TANAPA yaanzisha kampeni ya Uhamasishaji.
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA limeanzisha kampeni ya miezi sita ya kuwahamasisha watanzania kutembelea hifadhi za Taifa nchini. Malengo ya kampeni hiyo ni kutaka hadi kufikia mwezi Desemba mwaka huu zaidi ya watanzania laki tano wawe wameshatembelea hifadhi hizo nchini.
Katika mkutano wa waandishi wa habari na wadau wa utalii wa mkoa wa Tanga,Kaimu Meneja wa Masoko wa shirika Hifadhi za Taifa TANAPA, Victor Rafael amesema kampeni hiyo imeanza Julay 1 na itaishia mwezi Desemba...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo21 Jun
TANAPA yaanzisha kamati za ulinzi vijijini
SHIRIKA la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa), limeanzisha mpango wa kuunda kamati za ulinzi shirikishi kwenye vijiji vinavyozunguka hifadhi, ili kuongeza nguvu ya kupambana na ujangili.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ioP2qWdeS44/UwNYa5W3KDI/AAAAAAAFNy8/aLWrS2Tflmo/s72-c/picture+3.jpg)
Kampeni za uhamasishaji virutubishi kwenye chakula zaendelea Mkoani Manyara
![](http://2.bp.blogspot.com/-ioP2qWdeS44/UwNYa5W3KDI/AAAAAAAFNy8/aLWrS2Tflmo/s1600/picture+3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-C-yje_YRLUw/UwNYijOPhaI/AAAAAAAFNzE/8PEvWitzyfo/s1600/picture+1.jpg)
9 years ago
VijimamboKAMPENI YA UHAMASISHAJI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI KUPITIA UENDESHAJI WA BAISKELI YAANZA MBEYA
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1350.jpg)
WAZIRI NYALANDU AZINDUA KAMPENI YA UHAMASISHAJI WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
NHIF yazindua awamu ya pili ya Kampeni ya uhamasishaji Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF)
Mkuu wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Mh. Abdallah Ulega akipokea mashuka 150 kutoka kwa Rehani Athumani Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti Mfuko wa Bima ya Afya ya jamii CHF yaliyotolewa na mfuko huo kwa wilaya ya Kilwa wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji wananchi kujiunga na mfuko wa Bima ya Taifa ya Afya NHIF uliofanyika katika kijiji cha Njia Nne Kata ya Tingi, Katikati ni Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa mkoani Lindi Bi Fortunata Raymond.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/881.jpg)
KAMPENI YA UHAMASISHAJI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI KUPITIA UENDESHAJI WA BAISKELI YAANZA MBEYA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Q-3sTyysARk/VT59UxNHILI/AAAAAAAArxw/qznEj6UycAE/s72-c/MMGL0480.jpg)
Ulega azindua awamu ya pili ya Kampeni ya uhamasishaji ya Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) Wilayani Kilwa leo
Ulega ameyasema hayo wakati wa uzinduzi wa awamu ya pili ya kampeni ya uhamasiahaji wananchi kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF) inafanywa na Mfuko wa taifa wa bima ya afya katika halmashauri kumi nchi nzima iliyozinduliwa kata ya Tingi njia nne wilayani kilwa.
Ulega amesema Serikali kupitia mfuko...
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
SUA yaanzisha kampeni kulinda Bwawa la Mindu
CHUO Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeanza kampeni ya nguvukazi kupanda miti kuzunguka Bwawa la Mindu linalotegemewa kwa zaidi ya asilimia 70 katika kutoa huduma ya maji safi na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F_TTi_urvgo/VdlO8XdjwsI/AAAAAAAAUEg/SxJ--N4E_Ks/s72-c/DSCF6892%2B%25281280x960%2529.jpg)
TANAPA YATANGAZA KAMPENI YA MIEZI SITA KUHAMASISHA UTALII WA NDANI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-F_TTi_urvgo/VdlO8XdjwsI/AAAAAAAAUEg/SxJ--N4E_Ks/s640/DSCF6892%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QOi_v6v-AjQ/VdlPBRePO7I/AAAAAAAAUEo/UyxcRPXWYmo/s640/DSCF6909%2B%25281280x960%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QDW3fb-O-7I/VdlOqfB-PHI/AAAAAAAAUEY/ZQHnhG1j7Ms/s640/DSCF6891%2B%25281280x960%2529.jpg)