Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DODOMA YAIMARISHA ULINZI KATIKA MKESHA WA X- MASS

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limejipanga kikamilifu katika kuhakikisha Maadhimisho ya sikukuu katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka 2015 na mwanzo wa mwaka 2016. Siku kuu zinazotarajiwa ni Mkesha wa X- Mass katika Makanisa mbalimbali hadi siku yenyewe ya X- Mass tarehe 25/12/2015 na hatimaye tarehe 01/01/2016 Sikukuu ya mwaka mpya. 
Jeshi hilo limesema litaimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali ya biashara na mikusanyiko ya watu kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola ili...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tuimarishe ulinzi katika mikusanyiko ya sherehe za X MASS na mwaka mpya

Mroki-Mporojost

KESHO ni siku ya Siku kuu, pasi na shaka hakuna mtu ambaye halijui hilo.

 Siku kuu ya Krisimasi na mwaka mpya ni siku kuu ambazo hufuatana na kwa desturi ya ushirikiano tulio nao hapa nchini siku hizi hatubagui hatuchagui kila mtu hufurahi pamoja na mwenzake.

Furaha hii ni pale wana jamii walio na mirengo tofauti ya kiimani wanapojumuika pamoja na kufurahia, waumini wa dini ya Kikristo walio wengi kesho wanasherehekea kuzaliwa kwa Masia Yesu Kristo.

Lakini kidoogo tujikumbushe kuzaliwa kwa...

 

9 years ago

Michuzi

TANAPA YAIMARISHA ULINZI WA TEMBO KWA KUWAFUNGA VIFAA MAALUM.

 Wataalam wa Uhifadhi wakiongozwa na Dk. Alfred Kikoti (wa kwanza kulia) wakiendelea na zoezi la uwekaji kola maalum kwa tembo zinazosaidia kudhibiti mienendo ya tembo ndani nan je ya hifadhi ya Mfumo wa Ikolojia wa Ruaha Rungwa. Helikopta maalum inayotumiwa na madaktari kwa ajili ya kutambua na kupiga dawa ya usingizi kwa tembo kabla ya uvalishaji wa kola maalum. Mkurugenzi Mkuu wa TANAPA Allan Kijazi (mwenye kofia) akishuhudia zoezi la uvalishaji kola maalum kwa tembo katika Hifadhi ya...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI MKOA WA ARUSHA YAIMARISHA ULINZI NA USALAMA ZOEZI LA WAMACHINGA SAMUNGE


Wamachinga wakiwa kwenye eneo la Soko la Samunge wakijiandaa kuanza Ujenzi wa vibanda vyao Mara baada ya zoezi la kugawa maeneo lilipoanza picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha


Michoro ya mgao wa maeneo ya vibanda vya soko la Samunge kama vinavyoonekana Leo Mara baada ya zoezi hilo la ugawaji kuanza Jana na Leo huku wengine wakianza kama walivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha.













Ujenzi ukiendelea kama unavyoonekana pichani leo ndani ya eneo la soko la Samunge hilo ni eneo la Mashariki...

 

10 years ago

Dewji Blog

Skylight Band yatoa ratiba yake ya wiki tukianza na mkesha wa X-MASS usiku wa leo ndani ya Escape One

10675565_408778115946839_5013196848087740184_n

24.12.14 Mkesha wa XMASS tutakua ESCAPE1, show itaanzaa saa mbili usiku, kiingilio buku 7000/= tu: tukutane ESCAPE1 tuikaribishe XMASS

Vile vile tunapenda kutoa taarifa na kuwaomba radhi wadau wetu kutokana na safari yetu ya kanda ya ziwa XMASS hii, show zetu za ijumaa tarehe 26.12.14 thai village na jumapili 28.12.14 ESCAPE1 hazitofanyika.

Ila tukutane tena kwenye mkesha wa mwaka mpya 31.12.14 ndani ya ESCAPE1. .. Burudika na bendi yako katika msimu huu wa siku kuu…Skylight Band…just...

 

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA KUIMARISHA ULINZI KATIKA KIPINDI CHA MKUTANO MKUU WA CCM

  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi ACP David Misime ---JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI    JESHI LA POLISI TANZANIA Nina imani kila mmoja anayo taarifa kuwa wiki hii hapa Dodoma kutakuwa na Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi.  Mkutano huo utajumuisha Viongozi wa Kitaifa na Wajumbe wengi.  Kutokana na unyeti wa mkutano huo mawazo na masikio ya watu wengi wa ndani na nje ya Tanzania watayaelekeza katika Mkoa wetu kutaka...

 

9 years ago

Global Publishers

Kova kuweka ulinzi mzito mkesha wa mwaka mpya

 

 

 

 

 

4c36Suleiman-KovaKamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam, Suleiman Kova.

1

2 3

 

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAIMARISHA ULINZI KATIKA TUKIO KUKABIDHI RASIMU YA KATIBA KWA MH. RAIS

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi DAVID MISIME  - SACP ameeleza kuwa kutokana na tukio la kihistoria ambalo litafanyika tarehe 08/10/2014 ambapo Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE na Mh. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr. ALLY MOHAMED SHEIN watakabidhiwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ya Mkoa wa Dodoma hususani Dodoma Mjini.
Kamanda...

 

9 years ago

Michuzi

MATUKIO MBALIMBALI KATIKA WA MKESHA WA MWAKA 2016 KATIKA PICHA

 Wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyakea wakiwa katika mkesha wa mwaka mpya.  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi na mkewe wakicheza kwa furaha wakati wa mkesha wa mwaka mpya. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye, akiwa na furaha wakati wa mkesha wa mwaka 2016 kwenye Uwanja wa Uhuru. Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye(katikati) akicheza nyimbo za injili wakati wa mkesha wa mwaka mpya. Mwenyekiti wa Kamati ya...

 

10 years ago

Vijimambo

RPC DODOMA ONGEA NA VIONGOZI WA TARAFA YA DODOMA MJINI KUHUSIANA NA HALI YA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA MATISHIO YA UGAIDI MKOANI HUMO

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma David Misime - SACP akitoa elimu juu ya hali ya ulinzi na usalama na matishio ya kiuhalifu katika kikao kilichojumuisha wakuu wa vyombo vya dola Mkoa wa Dodoma, viongozi mbalimbali wa mkoa wa Dodoma pamoja na viongozi wa diniBalozi Mstaafu Job Lusinde Mwenyekiti wa Baraza la wazee Mkoa wa Dodoma  akiongea jambo wakati wa utoaji elimu iliyotolewa kwa viongozi wa mkoa wa Dodoma ili kuhimarisha ushirikiano na kuondoa machafuko ambayo yanaweza kutokea.
 Padre...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani