Tuimarishe ulinzi katika mikusanyiko ya sherehe za X MASS na mwaka mpya
KESHO ni siku ya Siku kuu, pasi na shaka hakuna mtu ambaye halijui hilo.
Siku kuu ya Krisimasi na mwaka mpya ni siku kuu ambazo hufuatana na kwa desturi ya ushirikiano tulio nao hapa nchini siku hizi hatubagui hatuchagui kila mtu hufurahi pamoja na mwenzake.
Furaha hii ni pale wana jamii walio na mirengo tofauti ya kiimani wanapojumuika pamoja na kufurahia, waumini wa dini ya Kikristo walio wengi kesho wanasherehekea kuzaliwa kwa Masia Yesu Kristo.
Lakini kidoogo tujikumbushe kuzaliwa kwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziDODOMA YAIMARISHA ULINZI KATIKA MKESHA WA X- MASS
Jeshi hilo limesema litaimarisha ulinzi katika maeneo mbalimbali ya biashara na mikusanyiko ya watu kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola ili...
10 years ago
Michuzi22 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sVa92OS-k94/VLFG_2SDazI/AAAAAAAG8gQ/YVFHKrwjKM8/s72-c/unnamed%2B(32).jpg)
SHEREHE YA MAOFISA MAGEREZA KUUAGA MWAKA 2014 NA KUUKARIBISHA MWAKA MPYA 2015 YAFANA JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-sVa92OS-k94/VLFG_2SDazI/AAAAAAAG8gQ/YVFHKrwjKM8/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dM-T8w4-2tQ/VLFHAHztCMI/AAAAAAAG8gU/V1fA78CRfmY/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Kova kuweka ulinzi mzito mkesha wa mwaka mpya
Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam, Suleiman Kova.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DEvsXZ_pIOY/U7Jkx7zeooI/AAAAAAAFt4I/Tal98B4vqew/s72-c/unnamed+(22).jpg)
Mkuu wa Majeshi ya ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange katika sherehe za miaka 10 ya chuo cha JKT mapinga
![](http://1.bp.blogspot.com/-DEvsXZ_pIOY/U7Jkx7zeooI/AAAAAAAFt4I/Tal98B4vqew/s1600/unnamed+(22).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-OZEsYqejBEk/U7JkyCW-VQI/AAAAAAAFt4U/G2e18OYbw3I/s1600/unnamed+(23).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
Aliyepotea sherehe za Mwaka Mpya akutwa amekufa
WATU wawili wameripotiwa kufariki dunia katika matukio tofauti akiwamo mkazi wa Kijiji cha Ihowanza, aliyetoweka wakati wa sherehe za kuukaribisha mwaka mpya ambaye mwili wake umekutwa umeliwa na mbwa. Kamanda...
10 years ago
MichuziWaziri Membe mgeni rasmi kwenye sherehe za kuukaribisha mwaka Mpya waKichina
5 years ago
CCM BlogUWT KATA YA MAKONGO WAFANYA SHEREHE KUWAPONGEZA KINA MAMA 13 WALIOZOA VITI VYOTE KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KATIKA KATA HIYO MWAKA JANA
MAKONGO, Dar es Salaam
Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Kata ya...