Magufuli amfuta mkuu wa kupambana na rushwa
Rais wa Tanzania John Magufuli amemfuta kazi Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa akisema hajaridhishwa na utenda kazi wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Magufuli amfuta kazi afisa mkuu wa reli
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pW5TutPlQ5g/XupuKetXYrI/AAAAAAALuSs/NtZxcHTfo04hyCIBb77Cd3R_Zwa2u9DnQCLcBGAsYHQ/s72-c/JAJI%2BMKUU.jpg)
JAJI MKUU AVITAKA VYOMBO VYA MAHAKAMA KUPAMBANA NA RUSHWA ILI KUEPUSHA UCHELEWESHAJI WA HAKI
MAHAMAMA nchini zimetakiwa kupambana na vitendo vya rushwa ili kuzuia ucheleweshaji wa haki unaofanywa kwenye kesi na mashauri mbalimbali yanayofunguliwa.
Wito huo umetolewa jijini Dodoma na Jaji Mkuu nchini, Prof Ibrahim Juma alipokuwa akifungua kongamano la wadau kujadili rushwa katika mfumo wa utoaji haki nchini.
Jaji Mkuu amesema amesema vitendo vya rushwa hushamiri zaidi katika taasisi zinazo chelewesha haki na hivyo kutaka hatua zaidi za mapambano dhidi ya rushwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/PaDXs1f33g8/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kwTFFi15U5Q/VFdV7UNIZLI/AAAAAAACuQA/xcMq1wqalhs/s72-c/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza4.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUWA MKUTANO MKUU WA 12 WA SHIRIKISHO LA TAASISI ZA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA NCHI ZA SADC
![](http://2.bp.blogspot.com/-kwTFFi15U5Q/VFdV7UNIZLI/AAAAAAACuQA/xcMq1wqalhs/s1600/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-eI7denp_h0Q/VFdV6TpvjVI/AAAAAAACuP4/cF1mz7peXTk/s1600/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-EiV15gvapQ0/VFdV-Jt1RtI/AAAAAAACuQI/QeUIzlEN504/s1600/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DPE_6rxA0Zg/VFdVq1SHSeI/AAAAAAACuPg/WGqBM86PAg0/s1600/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-k1v_qYaewv0/VFdVvZeleEI/AAAAAAACuPo/Yni2g057lTM/s1600/0.1Mkutano%2BMkuu%2Bwa%2B12%2Bwa%2BShirikisho%2Bla%2BTaasisi%2Bza%2Bkuzuia%2B%2Bna%2BKupambana%2Bna%2BRushwa%2Bkwanchi%2Bza%2BSADC%2BMwanza2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjaBUKKxWIUBRe7oRu91h01C0NWfiDEnbSKzPOrY-t4n1Fv02FQmlY1oPI1e14GDklSD5cYuwKQ7hTf0NgWCEsd9L521sg*k/t6.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 12 WA SHIRIKISHO LA TAASISI ZA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA KWA NCHI ZA SADC
10 years ago
Vijimambo11 May
WAKUU WA TAASISI ZA KUZUIA RUSHWA BARANI AFRIKA WAKUTANA ARUSHA KUANGALIA JINSI WATAKAVYOWEZA KUPAMBANA NA KUFIKIA MALENGO YA KUTOKOMEZA RUSHWA NDANI YA BARA LA AFRICA
![SAM_2509](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/9-k5J5k6fm9jZTkuMpDrMhitlwBqEw_7Tpv94yj-R37as0YwVtKE2Cv376zcE5eCeFdx1PuN5OdL4Pf9Y4akzA2LAdr8f35CXyk_QtU9446J_Q4=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2509.jpg)
![SAM_2498](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/iFmxPrDRlg6bKxDo_mmRvhFvNMyonw6Z2OilMaPInkVnjjRupaGxhm8awC7a72tCFbRiea7S1lhvQtncqYkPyrXgxrfBjX46jXjoAcTwhulz8lE=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/05/sam_2498.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Museveni amfuta Waziri mkuu Kazi
10 years ago
Habarileo20 Sep
Museveni amfuta kazi Waziri Mkuu
RAIS wa Uganda Yoweri Museveni amemfuta kazi Waziri Mkuu na mtu wake wa karibu, Amama Mbabazi. Taarifa ya Ikulu kwa vyombo vya habari ilisema Rais Museveni alimshukuru Mbabazi kwa mchango wake kwa nchi ya Uganda, ambapo pia alimtangaza mrithi wa kiti hicho cha Waziri Mkuu kuwa ni Ruhakana Rugunda ambaye sasa anasubiri kuidhinishwa na bunge.
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Rais Museveni amfuta kazi Waziri mkuu