Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RPC DODOMA ONGEA NA VIONGOZI WA TARAFA YA DODOMA MJINI KUHUSIANA NA HALI YA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA MATISHIO YA UGAIDI MKOANI HUMO

 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma David Misime - SACP akitoa elimu juu ya hali ya ulinzi na usalama na matishio ya kiuhalifu katika kikao kilichojumuisha wakuu wa vyombo vya dola Mkoa wa Dodoma, viongozi mbalimbali wa mkoa wa Dodoma pamoja na viongozi wa diniBalozi Mstaafu Job Lusinde Mwenyekiti wa Baraza la wazee Mkoa wa Dodoma  akiongea jambo wakati wa utoaji elimu iliyotolewa kwa viongozi wa mkoa wa Dodoma ili kuhimarisha ushirikiano na kuondoa machafuko ambayo yanaweza kutokea.
 Padre...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KAMANDA WA POLISI MKOA WA DODOMA AONGEA NA VIONGOZI WA TARAFA YA DODOMA MJINI KUHUSIANA NA HALI YA ULINZI NA USALAMA PAMOJA NA MATISHIO YA UGAIDI MKOANI HUMO

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, SACP David Misime akitoa elimu katika mkutano huo.Balozi Mstaafu Job Lusinde Mwenyekiti wa Baraza la wazee Mkoa wa Dodoma akiongea jambo.Padre Thomas V. Lali Katibu Mkuu jimbo kuu Dodoma akizungumza katika mkutano huo.
Sheke AHMAD SAID akizungumza katika mkutano huo.
  Na Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amewataka viongozi wa Tarafa ya Dodoma mjini kuwaelimisha...

 

10 years ago

Michuzi

VIKOSI VYA ULINZI NA USALAMA MKOANI DODOMA VYAFANYA MAZOEZI YA PAMOJA


Na DORICE Kigombe wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma kwa kushirikiana na Idara mbalimbali za Serikali na wadau wa Amani Raia ,wamefanya matembezi/Routmatch ya pamoja kuzunguka mitaa mbalimbali ya mji wa Dodoma .Matembezi yaliongozwa na Mkuu wa Mkoa Dodoma Capt. Mstaafu CHIKU GALAWA.
Washiriki wa zoezi hilo ni Jeshi la Polisi, Jeshi la Wananchi (JWTZ), Jeshi la Magereza, Uhamiaji, Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Wafanya biashara, Raia wema...

 

11 years ago

Michuzi

KAMANDA WA POLISI DODOMA AKUTANA NA KUONGEA NA VIONGOZI MBALIMBALI WA TARAFA YA DODOMA MJINI

Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema jukumu la kwanza la serikali za mitaa ni kuwahakikishia wananchi wake usalama, amani, utulivu na utengamano hivyo ni jukumu la watendaji wa kata, mwenyekiti wa Mitaa na vitongoji kusaidia kuimarisha ulinzi katika maeneo yetu.
Amesema hayo alipokutana na Viongozi wa mbalimbali wa Tarafa ya Dodoma mjini katika Ukumbi wa Polisi Dodoma...

 

10 years ago

Michuzi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma lawataka Viongozi kuwaelimisha wananchi juu ya matishio na viashilia vya uvunjifu wa sheria na amani

Na Lakia Ndwellah wa Jeshi la Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amewataka viongozi wa Tarafa ya Dodoma mjini kuwaelimisha wananchi wanaowaongoza na wanaofanya kazi chini yao juu ya matishio na viashilia vya uvunjifu wa sheria na amani ili wote waweze kuwa na uelewa wa pamoja kuvibaini, kuvizuia na kuvitolea taarifa kwa vyombo vya dola waweze kuwakamata wahusika na kuwachukulia hatua kwa mujibu wa sheria.
Ameyasema hayo...

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI AONGOZA VIONGOZI MKOA WA DODOMA KUKAGUA UJENZI WA SHULE YA WASICHANA YA BUNGE MKOANI DODOMA

 Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza na viongozi wa Mkoa wa Dodoma, kamati ya ujenzi wa Shule wakati walipotembelea na kujionea ujenzi wa Shule ya Wasichana ya Bunge ya kidato cha Tano na Sita iliyopo Kikombo Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma. Kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Patrobas Katambi, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Ndg. Godfrey Kunambi, Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Dkt. Binilith Mahenge na Katibu Tawala Mkoa wa...

 

10 years ago

Michuzi

Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini

 Kamanda wa Polisi, Mkoa wa Dodoma SACP David Misime---Polisi Mkoa wa Dodoma inawashikilia wanafunzi 84 wa chuo Kikuu UDOM kwa tuhuma za kuhamasisha uvunjifu wa amani Chuoni na kufanya maandamano haramu kutoka Chuoni kuelekea katika Ofisi mbalimbali za viongozi wa Serikali zilizopo Dodoma Mjini  tarehe 14.01.2015 majira ya 05:30 (kumi na moja alfajiri).        Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi SACP David Misime  ameeleza kuwa chanzo cha wananfunzi hao wa...

 

10 years ago

GPL

MKUU WA MKOA DODOMA AZUNGUMZIA HALI YA USALAMA KATIKA KIPINDI CHA MIKUTANO YA CCM

Mkuu wa Mkoa Dodoma, Chiku Gallawa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani), juu ya uwepo wa Mikutano Mikubwa ya CCM katika mkoa wake, inayotarajiwa kuanza rasmi kesho. Sehemu ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Gallawa wakati akizungumza nao juu ya uwepo wa Mikutano Mikubwa ya Chama cha Mapinduzi katika mkoa wake.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani