JK avuka Kigamboni kutumia daraja la muda
RAIS Jakaya Kikwete amekuwa Mtanzania wa kwanza kuvuka rasmi Bahari ya Hindi kwa gari kwenda Kigamboni akitokea mjini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziMAGUFULI AKAGUA UJENZI WA KIVUKO CHA MSANGAMKUU (MV. MTWARA), DARAJA LA KIGAMBONI PAMOJA NA UKARABATI WA KIVUKO CHA MV. KIGAMBONI
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Pombe Magufuli leo amefanya ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Daraja la Kigamboni ambalo ujenzi wake utakamilka ifikapo Juni mwaka 2015.
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
Awali, Dkt.Magufuli alianza kwa kukagua ujenzi wa kivuko kipya cha Msanga Mkuu maeneo ya Kurasini, kivuko hiki kinajengwa na mkandarasi mzalendo na kitakamilika ndani ya kipindi cha miezi miwili.
Aidha, Waziri wa Ujenzi amefanya ukaguzi wa ukarabati wa matengenezo makubwa ya kivuko cha MV.Kigamboni huko Kigamboni, ukarabati...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-rR2VwgcRRRE/UzGWCwf_l3I/AAAAAAAAUSg/TGICsLLvTik/s72-c/DSC03259.jpg)
Maendeleo ya ujenzi wa daraja la Kigamboni
![](http://2.bp.blogspot.com/-rR2VwgcRRRE/UzGWCwf_l3I/AAAAAAAAUSg/TGICsLLvTik/s1600/DSC03259.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wh2tWk8bk14/UzGWCa4W7nI/AAAAAAAAUSY/d52Vh3HAzHM/s1600/DSC03245.jpg)
10 years ago
Habarileo16 May
Daraja la Kigamboni kukamilika Desemba
UJENZI wa daraja linalounganisha Kigamboni na Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Daraja Kigamboni kukamilika mwakani
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, amesema kuwa daraja la Kigamboni linatarajiwa kukamilika Julai Mwakani. Akizungumza mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, kwenye ziara ya ukaguzi wa miradi inayosimamiwa na Mfuko...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Jnun36kzdfY/VDu74136agI/AAAAAAABK7g/Nid8NgAVapQ/s72-c/866.jpg)
WAFANYAKAZI DARAJA LA KIGAMBONI WAGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jnun36kzdfY/VDu74136agI/AAAAAAABK7g/Nid8NgAVapQ/s640/866.jpg)
Khamis Mpili, alisema tangu mradi wa ujenzi huo uanze kuna wafanyakazi hawajapatiwa mikataba ya kazi, hali inayosababisha kukosa haki zao za msingi zikiwamo malipo ya likizo,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ssjzmXOLj7o/Uu9JeblkRDI/AAAAAAAFKjc/Pd_ZY7BZUW0/s72-c/IMG_0029.jpg)
Taswira ya ujenzi wa daraja la kigamboni
![](http://4.bp.blogspot.com/-ssjzmXOLj7o/Uu9JeblkRDI/AAAAAAAFKjc/Pd_ZY7BZUW0/s1600/IMG_0029.jpg)
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Magufuli ahimiza Daraja Kigamboni
>Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli amewataka watendaji na wakandarasi wanaojenga Daraja la Kigamboni, kuhakikisha wanakamilisha ujenzi huo kabla ya Juni mwakani.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Daraja Kigamboni neema au balaa?
Pembezoni mwa Makao Makuu ya Baraza la Maaskofu Tanzania (Tec), ujenzi unaendelea wa barabara na daraja la kuunganisha Mji wa Kigamboni na Jiji la Dar es Salaam, eneo la Mkondo wa Kurasini. Ujenzi huo unafanywa na kampuni mbili kutoka nchini China.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania