dawasco na Dawasa kwamba zimekuwa vinara wa kupoteza maji kwa asilimia 56 kutokana na uchakavu wa miundombinu yao jambo ambalo linawaathiri wananchi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani