Kampeni za uhamasishaji virutubishi kwenye chakula zaendelea Mkoani Manyara
![](http://2.bp.blogspot.com/-ioP2qWdeS44/UwNYa5W3KDI/AAAAAAAFNy8/aLWrS2Tflmo/s72-c/picture+3.jpg)
Mwelimishaji wa masuala ya lishe kutoka mradi wa USAID Tuboreshe,Bi. Sara Luzangi akiongea na wanafunzi wa shule za msingi wilayani Babati mkoani Manyara juu ya umuhimu wa matumizi ya vyakula vilivyowekwa virutubishi katika kampeni za kutoa elimu hiyo zinazoendelea katika wilaya mbalimbali za hapa nchini.
Waendeshaji wa kampeni ya kuongeza virutubishi katika chakula kutoka mradi wa USAID Tuboreshe Chakula wakiendesha kampeni ya umuhimu wa virutubishi kwa wanafunzi wa shule za msingi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziNHIF Mkoa wa Manyara, yaendesha kongamano la uhamasishaji wa mpango wa Kikoa kwa wajasiriamali
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-fjuqWGDgww0/U_x-1z1UhSI/AAAAAAAGCh0/EiJZ8m0rhK0/s72-c/Picture-ARUSHA.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Arusha kampeni ya uongezaji virutubishi leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-fjuqWGDgww0/U_x-1z1UhSI/AAAAAAAGCh0/EiJZ8m0rhK0/s1600/Picture-ARUSHA.jpg)
9 years ago
StarTV21 Aug
TANAPA yaanzisha kampeni ya Uhamasishaji.
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania TANAPA limeanzisha kampeni ya miezi sita ya kuwahamasisha watanzania kutembelea hifadhi za Taifa nchini. Malengo ya kampeni hiyo ni kutaka hadi kufikia mwezi Desemba mwaka huu zaidi ya watanzania laki tano wawe wameshatembelea hifadhi hizo nchini.
Katika mkutano wa waandishi wa habari na wadau wa utalii wa mkoa wa Tanga,Kaimu Meneja wa Masoko wa shirika Hifadhi za Taifa TANAPA, Victor Rafael amesema kampeni hiyo imeanza Julay 1 na itaishia mwezi Desemba...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xnYZp_a4pg0/VgD_bGg5h2I/AAAAAAAH6wg/cOCtZwBtpyw/s72-c/unnamed.jpg)
KAMPENI JIMBO LA CHALINZE ZAENDELEA
9 years ago
MichuziAskari wa kituo cha polisi Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara wafanya usafi kwenye mazingira yanayozunguka kituo chao.
10 years ago
Dewji Blog28 Apr
NHIF yazindua awamu ya pili ya Kampeni ya uhamasishaji Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF)
Mkuu wa wilaya ya Kilwa mkoani Lindi Mh. Abdallah Ulega akipokea mashuka 150 kutoka kwa Rehani Athumani Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti Mfuko wa Bima ya Afya ya jamii CHF yaliyotolewa na mfuko huo kwa wilaya ya Kilwa wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Uhamasishaji wananchi kujiunga na mfuko wa Bima ya Taifa ya Afya NHIF uliofanyika katika kijiji cha Njia Nne Kata ya Tingi, Katikati ni Meneja wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa mkoani Lindi Bi Fortunata Raymond.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/1350.jpg)
WAZIRI NYALANDU AZINDUA KAMPENI YA UHAMASISHAJI WATANZANIA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA
9 years ago
VijimamboKAMPENI YA UHAMASISHAJI JUU YA MABADILIKO YA TABIANCHI KUPITIA UENDESHAJI WA BAISKELI YAANZA MBEYA