Tembo Ruaha kufuatiliwa na kifaa maalumu
Katika harakati za kupambana na ujangili wa tembo, Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (Tanapa) kwa kushirikikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), limefunga vifaa maalumu kwa ajili ya kufuatilia mienendo ya wanyama hao kwenye mfumo wa ikolojia ya Hifadhi ya Ruaha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziULINZI WA TEMBO KWA KUTUMIA SATELAITI WAANZA RUAHA
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa program hiyo hivi karibuni, Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi alisema kuwa “ Lengo kuu la...
9 years ago
StarTV04 Dec
Tembo 7,500 kati ya 12,000 waliotoweka warejea katika  hifadhi  ya Ruaha-Rungwa
Tembo 7,500 kati ya 12,000 walioripotiwa kutoweka katika mazingira ya kutatanisha kwenye uwanda wa eneo la uhifadhi Ruaha-Rungwa Nyanda za Juu Kusini wamerejea tena kwenye eneo hilo.
Kurudi kwa wanyama hao waliodaiwa kupotea kwa wingi kutoka eneo hilo, ndani ya kipindi cha mwaka mmoja kumebainika katika matokeo ya sensa mpya ya wanyamapori iliyofanyika Ruaha-Rungwa wiki chache zilizopita.
Matokeo ya sensa mpya ya Septemba-Novemba mwaka huu yametangazwa rasmi jijini hapa na Katibu Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Waziri wa Viwanda na Biashara ampongeza mjasiriamali mtanzania aliyebuni kifaa maalumu cha kunawia mikono ili kujikinga na virusi vya Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-QltHpcOjYwI/XoH2qUkgE1I/AAAAAAALllA/5q3xg4GDbog7jiegIqDlcUVO5z9-ea0ewCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Akizungumza leo Waziri Bashungwa amempongeza Jonas Urio kwa ubunifu wake huo wa kutengeza kifaa kizuri na bora cha kunawia mikono ambacho kinaweza kutumiwa na taasisi mbalimbali za serikali na binafsi kuhudumia watu mbalimbali kusafisha mikono yao ili kuendeleza...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wawezeshaji wa kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamtaka serikali kuchukua hatua kunusuru Tembo nchini
Miongoni mwa matukio ya tembo kufanyiwa ujangili kwa kutolewa pembe zake kwa ajili ya matumizi mbalimbali ya marigafi.
Na Rabi Hume
Vijana wa kitanzania ambao wameungana na kuanzisha kampeni ya OKOA Tembo wa Tanzania wamemtumia barua ya wazi rais Dr. John Magufuli kwa kumtaka serikali yake ichukue hatua za makusudi ili kuokoa tembo waliosalia nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Mratibu wa kampeni hiyo Shubert Mwarabu amesema wao kama vijana wameamua kumwandikia barua hiyo rais...
9 years ago
Bongo Movies12 Sep
Aunty Ezekiel Hataki Kufuatiliwa
STAA wa Bongo Movie ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja Aunty Ezekiel amesema huwa anakerwa na watu ambao wanapenda kufuatilia mahusiano yake na baba mtoto wake Moses Iyobo, dansa wa Diamond Platinumz.
Aunty Ezekiel alisema, kuna baadhi ya watu wanapenda kumfuatilia mahusiano yake na kudai yeye amemzidi umri dansa huyo kitu ambacho hapendezwi nacho.
Alisema huwa anawashangaa sana baadhi ya watu ambao wanashidwa kufanya mambo yao na kumjadili maisha yake.
“Jamani mimi sipendi maneno ya...
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Kiongozi wa upinzani apinga kufuatiliwa
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Apr
Meli Zanzibar kufuatiliwa kwa setilaiti
Na Antar Sangali, Zanzibar
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imezindua mradi wa kufunga vyombo vya mawasiliano ya meli na boti za uvuvi ili kuweza kuziona zikiwa baharini na kufuatiliwa kwa setalaiti kulinda usalama wa abiria pamoja na kupambana na vitendo vya uhalifu, usafirishaji dawa za kulevya, uharamia na ugaidi.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi zanzibar, Balozi Seif Ali Idd, alitoa msimamo huo wakati akihudhuria mafunzo ya mradi wa kuviona vyombo baharini vikitoa huduma au...