DODOMA YAIMARISHA ULINZI KATIKA MKESHA WA X- MASS
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma limejipanga kikamilifu katika kuhakikisha Maadhimisho ya sikukuu katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka 2015 na mwanzo wa mwaka 2016. Siku kuu zinazotarajiwa ni Mkesha wa X- Mass katika Makanisa mbalimbali hadi siku yenyewe ya X- Mass tarehe 25/12/2015 na hatimaye tarehe 01/01/2016 Sikukuu ya mwaka mpya.
Jeshi hilo limesema litaimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali ya biashara na mikusanyiko ya watu kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola ili...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Tuimarishe ulinzi katika mikusanyiko ya sherehe za X MASS na mwaka mpya
KESHO ni siku ya Siku kuu, pasi na shaka hakuna mtu ambaye halijui hilo.
Siku kuu ya Krisimasi na mwaka mpya ni siku kuu ambazo hufuatana na kwa desturi ya ushirikiano tulio nao hapa nchini siku hizi hatubagui hatuchagui kila mtu hufurahi pamoja na mwenzake.
Furaha hii ni pale wana jamii walio na mirengo tofauti ya kiimani wanapojumuika pamoja na kufurahia, waumini wa dini ya Kikristo walio wengi kesho wanasherehekea kuzaliwa kwa Masia Yesu Kristo.
Lakini kidoogo tujikumbushe kuzaliwa kwa...
9 years ago
MichuziTANAPA YAIMARISHA ULINZI WA TEMBO KWA KUWAFUNGA VIFAA MAALUM.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-h__7x6oczWY/XosNOkuRCNI/AAAAAAAAJCI/rif8s6uvodYwweNZxeWRC8OrHW5EXRDiACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200406_112732_963.jpg)
SERIKALI MKOA WA ARUSHA YAIMARISHA ULINZI NA USALAMA ZOEZI LA WAMACHINGA SAMUNGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-h__7x6oczWY/XosNOkuRCNI/AAAAAAAAJCI/rif8s6uvodYwweNZxeWRC8OrHW5EXRDiACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112732_963.jpg)
Wamachinga wakiwa kwenye eneo la Soko la Samunge wakijiandaa kuanza Ujenzi wa vibanda vyao Mara baada ya zoezi la kugawa maeneo lilipoanza picha Zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-aBmHNYUKFfc/XosNPxj5fcI/AAAAAAAAJCQ/635nkyp57a048uHodCyRVJHgdz8Uz_1AgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112734_674.jpg)
Michoro ya mgao wa maeneo ya vibanda vya soko la Samunge kama vinavyoonekana Leo Mara baada ya zoezi hilo la ugawaji kuanza Jana na Leo huku wengine wakianza kama walivyokutwa na kamera ya matukio jijini Arusha.
![](https://1.bp.blogspot.com/-q7gC0RuUlNs/XosNPUfqrMI/AAAAAAAAJCM/AlX6Bu1Byg8MmhrPEprpH3x9HBWpPrBzQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200406_112814_696.jpg)
Ujenzi ukiendelea kama unavyoonekana pichani leo ndani ya eneo la soko la Samunge hilo ni eneo la Mashariki...
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Skylight Band yatoa ratiba yake ya wiki tukianza na mkesha wa X-MASS usiku wa leo ndani ya Escape One
24.12.14 Mkesha wa XMASS tutakua ESCAPE1, show itaanzaa saa mbili usiku, kiingilio buku 7000/= tu: tukutane ESCAPE1 tuikaribishe XMASS
Vile vile tunapenda kutoa taarifa na kuwaomba radhi wadau wetu kutokana na safari yetu ya kanda ya ziwa XMASS hii, show zetu za ijumaa tarehe 26.12.14 thai village na jumapili 28.12.14 ESCAPE1 hazitofanyika.
Ila tukutane tena kwenye mkesha wa mwaka mpya 31.12.14 ndani ya ESCAPE1. .. Burudika na bendi yako katika msimu huu wa siku kuu…Skylight Band…just...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lmYzC1D6CiQ/VZqHKeZ_8mI/AAAAAAADVYI/rtBEiQIwEpc/s72-c/unnamed%252B%252851%2529.jpg)
JESHI LA POLISI MKOANI DODOMA KUIMARISHA ULINZI KATIKA KIPINDI CHA MKUTANO MKUU WA CCM
![](http://1.bp.blogspot.com/-lmYzC1D6CiQ/VZqHKeZ_8mI/AAAAAAADVYI/rtBEiQIwEpc/s1600/unnamed%252B%252851%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0Addqt-b9Hc/VZqF8SsRthI/AAAAAAADVX8/gFQM0mE1rGQ/s1600/POLISI.jpg)
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Kova kuweka ulinzi mzito mkesha wa mwaka mpya
Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam, Suleiman Kova.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IU7PpvYZ-W4/VDPVUnwxnoI/AAAAAAAGoe8/-7UNVchPrFA/s72-c/unnamed%2B(79).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAIMARISHA ULINZI KATIKA TUKIO KUKABIDHI RASIMU YA KATIBA KWA MH. RAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-IU7PpvYZ-W4/VDPVUnwxnoI/AAAAAAAGoe8/-7UNVchPrFA/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi DAVID MISIME - SACP ameeleza kuwa kutokana na tukio la kihistoria ambalo litafanyika tarehe 08/10/2014 ambapo Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE na Mh. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr. ALLY MOHAMED SHEIN watakabidhiwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ya Mkoa wa Dodoma hususani Dodoma Mjini.
Kamanda...
9 years ago
MichuziMATUKIO MBALIMBALI KATIKA WA MKESHA WA MWAKA 2016 KATIKA PICHA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-3H0EDFrhH2E/VXW_DGsTeFI/AAAAAAABP6I/26McQET9Qfk/s72-c/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2BDAVID%2BMISIME%2B-%2BSACP%2Bakitoa%2Belimu%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo.png)
RPC DODOMA ONGEA NA VIONGOZI WA TARAFA YA DODOMA MJINI KUHUSIANA NA HALI YA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA MATISHIO YA UGAIDI MKOANI HUMO
![](http://1.bp.blogspot.com/-3H0EDFrhH2E/VXW_DGsTeFI/AAAAAAABP6I/26McQET9Qfk/s640/Kamanda%2Bwa%2BPolisi%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2BDAVID%2BMISIME%2B-%2BSACP%2Bakitoa%2Belimu%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ugU3IWvpS4Y/VXW_El5kC0I/AAAAAAABP6Y/BAi8IQ5j1LU/s640/Balozi%2BMstaafu%2BJOB%2BLUSINDE%2BMwenyekiti%2Bwa%2BBaraza%2Bla%2Bwazee%2BMkoa%2Bwa%2BDodoma%2B%2Bakiongea%2Bjambo..png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-dTdmffkeENg/VXW_C7rwXSI/AAAAAAABP6E/zsV-Y8QUnNQ/s640/Padre%2BTHOMAS%2BV.%2BLALI%2BKatibu%2BMkuu%2Bjimbo%2Bkuu%2BDodoma%2Bakizungumza%2Bkatika%2Bmkutano%2Bhuo..png)