Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lukuvi sasa awapanga Kigamboni kiuwekezaji

Waziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ameagiza maofisa wake kuanza kuwapatia wakazi wa Kigamboni hati za umiliki wa viwanja ili ziwasaidie katika maandalizi ya uwekezaji wa mji mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kigamboni sasa kuendelezwa na wananchi wenyewe-Lukuvi

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William LukuviMJI mpya wa Kigamboni jijini Dar es Salaam sasa utaendelezwa kwa sehemu kubwa na wakazi wa Kigamboni wenyewe, Bunge la Jamhuri linaloketi mjini Dodoma limeelezwa.

 

10 years ago

Mtanzania

Lukuvi asimamisha ujenzi mji mpya Kigamboni

lukuviNa Grace Shitundu, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi, amesitisha kuanza kwa mradi wa mji mpya Kigamboni hadi pale mikataba itakapopitiwa upya.
Pamoja na hali hiyo Lukuvi, amewataka wananchi wa maeneo hayo kutouza ardhi yao kwa sasa.
Ahadi ya hiyo aliitoa jana katika mkutano na wananchi wa Kigamboni baada ya kutokea kutoelewa baina ya aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Profesa Anna Tibaijuka na wananchi kuhusu ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni.
Kutokana na hali...

 

10 years ago

Mtanzania

Lukuvi amaliza mgogoro mji mpya Kigamboni

lukuviiiiNa Jonas Mushi, Dar es Salaam

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, ametegua kitendawili kuhusu hatima ya madai ya wananchi katika mradi wa ujenzi wa mji mpya wa Kigamboni.

Lukuvi amesema kutokana na hali hiyo kuanzia sasa kila mwananchi mwenye kiwanja au nyumba yake atalazimika kuuza kiwanja chake kwa bei anayoitaka au kujenga nyumba kwa mujibu wa ramani ya mji mpya

Akizungumza na wananchi hao juzi katika mkutano uliofanyika kwenye Uwanja wa Chuo cha Kumbukumbu ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Lukuvi now overturns Prof Tibaijuka’s decisions on Kigamboni new city

>Residents of six wards in Kigamboni area who have been in a dispute with the government over a plan to repossess their land to pave the way for a modern city were relieved after they were told that the plan has been shelved.

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Lukuvi azindua mpango kabambe wa mji mpya wa Kigamboni

11

Picha za Mji Mpya wa Kigamboni.

1

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi (Mb), akihutubia wananchi wa Kigamboni katika Uzinduzi wa Mpango Kabambe wa Mji Mpya wa Kigamboni Katika Uwanja wa Tangamano – Mnadani Vijibweni.

2

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mipango Miji, Bibi Immaculata Senje akitoa taarifa fupi ya Mpango Kabambe wa Mji Mpya wa Kigamboni wakati wa Uzinduzi wa Mpango huo.

4

Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bibi Sophia Mjema akizungumza na wananchi wa Kigamboni...

 

11 years ago

Mwananchi

Daraja Kigamboni sasa kukamilika Julai mwakani

Ujenzi wa Daraja la Kigamboni unatarajia kukamilika Julai mwakani badala ya Januari mwakani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kongamano Kanda ya Ziwa kuleta neema kiuwekezaji

KILA nchi kwa njia zake huwa inajitahidi kuweka sera madhubuti ili kuhakikisha uwekezaji unafanyika na kuongeza pato la taifa na la mtu mmoja mmoja. Kutokana na kugundua hilo, Kituo cha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Kivuko cha MV Kigamboni kurejea kutoa huduma kwa wakazi wa Kigamboni

pix 1

Waziri wa Ujenzi  Dkt. John Magufuli  akiongea na wajumbe mbalimbali waliofika katika  uzinduzi wa kivuko cha Kigamboni  jana jijini Dar es  Salaam kinachofanyiwa matenganezo  na Jeshi la Wanamaji maeneo ya Kurasini ,ambacho kinatarajiwa kuanza kutumika rasmi alhamisi wiki hii.

pix 2

Mtendaji  Mkuu  Temesa Injinia  Marceline Magesa akitoa neno la shukrani  kwa Jeshi la Wanamaji waliwezesha matengenezo ya Mv Kigamboni jana jijini Dar es Salaam ambapo kinatarajiwa kuanza kutumiwa na wananchi wiki...

 

11 years ago

Michuzi

Mbunge wa jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile Afungua Kiota kipya Mji Mwema Kigamboni

  Mbunge we jimbo la Kigamboni Dr. Faustine Ndugulile akikata utepe kufungua rasmi kiota kipya Mji Mwema Kigamboni. Kiota hicho kinaitwa  Fursat Dhahabiyya.
 Wadau mbalimbali wakijivinjari ndani ya kiota kipya cha Fursat Dhahabiyya Kilichopo Mji Mwema Kigamboni Mwonekano wa Ndani wa Kiota Hicho

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani