Magufuli: Nilikwepa vishawishi vya rushwa
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameelezea namna alivyokuwa akikwepa vishawishi kutokana na hulka yake ya kusimamia uadilifu, uchapakazi na utoaji huduma kwa umma kwa wakati.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog22 Nov
Maafisa Wahasibu na wataalamu wa manunuzi na ugavi nchini watakiwa kujiepusha na vishawishi vya rushwa!
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Waaswa kuepuka vishawishi vya ngono
WANAFUNZI waliohitimu darasa la saba shule ya Msingi Tagamenda Kalenga Iringa Vijijini wameaswa kudumisha nidhamu, maadili na kuepuka vishawishi vya ngono za umri mdogo badala yake wazingatie masomo ya Sekondari...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7v4-6XYQt62wLN4zbtGth6MCPz-IZJIDz8BvTzkPK*4-fSaNlnmEI52qq0Hds-vcJi1iY4d2SXUctkggUbpPyzQ/wpidboycouplecutedelicatedotsgirlfavimcom63268.jpg?width=650)
VISHAWISHI VYA KIMAPENZI KWA WANAFUNZI NA JINSI YA KUVISHINDA-2
9 years ago
Bongo510 Dec
Hussein Machozi asema ameng’atuka kwenye muziki kukwepa vishawishi vya kutumia dawa za kulevya
![machozi-2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2013/05/machozi-2-174x200.jpg)
Hussein Machozi ambaye hapo jana ametangaza kuachana na muziki amesema kuwa kuna wasanii wengi ambao hujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya kutoka na stress.
Stress anazozizungumzia Hussein ni pamoja na kushindwa kufanya vizuri kwenye muziki kama ilivyomtokea yeye, na pia maneno ya watu wanaowasema vibaya wasanii wanaoamua kuachana na muziki kuwa wamefulia.
“Ngoja leo niwaeleze jambo watanzania unajua kuambiwa umefulia inaumiza sana, hivyo kuna kundi kubwa la wasanii wameingia katika...
9 years ago
Mtanzania26 Aug
Magufuli: Nitapambana na wala rushwa
Na Bakari Kimwanga, Rukwa
MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli amesema ikiwa atachaguliwa kuongoza Serikali ya awamu ya tano atahakikisha anapambana na watendaji wala rushwa serikalini.
Amesema watendaji hao ndiyo wamekuwa wakikwamisha juhudi za Serikali kupeleka maendeleo kwa wananchi hali inayosababisha malalamiko ya wananchi.
Kauli hiyo aliitoa jana kwa nyakati tofauti alipohutubia wananchi katika mikutano ya kampeni katika mikoa ya Katavi na Rukwa.
Dk....
9 years ago
BBCSwahili16 Dec
Magufuli amfuta mkuu wa kupambana na rushwa
9 years ago
Habarileo26 Aug
Samia amkubali Magufuli vita dhidi ya rushwa
MGOMBEA mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Samia Hassan Suluhu, amemnadi mgombea urais wa chama hicho, Dk John Magufuli kwamba hana mchezo na vitendo vya rushwa jambo litakaloleta maendeleo zaidi.
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Viatu vya rushwa vinampwaya JK
UKWELI huu waweza kuwaudhi wanafiki na mafisadi lakini naomba tuvumiliane kwamba Rais Jakaya Kikwete kwa muda wa miaka tisa aliyokaa madarakani vita ya rushwa imemshinda. Kama tungetumia mfano wa viatu,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CCxS8N4jzGk/VUIz3iiZ3MI/AAAAAAAHUSs/qOl7y8am3Uc/s72-c/1.jpg)
ACHENI RUSHWA TUISAIDIE NCHI IPATE MAENDELEO -DK.MAGUFULI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-CCxS8N4jzGk/VUIz3iiZ3MI/AAAAAAAHUSs/qOl7y8am3Uc/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-54aJCzYlZk8/VUIz4YFbjqI/AAAAAAAHUS0/oEVepme58ek/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5MM7_exI5jw/VUIz2W9c_oI/AAAAAAAHUSk/k3ShXLNJfWY/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jH9pSGcC20E/VUIz6JjSPlI/AAAAAAAHUS8/ryGAEFKvC_E/s1600/4.jpg)