TANAPA yaanzisha kamati za ulinzi vijijini
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), limeanzisha mpango wa kuunda kamati za ulinzi shirikishi kwenye vijiji vinavyozunguka hifadhi, ili kuongeza nguvu ya kupambana na ujangili.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV21 Aug
TANAPA yaanzisha kampeni ya Uhamasishaji.
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA limeanzisha kampeni ya miezi sita ya kuwahamasisha watanzania kutembelea hifadhi za Taifa nchini. Malengo ya kampeni hiyo ni kutaka hadi kufikia mwezi Desemba mwaka huu zaidi ya watanzania laki tano wawe wameshatembelea hifadhi hizo nchini.
Katika mkutano wa waandishi wa habari na wadau wa utalii wa mkoa wa Tanga,Kaimu Meneja wa Masoko wa shirika Hifadhi za Taifa TANAPA, Victor Rafael amesema kampeni hiyo imeanza Julay 1 na itaishia mwezi Desemba...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
TANAPA yatoa mabati 6000 ya miradi vijijini
SHIRIKA la umma la Hifadhi ya Taifa Tanzania (TANAPA), limetoa mabati 6000, kwa ajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo katika vijiji vinavyozunguka hifadhi za taifa. Kauli hiyo ilitolewa jana...
9 years ago
Mwananchi20 Dec
Mkuu wa Idara ya Ulinzi Tanapa auawa, atelekezwa
10 years ago
Vijimambo31 Jul
ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU AFRIKA


Askari Daraja la Pili Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katika ulinzi...
10 years ago
Michuzi
ASKARI WA TANAPA ASHINDA TUZO YA ULINZI WA FARU BARANI AFRIKA



9 years ago
MichuziTANAPA YAIMARISHA ULINZI WA TEMBO KWA KUWAFUNGA VIFAA MAALUM.
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Bara la Afrika
Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo ambao wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.
Mwandishi wetu,Arusha
Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”Meneja Mawasiliano wa...
10 years ago
Dewji Blog31 Jul
Askari wa TANAPA ashinda tuzo ya Ulinzi wa Faru Baara la Afrika
Meneja Mawasiliano wa Tanapa, Pascal Shelutete (wa tatu kutoka kushoto) akitangaza ushindi wa Tuzo hiyo akiwa na maafisa wa Shirika hilo ambao wana jukumu la kuhifadhi maliasili kwaajili ya kizazi cha sasa na kijacho.
Mwandishi wetu,Arusha
Askari Daraja la Pili ,Malale Patrick Mwita kutoka Hifadhi ya Taifa Serengeti ameshinda Tuzo ya kila mwaka ya Askari Bora katikaulinzi wa Faru kwa mwaka 2015 barani Afrika inayojulikana “2015 Rhino Conservation Awards”Meneja Mawasiliano wa...
10 years ago
Vijimambo
TANAPA WAKABIDHI MRADI WA UJENZI WA DARAJA KATIKA VIJIJI VYA SINGANA SUNGU WILAYA YA MOSHI VIJIJINI



