SAFARI ZA KWENDA KUWATEMBELEA NDUGU VIJIJINI ZISUBIRI CORONA IISHE – DKT. SUBI
![](https://1.bp.blogspot.com/-wflBHkavd4E/XqsQDFXaZII/AAAAAAALosU/aRfJgzp-WiMf5OML9wdUKnPk9oQ3RNqnQCLcBGAsYHQ/s72-c/5a10b6eb-68bf-4978-b217-47ae804e124f.jpg)
Mkurugenzi wa huduma za kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi akieleza jambo wakati akiongea na Waandishi wa habari katika juu ya mwenendo wa kampeni ya “Mikono safi, Tanzania salama” inayolenga kuelimisha wananchi juu ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.
********************************
Na WAMJW- DSM
Mkurugenzi wa huduma za kinga Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi ametoa wito kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PSTz7Qbt8yU/Xm54mpl4JHI/AAAAAAALjww/rR1Mfo55lygl0fEbLkBjleTVGMiUqgKrwCLcBGAsYHQ/s72-c/03c006a1-dc07-42e4-95c9-bc205f2cd875.jpg)
Serikali yatoa wito wananchi kujiepusha na rushwa wakati huduma za afya-Dkt. Subi
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
SERIKALI imetoa wito kwa wananchi kuacha kutoa rushwa kwa wahudumu wa afya pindi wanapopatiwa huduma kwani kutoa kutoa huduma ni wajibu wao.
Hayo ameyasema Mkurugenzi wa Huduma za Kinga wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Leonard Subi wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Wanawake Wanataka Nini inayoratibiwa na Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania ikiwa ni maadhimisho ya Utepe Mweupe Tanzania ambayo hufanyika Kila Machi...
10 years ago
Mtanzania28 May
Pinda azitaka benki kwenda vijijini
Na Michael Sarungi, Dar es Salaam
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema sasa umefika wakati wa benki kuwa rafiki wa wananchi vijijini.
Amesema kwa sasa nchi za Afrika zinahitaji kuwaleta wananchi wa maeneo ya vijijini kuanza kuwa rafiki wa benki kama njia ya kuwainua katika uchumi.
Alitoa kauli hiyo alipofungua mkutano wa wataalamu wa sekta ya benki wa nchi za Afrika, Dar es Salaam jana. Hotuba yake ilisomwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Christopher...
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya Corona: Bado kuna safari ndefu kuimaliza corona - WHO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kWtm-1R4n6Y/VXc-WqRgyUI/AAAAAAAC6Ec/N_4s79WGnfQ/s72-c/13.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE BUKOBA VIJIJINI LEO MKOANI KAGERA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-kWtm-1R4n6Y/VXc-WqRgyUI/AAAAAAAC6Ec/N_4s79WGnfQ/s640/13.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jedXJKJwK28/VXc9GbddGUI/AAAAAAAC6Dc/qEeE8-9zFdA/s640/23.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dybZAnAEDwM/VXc8_1ccw0I/AAAAAAAC6DM/LeB_6qKBmeU/s640/21.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-t2S9tUGVcwI/VXdAibPETVI/AAAAAAAC6Ew/v78rAb4VJ60/s640/1101.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Up2Riims6Js/VRE0TW6GmhI/AAAAAAAHM18/aHW_Om8UlN8/s72-c/1.jpg)
MSAFARA WA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA WAPOKELEWA KWA FARASI MIKOCHENI -WILAYA YA MOSHI VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Up2Riims6Js/VRE0TW6GmhI/AAAAAAAHM18/aHW_Om8UlN8/s1600/1.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UbQGb2BFO*WXpoP3uxJtBW-I58Gx4ygwMMDTYrR7FpM--AO*LQ0UaiEq2GElx1kfVGHX3xHApUOyCez9LcWX6lJ4apn9JOD*/ATC1.jpg?width=650)
ATCL YAANZA SAFARI YA KWENDA MBEYA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-nlKLUWCUYKc/UykfasigDDI/AAAAAAACc6Y/o-FlPBhW-O4/s72-c/ATC+6.jpg)
ATCL yaanza safari za kwenda Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-nlKLUWCUYKc/UykfasigDDI/AAAAAAACc6Y/o-FlPBhW-O4/s1600/ATC+6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ifXMH8rB7nY/Uykfl8rXNyI/AAAAAAACc6g/rkYgWxy3jsw/s1600/ATC+7.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Safari ya Ukawa kwenda Ikulu 2015
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-0XN1gWrpeBM/XmnsKbjMXDI/AAAAAAAC0wY/ogq6TEmLMHsFGX-4UudcjK78bxe9QNbNgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TRUMP AZUIA SAFARI KUTOKA ULAYA KWENDA MAREKANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-0XN1gWrpeBM/XmnsKbjMXDI/AAAAAAAC0wY/ogq6TEmLMHsFGX-4UudcjK78bxe9QNbNgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Trump amesema, marufuku hayo yatatekelezwa kwa muda wa siku 30 zijazo kuazia siku ya Ijumaa lakini hatua hii haitaithiri Ireland na Uingereza, ambayo ina maambukizi 460.
"Ili kuzuia visa vipya maambukizi ya Covid-19 kuingia katika nchi yetu, nitazuia safari zote kutoka Ulaya hadi Marekani kwa siku 30 zijazo," amesema rais...