Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


VISHAWISHI VYA KIMAPENZI KWA WANAFUNZI NA JINSI YA KUVISHINDA-2

Na. Richard Manyota
Simu: +255 714 895555 Naendelea kuelezea jinsi wanafunzi wanavyoweza kushinda vishawishi vya kuingia kwenye mapenzi.
Ni wajibu wa mwanafunzi kugomea zawadi inayokuja kwa mlango wa nyuma, kwa vile watafiti wanasema watu tisa kati ya kumi wanaosaidia husaidia ili wajisaidie ni mmoja tu anayesaidia kwa maana ya kusaidia. (3) - MAZINGIRA MAGUMU –Mazingira magumu yametajwa sana na baadhi ya wanafuzi kuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Waaswa kuepuka vishawishi vya ngono

WANAFUNZI waliohitimu darasa la saba shule ya Msingi Tagamenda Kalenga Iringa Vijijini wameaswa kudumisha nidhamu, maadili na kuepuka vishawishi vya ngono za umri mdogo badala yake wazingatie masomo ya Sekondari...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli: Nilikwepa vishawishi vya rushwa

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli ameelezea namna alivyokuwa akikwepa vishawishi kutokana na hulka yake ya kusimamia uadilifu, uchapakazi na utoaji huduma kwa umma kwa wakati.

 

10 years ago

Habarileo

‘Wanaojihusisha kimapenzi na wanafunzi wao wabanwe’

BAADHI ya wajumbe wa Baraza la Watoto wametaka ziwekwe sheria kali kuwawajibisha walimu ambao wanajihusisha kimapenzi na wanafunzi wao.

 

9 years ago

Dewji Blog

Maafisa Wahasibu na wataalamu wa manunuzi na ugavi nchini watakiwa kujiepusha na vishawishi vya rushwa!

SAM_0202

KatibuMkuu Wizara ya Fedha,Bwana Servacius Likwelile akizungumza na wahitimu  wa taasisi ya Uhasibu kampas za Mwanza,Kigoma na Singida(Picha zote Na,Jumbe Ismailly) Na.Jumbe Ismailly [SINGIDA] Maafisa  Wahasibu pamoja na Wataalamu wa manunuzi na ugavi nchini wametakiwa kujiepusha na vishawishi au vitendo vya rushwa na ubadhirifu wawapo makazini,kutokana na vitendo vya rushwa na ubadhirifu kuwa na madhara makubwa kwa maisha ya mtu mmoja mmoja na uchumi wa taifa kwa ujumla.Katibu Mkuu Wizara...

 

9 years ago

Bongo5

Hussein Machozi asema ameng’atuka kwenye muziki kukwepa vishawishi vya kutumia dawa za kulevya

machozi-2

Hussein Machozi ambaye hapo jana ametangaza kuachana na muziki amesema kuwa kuna wasanii wengi ambao hujiingiza kwenye matumizi ya dawa za kulevya kutoka na stress.

machozi-2

Stress anazozizungumzia Hussein ni pamoja na kushindwa kufanya vizuri kwenye muziki kama ilivyomtokea yeye, na pia maneno ya watu wanaowasema vibaya wasanii wanaoamua kuachana na muziki kuwa wamefulia.

“Ngoja leo niwaeleze jambo watanzania unajua kuambiwa umefulia inaumiza sana, hivyo kuna kundi kubwa la wasanii wameingia katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Jinsi marufuku ya kutoka nje ya virusi vya corona inavyowaathiri wanawake kwa kunyanyaswa

Umoja wa Mataifa unaonya kuwa unyanyasaji na vurugu za kijinsia kwa wakati huu ni jambo la haraka kama matibabu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani